Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #21
PRETA Kwenye Ngeli NOMINO naweza ila si hapa jamaa alivyochanganya madawa
Niachie mie mwanangu niliendekeze libeneke...
PRETA Kwenye Ngeli NOMINO naweza ila si hapa jamaa alivyochanganya madawa
Muache judith wangu jamani ohhhhhhhJudith Mbona na wewe umechambua kama gari kweli hapa balaa hata kama ni Tafisda hii yenu kali bwana nimetoka kapa
Judith Mbona na wewe umechambua kama gari kweli hapa balaa hata kama ni Tafisda hii yenu kali bwana nimetoka kapa
I like it more...
Siku zote mwendawazimu akikuibia nguo zako wakati wewe unaoga mtoni ni busara kumuacha tu aende nazo na wewe kutafuta ustaarabu mwingine,lakini ukikasirika na kuanza kumtoa mbio wapita njia kama kina Paka Mweusi hawataelewa mwendawazimu ni nani kati ya wewe unayemkimbiza na huyo anaye kimbizwa,maana mkimbizaji utakuwa uchi wakati labda mwendawazimu atakuwa na matambara yake.Sasa hapo Paka Mweusi atajiuliza hawa wawili mwendawazimu ni yupi?
haha, pole anko. itabidi siku moja tumuombe magulumangu kwa heshima na taadhima atoe darasa hapa la kanuni za kuchambua tafsida
haha, proud to be swahili speaker
Wanena weye Judith mie niko full available bibie, kwako hata shule ya tafsida naanzisha.
Wanena weye Judith mie niko full available bibie, kwako hata shule ya tafsida naanzisha.
Lugha ya picha inapotumika vibaya na ikawa imejaa udhahania huleta mchanganyo ama kutokueleweka kwa ujumbe lengwa.
Kumbuka unapotoa ujumbe kama huu na wengi wakashindwa kuuelewa basi umefeli katika kufikisha ujumbe wako!
mkuu sasa hapo ukimuacha na uende zako uchi si watu ndo wanakomfirm kabisa wewe ndo mwendawazimu? Bora waone unamtoa baruti chizi then wanaweza jiuliza mara mbili mbili, he mbona chizi ana nguo mkononi na mwingine anamtoa baruti huenda ni mwizi sio chizi.....hehehe wabeja nkoi
mmh....tena.....
mmh, haya bwana
Utu uzima Dawa ndugu yangu,unamuacha tu aende kisha wewe unatumia utu uzima wako kwa kuagiza vijana wakuletee japo msuli uweze rudi nyumbani lakini usimwage radhi maana katika njia hiyohiyo aliyokuona Paka Mweusi yawezekana kuna watoto na wakweo wanapita sasa wakikuona sijui heshima itabaki katika kiwango kipi?Tukajaga shene guku,Bhalekage do abhenabho.
Twende kwa mama chonya lolnahitaji kujifunza kiswahili upya............any mwalimu plz
Twende kwa mama chonya lol
Nina mpango wa kuacha kusoma post za Magulumangu, ni tata na ngumu kueleweka, hata wanaojifanya wameelewa nina wasiwasi kama ni kweli. Pamoja na uzuri wa tafsida lakini kama habari haieleweki kwa walengwa inakuwa kazi bure, please Mkuu punguza kidogo advanced tafsida ili tuburudike members wote.
Lugha ya picha inapotumika vibaya na ikawa imejaa udhahania huleta mchanganyo ama kutokueleweka kwa ujumbe lengwa.
Kumbuka unapotoa ujumbe kama huu na wengi wakashindwa kuuelewa basi umefeli katika kufikisha ujumbe wako!