The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Wapendwa wapenda mageuzi na ustawi wa jamii inayoishi maisha bora na ya haki, mafisadi na mashabiki wao, mabibi na mabwana nakupongezeni sana kwa kufika mwisho wa mwaka mpya na nakutakieni mafanikio.
Mwaka 2010 utakumbukwa kwa uchaguzi wa msisimuko ulifuatiwa na wizi mkubwa wa kura. Utakumbukwa kama mwaka wananchi walisema hapana kwa watawala lakini watawala wakahamua kuwala tu! Haukuwa mwaka mzuri kwa mafisadi hata kama wanajiandaa kulipwa mabilioni ya pesa kupitia mradi wao wa Dowans!
Ni mwaka ambao kwa mara ya kwanza CCM imejua siku moja itangoka tu. Hawawezi kuishi kwa oxygen ya Usalama wa Taifa (Usalama wa CCM) daima! Hongereni nyote na tukutane jamvini mwakani kumshughulikia mmiliki wa Dowans...ni kiporo
Mwaka 2010 utakumbukwa kwa uchaguzi wa msisimuko ulifuatiwa na wizi mkubwa wa kura. Utakumbukwa kama mwaka wananchi walisema hapana kwa watawala lakini watawala wakahamua kuwala tu! Haukuwa mwaka mzuri kwa mafisadi hata kama wanajiandaa kulipwa mabilioni ya pesa kupitia mradi wao wa Dowans!
Ni mwaka ambao kwa mara ya kwanza CCM imejua siku moja itangoka tu. Hawawezi kuishi kwa oxygen ya Usalama wa Taifa (Usalama wa CCM) daima! Hongereni nyote na tukutane jamvini mwakani kumshughulikia mmiliki wa Dowans...ni kiporo