Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
][/B]It is true that Tanzania needs a second independence, an independence from CCM. It is clear that CCM cadres lord it over the masses....
what is at stake is our freedoms and liberties; as long as mafisadi still rule over us, we are not free.
tatizoo sio chama gani kuchukua madaraka ila ni watu wa aina gani wapewe uongoziii..harakati za uhuru mpya wa taifa letu lazima zianze mapema, tuambieni nani asimame kuwa rais kwa chama gani kinachokubalika? tumeshaanza kuamini kuwa chdema huenda kinakubalika sasa wengine mnasema hakifai kupewa nchi mbona tunapingana wenyewe? pendekezeni sasa nani asimame na kwa chama gani?
Au tuunde chama kipya? lazima tuanze sasa afahamike mtu na chama gani. Mtu atakayejitokeza lazima asiwe na kasoro na akubalike siyo siyo mtu hajanawa uso wake afu anakagua nyuso za wenzake wenye macho lazima wataona na kujua kuwa hajanawa uso(Fisadi).
Wa Tz mlioko nje kama mnaona kuna mwenzenu anafaa huko mrudisheni nyumbani tumfahamu sasa.
Anayesma chadema haifai atuambie haifai kwasababu gani ni mbadala wake? au tuunde kipya tuchukue kina slaa? minafikiri Chadema ndiyo chama ila watu wapya wasimame siyo kna mbowe, na kama mbowe unanisikia achia ngazi kagombee ubunge tupe mtu mwingine. Siyo kwamba hatukutaki ni kwamba onyesheni mfano ili mkubalike.
Semeni sasa!
Heshima mbele wakuu!
Nathamini sana kazi mchango wenu katika jamii ya Tanzania.
Wadugu,uchaguzi unakaribia,imekua ni mazoea kama sio utamaduni,
kuona jukumu la kupiga kura linachangiwa kwa kiasi kikubwa na
wenzetu wanaoishi vijijini huku sisi tuliopata nafasi ya kuona mwanga wa elimu na dunia kwa ujumla tukitoa maoni ya nani hafai,anaboa,n.k
1.Sisi tuliopo ughaibuni, mnaonaje tukianzisha kampeni maalumu ya kitaifa na kimataifa kutafuta fedha za msaada kama michango, ili tuwezeshe wasio na fedha za kutosha wajumuike nawe mwenye uwezo mzuri kifedha kurudi nyumbani kwaajili ya kupiga kura ya ushindi?
CCM hiyo replacement ya CCM mbona haitajwi?