2010 FIFA World Cup South Africa

Balantanda

JF-Expert Member
Jul 13, 2008
12,476
4,752
Wadau...zikiwa zimebaki siku takribani 32 kuanza kwa Kombe la Dunia mwaka huu wa 2010 kule 'Bondeni' si vibaya tukaanza kujadili kwa kina kuhusiana na teuzi za timu pamoja na maandalizi ya timu za mataifa mbalilmbali washiriki katika mashindano hayo....

Baada ya kumalizika kwa ligi kubwa na tamu duniani,EPL....Ni vema basi tukaanza kujadili timu na maandalizi(kwa ujumla wake) ya Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika ya Kusini...Kwa kuanzia tu Algeria wao tayari wametangaza provisional squad kwa ajili ya world cup 2010,kocha wao Rabah Saadane kawataja wachezaji hawa:

Fawzi Chouachi (ES Setif), Lounes Gaouaoui (ASO Chlef), Mohamed Lamine Zemmamouche (MC Alger), M'bohi Rais Ouheb (Slavia Sofia); Abdelkader Laifaoui (ES Setif), Madjid Bougherra (Rangers), Carl Medjani (Ajaccio), Rafi Halliche (Nacional), Anther Yahia (Bochum), Haib Belaid (Boulogne), Nadir Belhadj (Portsmouth), Djamel Mesbah (Lecce); Hassan Yebda (Portsmouth), Mehdi Lacen (Racing Santander), Yazid Mansouri (Lorient), Adlene Guedioura (Charleroi), Riad Boudebouz (Sochaux), Djamel Abdoun (Nantes), Fouad Kadir (Valenciennes), Mourad Meghni (Lazio), Karim Ziani (Wolfsburg), Karim Matmour (Borussia Monchengladbach); Abdelkader Ghezzal (Siena), Rafik Djebbour (AEK Athens), Rafik Saifi (Istres).

Karibuni barazani wadau
 
Marefa/Waamuzi watakaochezesha mechi za WC 2010 ni hawa hapa chini

1.Kutoka UEFA(Ulaya)

.Olegário Benquerença
.Massimo Busacca
.Frank De Bleeckere
.Martin Hansson
.Viktor Kassai
.Stephane Lannoy
.Roberto Rosetti
.Wolfgang Stark
.Alberto Undiano Mallenco
.Howard Webb

2.Kutoka CAF(Afrika)

.Mohamed Benouza
.Koman Coulibaly
.Jerome Damon
.Eddy Maillet

3.Kutoka CONCACAF(Amerika ya Kaskazini,Kati na Carribean)

.Joel Aguilar
.Benito Archundia
.Carlos Batres
.Marco Antonio Rodríguez

4.Kutoka CONMEBOL(Amerika ya Kusini)

.Carlos Amarilla
.Héctor Baldassi
.Jorge Larrionda
.Pablo Pozo
.Óscar Ruiz
.Carlos Simon

5.Kutoka AFC(Asia)

.Khalil Al Ghamdi
.Ravshan Irmatov
.Subkhiddin Mohd Salleh
.Yuichi Nishimura

6.Kutoka OFC(Oceania)

.Michael Hester
.Peter O'Leary
 
...Nawatabiria Brazil kuwika tena world Cup hii japo Spain wanatisha!
 
PRELIMINARY SQUAD-ENGLAND
Squad:

Goalkeepers: Joe Hart, David James, Robert Green.

Defenders: Leighton Baines, Jamie Carragher, Ashley Cole, Michael Dawson, Rio Ferdinand, Glen Johnson, Ledley King, John Terry, Matthew Upson, Stephen Warnock.

Midfielders: Gareth Barry, Michael Carrick, Joe Cole, Steven Gerrard, Tom Huddlestone, Adam Johnson, Frank Lampard, Aaron Lennon, James Milner, Scott Parker, Theo Walcott, Shaun Wright-Phillips.

Forwards: Darren Bent, Peter Crouch, Jermain Defoe, Emile Heskey, Wayne Rooney
 
PRELIMINARY SQUAD-SPAIN
Goalkeepers: Iker Casillas (Real Madrid), David De Gea (Atletico Madrid), Diego Lopez (Villarreal), Jose Reina (Liverpool) Victor Valdes (Barcelona).

Defenders: Raul Albiol (Real Madrid), Alvaro Arbeloa (Real Madrid) Cesar Azpilicueta (Osasuna), Joan Capdevila (Villarreal), Carlos Marchena (Valencia), Gerard Pique (Barcelona), Carles Puyol (Barcelona), Sergio Ramos (Real Madrid).

Midfielders: Xabi Alonso (Real Madrid), Sergi Busquets (Barcelona), Cesc Fabregas (Arsenal), Andres Iniesta (Barcelona), Javi Martinez (Athletic Bilbao) Marcos Senna (Villarreal), David Silva (Valencia), Xavi (Barcelona).

Forwards: Santi Cazorla (Villarreal), Jesus Navas (Sevilla), Juan Manuel Mata (Valencia) Pedro Rodriguez (Barcelona), Dani Guiza (Fenerbache) Fernando Llorente (Athletic Bilbao), Alvaro Negredo (Sevilla), Fernando Torres (Liverpool FC) and David Villa (Valencia).
 
  1. Emile Heskey
  2. Jamie Carragher
  3. Rio Ferdinand
  4. Michael Carrick
  5. Joe Cole
  6. Shaun Wright-Phillips
Hawa wanaenda kufanya nini? They are crap

Wako wapi akina Ashley Young, Bobby Zamora Gabriel Agbonlahor, Carton Cole?
 
  1. Emile Heskey
  2. Jamie Carragher
  3. Rio Ferdinand
  4. Michael Carrick
  5. Joe Cole
  6. Shaun Wright-Phillips
Hawa wanaenda kufanya nini? They are crap

Wako wapi akina Ashley Young, Bobby Zamora Gabriel Agbonlahor, Carton Cole?

Halafu eti ndo watu wanadai watakuwa mabingwa hao.....kwa timu ipi???...........Thubutuuuuuuuuuuuuu
 
Halafu eti ndo watu wanadai watakuwa mabingwa hao.....kwa timu ipi???...........Thubutuuuuuuuuuuuuu

Can some one explain to me hawa wanaenda kufanya nini kwenye hiyo 30 provisional squad?


  1. Emile Heskey
  2. Jamie Carragher
  3. Rio Ferdinand
  4. Michael Carrick
  5. Joe Cole
  6. Shaun Wright-Phillips
 
Can some one explain to me hawa wanaenda kufanya nini kwenye hiyo 30 provisional squad?


  1. Emile Heskey
  2. Jamie Carragher
  3. Rio Ferdinand
  4. Michael Carrick
  5. Joe Cole
  6. Shaun Wright-Phillips

Labda eti ni wachezaji wazoefu
 
  1. Emile Heskey
  2. Jamie Carragher
  3. Rio Ferdinand
  4. Michael Carrick
  5. Joe Cole
  6. Shaun Wright-Phillips
Hawa wanaenda kufanya nini? They are crap

Wako wapi akina Ashley Young, Bobby Zamora Gabriel Agbonlahor, Carton Cole?
Tatizo England hamna wachezaji naamini hata Mrisho Ngasa angekuwa Muingereza angeenda kombe la dunia
 
Labda eti ni wachezaji wazoefu

Joe Cole anakula bench hata na Kalou!

Mzigo Ferdinand umecheza mechi 12 msimu wote

SWP huwa hana akili ya mpira! ni kukimbia na cross mbaya!

Caragher poor defender with a striker with pace, Drogba has proved that many times

Mike Carrick poor passer

Heskey hana target needs 8 chances to score one

F.U.%£ Capello
 
ITALY PRELIMINARY SQUAD
Squad: Gianluigi Buffon (Juventus), Morgan De Sanctis (Napoli), Federico Marchetti (Cagliari), Salvatore Sirigu (Palermo); Gianluca Zambrotta, Fabio Cannavaro (Juventus), Giorgio Chiellini (Juventus), Christian Maggio (Napoli), Leonardo Bonucci (Bari), Fabio Grosso (Juventus), Domenico Criscito (Genoa), Mattia Cassani (Palermo), Salvatore Bocchetti (Genoa); Andrea Pirlo (Milan), Gennaro Gattuso (Milan), Daniele De Rossi (Roma), Riccardo Montolivo (Fiorentina), Mauro Camoranesi (Juventus), Angelo Palombo (Sampdoria), Antonio Candreva (Juventus), Andrea Cossu (Cagliari), Claudio Marchisio (Juventus), Simone Pepe (Udinese); Fabio Quagliarella (Napoli), Giuseppe Rossi (Villarreal), Vincenzo Iaquinta (Juventus), Antonio Di Natale (Udinese), Marco Borriello (Milan), Alberto Gilardino (Fiorentina), Giampaolo Pazzini (Sampdoria).

SOUTH AFRICA PRELIMINARY SQUAD
Itumeleng Khune (Kaizer Chiefs), Moeneeb Josephs (Orlando Pirates), Shu-Aib Walters (Maritzburg United), Rowen Fernandez (Arminia Bielefeld); Matthew Booth (Mamelodi Sundowns), Siboniso Gaxa (Mamelodi Sundowns), Innocent Mdledle (Mamelodi Sundowns), Bongani Khumalo (SuperSport United), Tsepo Masilela (Maccabi Haifa), Aaron Mokoena (Portsmouth), Bryce Moon (PAOK), Anele Ngcongca (Racing Genk), Siyabonga Sangweni (Golden Arrows), Lucas Thwala (Orlando Pirates); Surprise Moriri (Mamelodi Sundowns), Franklin Cale (Mamelodi Sundowns), Lance Davids (Ajax Cape Town), Kagisho Dikgacoi (Fulham), Andile Jali (Orlando Pirates), Teko Modise (Orlando Pirates), Reneilwe Letsholonyane (Kaizer Chiefs), Siphiwe Tshabalala (Kaizer Chiefs), Thanduyise Khuboni (Golden Arrows), Steven Pienaar (Everton), MacBeth Sibaya (Rubin Kazan); Benni McCarthy (West Ham), Katlego Mphela (Mamelodi Sundowns), Siyabonga Nomvethe (Moroka Swallows), Bernard Parker.
 
Back
Top Bottom