This can happen only in Tanzania
[h=6]"THINK;
A country where there is no even a single working CT Scan Machine...Is it true we cannot afford it, and we loose around 6% of Head Injury patients and discharge 99% of the same patients without a proper management.
Relate this with a Tz Minister driving a 280million V8 Prince (Equalling to approx 1 Phillips CT Scan Machines + Transport)
Siemens ------------------200000 usd approx
Toshiba -------------------180000 usd approx
Beckam coulter------------250000 usd approx
Sharp------------------------200000 usd approx
GE----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx
The computer tomography machine (CT-Scan Machine) costs depending upon the technology systems"[/h]
This can happen only in Tanzania
[h=6]"THINK;
A country where there is no even a single working CT Scan Machine...Is it true we cannot afford it, and we loose around 6% of Head Injury patients and discharge 99% of the same patients without a proper management.
Relate this with a Tz Minister driving a 280million V8 Prince (Equalling to approx 1 Phillips CT Scan Machines + Transport)
Siemens ------------------200000 usd approx
Toshiba -------------------180000 usd approx
Beckam coulter------------250000 usd approx
Sharp------------------------200000 usd approx
GE----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx
The computer tomography machine (CT-Scan Machine) costs depending upon the technology systems"[/h]
Tukikamisha utaratibu wa kumpeleka kamanda ulimboka nje ya nchi muhi2 itabakia magofu,kwa aliyefika jana muhi2 uwe shaidiKatika gazeti la Tanzania Daima la leo kuna habari hiyo.
Hapa napata maswali mengi kiliko majibu.
1.kwa nini kiasi hicho kisitumike kutekeleza madai ya madaktari na kutanzua mgogoro huo?
2.Fedha hizi kwa nini zisitumike kuboresha hospital kwa kununua vifaa vya hospital?
3.Kwa nini kwa Serikali hii kukija swala la kukodi kitu fedha hupatikana mara moja?
Na maswali mengine mengi,hebu tuisaidie serikali katika kufanya mipango yake.Tujadili
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo kuna habari hiyo.
Hapa napata maswali mengi kiliko majibu.
1.kwa nini kiasi hicho kisitumike kutekeleza madai ya madaktari na kutanzua mgogoro huo?
2.Fedha hizi kwa nini zisitumike kuboresha hospital kwa kununua vifaa vya hospital?
3.Kwa nini kwa Serikali hii kukija swala la kukodi kitu fedha hupatikana mara moja?
Na maswali mengine mengi,hebu tuisaidie serikali katika kufanya mipango yake.Tujadili
This can happen only in Tanzania
"THINK;
A country where there is no even a single working CT Scan Machine...Is it true we cannot afford it, and we loose around 6% of Head Injury patients and discharge 99% of the same patients without a proper management.
Relate this with a Tz Minister driving a 280million V8 Prince (Equalling to approx 1 Phillips CT Scan Machines + Transport)
Siemens ------------------200000 usd approx
Toshiba -------------------180000 usd approx
Beckam coulter------------250000 usd approx
Sharp------------------------200000 usd approx
GE----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx
The computer tomography machine (CT-Scan Machine) costs depending upon the technology systems"
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo kuna habari hiyo.
Hapa napata maswali mengi kiliko majibu.
1.kwa nini kiasi hicho kisitumike kutekeleza madai ya madaktari na kutanzua mgogoro huo?
2.Fedha hizi kwa nini zisitumike kuboresha hospital kwa kununua vifaa vya hospital?
3.Kwa nini kwa Serikali hii kukija swala la kukodi kitu fedha hupatikana mara moja?
Na maswali mengine mengi,hebu tuisaidie serikali katika kufanya mipango yake.Tujadili
mkubwa mbalu mi nadhani suluhisho ni kumg'oa mr dhaifu , ili ifanyike reform , makundi yote muhimu yakigoma atang'oka tu , hapa walimu waki support na wafanyakazi wa umma wakisupport mgomo , bunge litalazimika kupiga kura ya kutokuwa na imani , hizi reforms zitapelekea proper allocation of resources, mfano wadhaifu hawana pesa ya kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari ila wana billion 200 za kuwalipa madaktari toka nje, huu si UTANI ndugu yangupaty unadhani nini kifanyike ili kuepukana na laana hii isikamate vizazi vyetu?
Tanzania Daima ni gazeti la Udaku sio la kulifuata kabisa.
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo kuna habari hiyo.
Hapa napata maswali mengi kiliko majibu.
1.kwa nini kiasi hicho kisitumike kutekeleza madai ya madaktari na kutanzua mgogoro huo?
2.Fedha hizi kwa nini zisitumike kuboresha hospital kwa kununua vifaa vya hospital?
3.Kwa nini kwa Serikali hii kukija swala la kukodi kitu fedha hupatikana mara moja?
Na maswali mengine mengi,hebu tuisaidie serikali katika kufanya mipango yake.Tujadili