2008 Kwa Mujibu wa Shetani

Shetani,

Waonaje ungewauzia kina Masanja na Joti hili wazo? Ungepata hela nzuri.
 
Hahahaha,

Nilipoona Mchungaji kachangia mada ya shetani nilikumbwa na shauku ya kutaka kujua anachangia nini.

Nikafikiri atamkemea kwa jina la Yesu.

Kufungua mada, kumbe anamuunga mkono!

Vituko vya JF, Mchungaji na Shetani waungana!

Ngugu Pundit,

Sina mbavu umenikumbusha Biblia yangu pale Ufunuo 12:7 "And there was war in heaven. Michael and his angels fought against the dragon, and the dragon and his angels fought back" kwa hivyo inaonyesha kuwa kuna wakati walikuwa pamoja.

Nasubiri ugomvi uanze kama ilvyokuwa mbinguni enzi hizo. History tends to repeat itself. Hebu tukae makao wa kuangalia hiyo senema!
 
just sheer wishful thinking and some kind of pathetic personal resignation o f shetani's ego,anajaribu kupambana na kukata tamaa kwake kwa status quo ya hali ya kimaisha ya tanzania yetu hii.Shetani just quit day dreaming anf face the reality,let's join the fight against mafisadi and their ccm blanket!!
 
AMEN!!! Kwa yenye neema katika nchi yetu. YASHINDWE KATIKA JINA LA YESU YATAKAYOSABABISHA MFARAKANO

Mchungaji tunaomba utupe ya Kimungu
 
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema

Satanic wishes, Fisi na mkono wa Binadamu
 
Nakubaliana kinadharia na "maono" ya Ibilisi aliye Shetani kutokana na vipengele hivi alivyotaja katika vyote 13.

Vipengele hivi ni;- 1, 2, 7, 9, 10, 11, 12.

Sasa labda nimhoji Shetani, mbona hakuna kipengele namba 6? au huo ndio utume wa 666 na unaogopa kutumia tarakimu 6?
 
Ama kweli we mzee wa "Upako" maana wengine hatukuona kumiss kwa tarakimu "sita".. huyu inawezekana kweli ni "mjukuu wa shetani"..
 
Duh Shetani kala bann.Lakini jamaa huyu maandiko yake yana maana ndani yake.
 
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema

Je, bado mwaukumbuka utabiri wa Shetani?!!!!!!!
 
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema
Utabiri wako kiboko ! ila hiyo namba 13 sikubaliani nayo.
 
Back
Top Bottom