2004 GX 110 bei ya kutupaa!

Chukueni mashine hiyo wanajamii....ila kuuza kwa sababu ya kumalizia nyumba dah!!! angalia usije uza na pamba mkuu
 
Sasa wewe una utani kwenye biashara......mwenzako anauza kweli dar utakuja lini???
...utani gani ww? inachukua muda gani toka Mw to dar or UK to dar or Kibaha to dar or Mkuranga to dar leo hii wewe?

...au hii ni business ya watu wa dar tu? umewambia anayewahi anachukua? nikifika ikawa imeuzwa is well and good bana......!
 
...utani gani ww? inachukua muda gani toka Mw to dar or UK to dar or Kibaha to dar or Mkuranga to dar leo hii wewe?

...au hii ni business ya watu wa dar tu? umewambia anayewahi anachukua? nikifika ikawa imeuzwa is well and good bana......!

Sawa next level kama biashara hii imakaa sasa kwako basi nimekubali umbali sio tatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom