Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kama sehemu ya kukutana ni Manzese, simshauri aje kwa muda huo
Manzese kuna nini??au ndo kuwekwa mjini??
Kama sehemu ya kukutana ni Manzese, simshauri aje kwa muda huo
Home boy kamata mashine hilo
fanya 8.5 km upo tayari nkuletee gari au njoo oil com ya manzese kuanzia saa 2 hadi saa 10 jioni.
nikiwa dar tuje tucheki hiyo kitu mkubwa[/U]!
...utani gani ww? inachukua muda gani toka Mw to dar or UK to dar or Kibaha to dar or Mkuranga to dar leo hii wewe?Sasa wewe una utani kwenye biashara......mwenzako anauza kweli dar utakuja lini???
...utani gani ww? inachukua muda gani toka Mw to dar or UK to dar or Kibaha to dar or Mkuranga to dar leo hii wewe?
...au hii ni business ya watu wa dar tu? umewambia anayewahi anachukua? nikifika ikawa imeuzwa is well and good bana......!
documents zipo clean?
Duh angalia ukifikia hatua ya kuuza pamba nishtue nije nikuungishe maana ujenzi si lelemama.