uuuh.....afadhali wamenusurika.......hizi ajali zimezidi sasa...a a
Walipelekwa Kigoma na CCM kuzindua barabara na JK?
Hayo ni maoni yake. Na sio uongo kama barabara zina ubovu, ila alichosahau ni kwamba (1) Ajali haina kinga; kwenye barabara za lami tambarare watu wanakula mizinga (2) Ajali haina miadi - Inapokuwa siku yako kuramba mzinga imefika, na wakati wake; utaramba tu mzinga, hata kama uko ndani kwako umelala, (3) Ajali haina mwenyeji - iwe yeye tu ndio mtu wa ajali na wengine inakuwa wao sio wa kupata ajali. Akikumbuka hayo, atashukuru kutoka salama na atakapotunga wimbo, aimbe kutoa shukrani zake.
..Tunarudishana nyuma mambo ya kuibiana...
..Mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa simbaa
Kwahiyo chama kimeingia nae ubia kwa ss?!
uuuh.....afadhali wamenusurika.......hizi ajali zimezidi sasa...a a
Mungu amewanusuru!Maana ajali zimeZidi hasa wanamuziki hadi vifo jamani.Mwanamuziki 20 pasent amepata ajali ya gari mkoani kigoma baada ya tairi la gari hiyo aina ya noah kupasuka na gari kupinduka,msanii huyo na wenzie waliokuwa wakitokea kigomwa kwenda mwanza wametoka salamaaaa wamepona
haaaaaWalipelekwa Kigoma na CCM kuzindua barabara na JK?
uuuh.....afadhali wamenusurika.......hizi ajali zimezidi sasa...a a