Mkuu hiyo bei huwezi pata mnunuzi. Why? kwa sababu Range Rover na NISSAN kwa Tanzania
inajulikana these type of Car have very low resale value. Wengi wanaonunua wakitaka kuuza
wanauza nusu au hata chini ya nusu ya bei. Its only EPA guys will buy at that price.
Lakini pia watanzania wengi sasa wanajua angalia hapa http://www.autoscout24.eu/Details.aspx?id=217194721&cd=634768778240000000
mkuu ni biashara, Mungu atanisaidia nitauza tu, hata kama mtazamo wako siwezi pata mnunuzi, mbona mimi nimenunua na siyo EPA, siyo kila kitu EPA tu. web uliyoituma nimeona, siyo mbaya ata kama mtu atatafuta mwenyewe kwenye web, ni biashara wala si kulazimishana. asante kwa ushauri lakini
Manufacturer: Land Rover
Model: Range Rover 2.5 DSE
Fuel: Diesel
Year: 1997
Transmission: Auto
Mileage: 152,000
Price: 28.500,000 TZS
Namba yake ya Tanzania ni TxxxCBS.
Inaelekea wewe mtunzaji kweli yaani gari ina miaka karibu 15 halafu imetembea km 150 000 tu!, duh hongera kwa hilo!
Kwa maana niko Dar na matumizi ya kawaida tu kwenda town nakurudi nakata kama 15 000 km kwa mwaka bila kuhesabu trip za mkoa na nje ya nchi!
Anyway mimi sio mnunuaji nisikupotezee muda wako nimeshangazwa tu na utumiaji na utunzaji wako!