Sasa wewe umeharibu, umezitoa hizo karoti kabla hazijazaa, zilikuwa zikiendelea na mchakato wa kutaka kuzaa karoti zaidi. Ona sas, umejipunja wewe mwenyewe, umejipunguzia mavuno, siku nyingine fukua,chungulia ukiona karoti zako zko katika mchakato huo fukia haraka ili ziendelee kuzaliana. Asante sana kwa kuwa na karoti za kibibi na bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.