Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Tangu mgomo uanze 23/06/2012 wagonjwa 19 wamefariki katika hospitali ya mkoa Mwanza ya Sekou Toure. Akihojiwa na Startv mganga mkuu wa hospital hiyo ina interns 20 ambao waligoma ila hadi sasa 6 wamerejea na kuendelea na kazi,14 wamerudishwa wizarani kwa kuendelea na mgomo.
Source:Startv Habari.
NB:Wewe unajisikiaje kwa watu kufa kwasababu ya mgomo? Najua kuna wengine wanaona nisawa kwakuwa wanavijisent vyakwenda private,lakini jiulize je kama ni ndugu yako kafariki wewe ungejisikiaje? Jamani tuache siasa kwenye afya!
Source:Startv Habari.
NB:Wewe unajisikiaje kwa watu kufa kwasababu ya mgomo? Najua kuna wengine wanaona nisawa kwakuwa wanavijisent vyakwenda private,lakini jiulize je kama ni ndugu yako kafariki wewe ungejisikiaje? Jamani tuache siasa kwenye afya!