mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Hawa wanajiita Pushmobile, Ni wezi, na matapeli wakubwa, wananitumia Sms za job alert tangu mwaka 2010, nimejaribu kujitoa (unsubscribe) lakini wapi.! Nilitembelea tigo pale mlimani city wakanizuga eti nitatolewa kwenye hii huduma, wananiibia sh. 150/= kila siku kama gharama ya ujumbe. MSAADA plz wa kujitoa kwenye hii huduma nikipiga hesabu ya pesa yangu wanayokula kila siku inaniuma sana. Nawasilisha.