Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,826
- 1,045
The Bible hakuna sehemu iliyomtaja Muhammad, comforter does not mean Muhammad, kuwa ndiye atakaye kuwa mbadala wa Yesu, Yesu siku ziote yupo na hana mbadala kwa maana uifikiriayo. sisi wakristu tunaiamini Biblia iliyopo, ambayo haimtambui Muhammad,Hizo reference nimekutumia uzifanyie kazi;
John 16:7 - 8
7 Nevertheless I tell you the truth; It is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not come unto you; but if I depart, I will send him unto you.
Hapo Comforter ni NANI??
8 And when he is come, he will reprove the world of sin, and of righteousness, and of judgment
And When HE ni kiingereza inashiria mtu wa jinsia gani ? Mwanaume
9 Of sin, because they believe not on me;
Kwa sababu watu wake walimkataa Yesu kwa hiyo Ataletwa mtu/Comforter/he kuwaeleza kuhusu ujio wake yeye YESU
10 Of righteousness, because I go to my Father, and ye see me no more;
Mtu ambae righteous, Nitaenda kwa Baba yangu hamutaniona tena. Yaani huyo Comforter ni righteous na atakapokuwa kaja Yesu hatakuwepo.
11 Of judgment, because the prince of this world is judged.
Hapo ni kusema kila mtu lazima ahukumiwe.
12 I have yet many things to say unto you, but ye cannot bear them now.
13 Howbeit when he, the Spirit of truth, is come, he will guide you into all truth: for he shall not speak of himself; but whatsoever he shall hear, that shall he speak: and he will shew you things to come.
Huyo Spirit of Truth hata jizungumzia yeye mwenyewe, atawaongoza njia sahihi na ataongea kile anachoambiwa na Mungu.
14 He shall glorify me: for he shall receive of mine, and shall shew it unto you.
Na pia atanitukuza.
Huyo anayemzungumzia YESU ni mtu wala sio Roho kama munavyo ambiwa. Tafuta Biblia ya Armeic uthibitishe tafsiri ya Huyo Comforter in Jewish, ametajwa kwa Jina "AHMAD" ambae ni Muhammed.
Na Mtume Muhammed(SAW) pamoja na kumtukuza (GLORIFY) Yesu ameyafanya hayo yote anayezungumzia YESU. Na Quran jinsi ilivyo ukisoma kila sehemu Mtume anaambiwa SEMA , nayo inaandikwa hivyo hivyo SEMA so & so. Direct words from God, ndio maana Yesu kasema hatajisemea mwenyewe atasema kila anachoambiwa. Hiyo ndio maana yake.
Sasa Nakupa reference ya Quran:
Sura 61:6
And when Jesus son of Mary said
‘O Children of Israel!
Indeed I am the apostle of Allah to you,
to confirm what is before me of the Torah,
and to give the good news of an apostle
who will come after me,
whose name is Aḥmad.’
Yet when he brought them manifest proofs,
they said, ‘This is plain magic.’
Na hayo kweli ndiyo nyinyi munayosema. Munasema Muhammed Mchawi.
Sasa mimi nakuachia haya. Yafanyie kazi. Kama nimekosea niambie.
Hii biblia mnayoileta ni namna na kutuaminisha kuwa Muhammad ndiye aliyekuwa anangojewa na hivyo tumfuate, kitu ambacho siyo cha kweli.