14 killed, 50 injured as militants toss grenades and spray bullets in a Garissa church!

Vice President Kalonzo Musyoka ..."Places of worship including churches, temples and mosques among others should be respected, it is unfortunate that two police officers assigned at the church were shot and killed," said VP Musyoka.
Makamu wa Rais anasema serikali inasikitika kwa vifo vya polisi wawili. Kati ya watu 17 waliokufa wanaomboleza polisi wawili!

I hope wamekosea kumnukuu maana press yenyewe ya East Afrika ni jalala, na mambo ya Wakenya kutumia lugha ambayo hawaielewi vizuri.
 
its is quite saddening to note a full mod is obsessed with negatively potraying a fellow jirani country. i have been silently watching the enthusiasm of ab tichaz as he kept us updated with the unfortunate terrorist events. thing to note was ab tichaz eagerness to update us with the rising death toll. while he kept us updated with the rise of the casulties he has failed to review the figure downwards after the source he was using namely the nation apologized and gave a lower figure. question to ab tichaz. dont you feel any shame?
 
Nairoberry, you are free to post positive' news! No country is perfect au unataka kunificha nini maana most of tne news posted here are also reported in you dailies!

By they way you haven't been silent hapa JF, na wewe umekuwa unapost uchuro kila kukicha.
 
If i were the judge, i would ask you the same question...dont u feel shame for not putting the corrected figures, leaving abTichaz shuttering the image of your good country!! The case is just simple, override his figures by pasting the corrected ones...too simple!
 
610x.jpg


610x.jpg


610x.jpg


610x.jpg


610x.jpg


610x.jpg


Picha kwa hisani ya AFP
 
Yani hao watakua Alshabab kutokana na mbr wa church anavyodai kua aliona mtu kama msomali
 
Siku si nyingi tutakuwa tunayashuhudia haya Tanzania. Hizi chokochoko za kidini ambazo uongozi wa nchi yetu unazifumbia macho utakuja utugharimu vibaya sana. Ni bahati mbaya sana kwamba nchi ina kiongozi asiyekuwa na uwezo wa kutatua matatizo sugu ya nchi kama haya ya udini ambayo yanaanza kupata nguvu wakati wa utawala wake.
 
Makamu wa Rais anasema serikali inasikitika kwa vifo vya polisi wawili. Kati ya watu 17 waliokufa wanaomboleza polisi wawili!

I hope wamekosea kumnukuu maana press yenyewe ya East Afrika ni jalala, na mambo ya Wakenya kutumia lugha ambayo hawaielewi vizuri.
Wewe mwenyewe umetafsiri kitu tofauti na kilichoandikwa. Msyoka anasema ni bahati mbaya kwamba hata polisi waliopewa kazi ya kuwalinda wananchi wakati wa ibada wameuawa. Hii ina maana kwamba Msyoka alitegemea kwamba uwepo wa polisi hao ungewahakikishia usalama wanaosali. Sasa wewe unaongea kitu gani?
 
Wewe mwenyewe umetafsiri kitu tofauti na kilichoandikwa. Msyoka anasema ni bahati mbaya kwamba hata polisi waliopewa kazi ya kuwalinda wananchi wakati wa ibada wameuawa. Hii ina maana kwamba Msyoka alitegemea kwamba uwepo wa polisi hao ungewahakikishia usalama wanaosali. Sasa wewe unaongea kitu gani?

Mkuu Lukolo hivi ni polisi gani wa nchi za ki-Afrika anayeweza kupambana na vikundi dada vya Alqaeda kama Alshabaab au Boko Haram?
Hiyo ni kazi ya jeshi tu tena kwa shida saaaana!, polisi ni wetu wa ki-Afrika ni watoto mno kamwe hawatoweza....

Hebu angalia jeshi la Kenya tangu wametuahidi kuwa watamaliza kazi pale Kismayu ilikua mwaka jana mpaka leo hata hawaja weza ku-move zaidi ya nchi kumi...:hat:
 
Mkuu Lukolo hivi ni polisi gani wa nchi za ki-Afrika anayeweza kupambana na vikundi dada vya Alqaeda kama Alshabaab au Boko Haram?
Hiyo ni kazi ya jeshi tu tena kwa shida saaaana!, polisi ni wetu wa ki-Afrika ni watoto mno kamwe hawatoweza....

Hebu angalia jeshi la Kenya tangu wametuahidi kuwa watamaliza kazi pale Kismayu ilikua mwaka jana mpaka leo hata hawaja weza ku-move zaidi ya nchi kumi...:hat:
Technically, Kenya imejiweka kwenye wakati mgumu sana hadi hivi sasa. Maana haiwezi kusema mikusanyiko yote mikubwa ilindwe na jeshi maana hayo yatakuwa ni matumizi mabaya ya jeshi, na hao polisi pia, kwa vyovyote vile hawawezi kupelekwa kila mahali, yamkini wapo maeneo mhimu tu. Lakini zaidi ya yote, ndiyo kama unavyosema, kwa vikundi wanavyopambana navyo wakenya, polisi si kitu kabisa. Na wala sijawahi kujua ni kwanini Kenya iliamua kuingia kwenye hii vita, maana sasa imejiweka kwenye risk mbaya kupindukia. Na kwa jinsi Rais wetu alivyo, haitakuwa ajabu akitangaza kupeleka jeshi huko Somalia na yeye. Halafu ukizingatia ulinzi wa Tanzania ulivyo hovyo naamini tutakuwa tunachinjwa kama kuku.
 
Technically, Kenya imejiweka kwenye wakati mgumu sana hadi hivi sasa. Maana haiwezi kusema mikusanyiko yote mikubwa ilindwe na jeshi maana hayo yatakuwa ni matumizi mabaya ya jeshi, na hao polisi pia, kwa vyovyote vile hawawezi kupelekwa kila mahali, yamkini wapo maeneo mhimu tu. Lakini zaidi ya yote, ndiyo kama unavyosema, kwa vikundi wanavyopambana navyo wakenya, polisi si kitu kabisa. Na wala sijawahi kujua ni kwanini Kenya iliamua kuingia kwenye hii vita, maana sasa imejiweka kwenye risk mbaya kupindukia. Na kwa jinsi Rais wetu alivyo, haitakuwa ajabu akitangaza kupeleka jeshi huko Somalia na yeye. Halafu ukizingatia ulinzi wa Tanzania ulivyo hovyo naamini tutakuwa tunachinjwa kama kuku.

Askari wetu ni wazuri na wazoefu wa vita si rahisi kufanywa asusa/kitoweo kama wengine. Kumbuka si mbali na hapo yaani maeneo ya Darfur-Sudan tuna kikosi kikubwa tu ambacho ndio mfano kwa vikosi vyote vya UN toka nchi nyingine.

Pia Kamanda mbaye ni second in command wa vikosi vyote vya UN ni mTanzania mwenzetu Major General Wynes-Jones Kisamba pictured below black man in black gloves!!!:

4321943078_63830a23db_b.jpg


Nilitaka kusahau kitu moja muhimu, mkuu wa opereshi zote za UN pale Somalia ni mTanzania aitwae Augustine Mahiga (Ph.d) pictured below:
Mahiga.jpg

Kwa kifupi tunajitahidi kwa kweli ktk kusaidia ndugu zetu walio vitani ktk bara la Afrika lakini hali yenyewe ndio ilivyo..:hat:
 
It is just astounding how a mod on this forum can take such a position it is a shame really and the hatred they have is unprecedented! Nairoberry, you are on point!
 
its is quite saddening to note a full mod is obsessed with negatively potraying a fellow jirani country. i have been silently watching the enthusiasm of ab tichaz as he kept us updated with the unfortunate terrorist events. thing to note was ab tichaz eagerness to update us with the rising death toll. while he kept us updated with the rise of the casulties he has failed to review the figure downwards after the source he was using namely the nation apologized and gave a lower figure. question to ab tichaz. dont you feel any shame?

Nairobbery,

Kwanza kabisa be advised that here at JF we do not start threads on individual members.
Maybe because you did not know, I will let you slide this time around. For that reason I have
merged it to this one because that is where the gist of your whinning is about.

Secondly your reasoning is very warped to even imagine that I'm obsessed with potraying Kenya
negatively on this board. Just like somebody opined up there, counter whatever you see with
your own argument. Whinning about AB-Titchaz will not suffice. As they say, for very ying there
is a yang!

The purpose of availing a link to all my postings is that whoever is reading, can go to the source and
get updated news. I have a life to live and I don't stay on this forum 24/7 updating people with news.
Look for something better to say in that regard.

Have a good day.
 
Wewe mwenyewe umetafsiri kitu tofauti na kilichoandikwa. Msyoka anasema ni bahati mbaya kwamba hata polisi waliopewa kazi ya kuwalinda wananchi wakati wa ibada wameuawa. Hii ina maana kwamba Msyoka alitegemea kwamba uwepo wa polisi hao ungewahakikishia usalama wanaosali. Sasa wewe unaongea kitu gani?
Kama alitaka kusema hicho unachosema basi ndo maana nakwambia wewe na huyo Makamu wa Rais wa Kenya, tumieni lugha mnazozielewa!

Unaongeza maneno na tafsiri ambazo hazipoa. VP wao amesema, "Ni bahati mbaya maofisa wa polisi wawili waliopangwa kwenye kanisa hilo walipigwa risasi na kufa." Sasa hao wengine ambao sio polisi wao sio vibaya kwamba wamekufa? Lugha aliyotumia Makamu wa Rais Kenya ni mbovu na ya kutojali.



Vice President Kalonzo Musyoka ...“Places of worship including churches, temples and mosques among others should be respected, it is unfortunate that two police officers assigned at the church were shot and killed,” said VP Musyoka.
 
Kama alitaka kusema hicho unachosema basi ndo maana nakwambia wewe na huyo Makamu wa Rais wa Kenya, tumieni lugha mnazozielewa!

Unaongeza maneno na tafsiri ambazo hazipoa. VP wao amesema, "Ni bahati mbaya maofisa wa polisi wawili waliopangwa kwenye kanisa hilo walipigwa risasi na kufa." Sasa hao wengine ambao sio polisi wao sio vibaya kwamba wamekufa? Lugha aliyotumia Makamu wa Rais Kenya ni mbovu na ya kutojali.
Tatizo lako unafanya direct translation, kiingereza hakitafsiriwi hivyo.
 
Askari wetu ni wazuri na wazoefu wa vita si rahisi kufanywa asusa/kitoweo kama wengine. Kumbuka si mbali na hapo yaani maeneo ya Darfur-Sudan tuna kikosi kikubwa tu ambacho ndio mfano kwa vikosi vyote vya UN toka nchi nyingine.

Pia Kamanda mbaye ni second in command wa vikosi vyote vya UN ni mTanzania mwenzetu Major General Wynes-Jones Kisamba pictured below black man in black gloves!!!:

4321943078_63830a23db_b.jpg


Nilitaka kusahau kitu moja muhimu, mkuu wa opereshi zote za UN pale Somalia ni mTanzania aitwae Augustine Mahiga (Ph.d) pictured below:
Mahiga.jpg

Kwa kifupi tunajitahidi kwa kweli ktk kusaidia ndugu zetu walio vitani ktk bara la Afrika lakini hali yenyewe ndio ilivyo..:hat:
Sounds nice, but kikubwa tusijitose kwenye vita ya somalia kama wenzetu wakenya walivyofanya, maana inawagharimu sana wakenya.
 
Technically, Kenya imejiweka kwenye wakati mgumu sana hadi hivi sasa. Maana haiwezi kusema mikusanyiko yote mikubwa ilindwe na jeshi maana hayo yatakuwa ni matumizi mabaya ya jeshi, na hao polisi pia, kwa vyovyote vile hawawezi kupelekwa kila mahali, yamkini wapo maeneo mhimu tu. Lakini zaidi ya yote, ndiyo kama unavyosema, kwa vikundi wanavyopambana navyo wakenya, polisi si kitu kabisa. Na wala sijawahi kujua ni kwanini Kenya iliamua kuingia kwenye hii vita, maana sasa imejiweka kwenye risk mbaya kupindukia. Na kwa jinsi Rais wetu alivyo, haitakuwa ajabu akitangaza kupeleka jeshi huko Somalia na yeye. Halafu ukizingatia ulinzi wa Tanzania ulivyo hovyo naamini tutakuwa tunachinjwa kama kuku.

Wewe naona una kasoro na pengine unaishi ugaibuni. Wakati makundi ya kigaidi zinajipanga na kuuunda majeshi kama tulivyo shuhudia pwani ya kenya/Mulungunipa na magaidi wengine kama hawa, unatarajia kenya itazame. kuna duru kuwa hawa wantafuta misitu ya kuaanza kutekeleza unyama dhidi ya raia. Wakati mwingine tutenge siasa mbali ikija kwa suala la ugaidi. Na tazama ninakuhakikishia majeshi hayataondoka Somalia, bali mashambulizi moto moto yataendelea itakayofanya AS warudi kufanya shughuli zao za uchungaji ngombe. Sioni haja ya kuinamia ukoloni mambo leo huku vikosi vya kigaidi vikimarika.
 
Duh...kumbe hali inazidi kuwa mbaya.sasa kama polisi wanaowalinda waumini wanauawa,itabidi raia wawe wanaingia na bulletproof vest kwenye nyumba za ibada.
 
Back
Top Bottom