Afu wewe mtoa mada inaonekana kiswahili hukijui kabisaa...lol.. Takutafuta unipe tuition ya kiinglishi asee!this is a brilliant observation esp. coming from an african man talking about his. usually our african men never want to tackle these issues, let alone talk about them men to men. This brings a huge gap between them and their wives/our emancipated black women.
Halafu mkuu angalau basi hata unge-acknowledge mwandishi aliyeandika hii kitu kuliko kukopi hadi comments za wachangiaji kwenye site ulipoitoa na kuonekana kama vile comments umezitoa wewe.this is a brilliant observation esp. coming from an african man talking about his. usually our african men never want to tackle these issues, let alone talk about them men to men. This brings a huge gap between them and their wives/our emancipated black women.
Hahaha!! Wewe ngoja nikanyoe kipara kabisaLol sweetie, inamana sijipendi au?.. Unavyonisaidia kuosha vyombo na kupika kweli unategemea ntie neno?.. Hivyo ulivyo smart mda wote umeshave sehemu zote! Ndio mana nakazana kusema sio wote!
Hiyo namba 10 inakuhusu sana nasikia una Phd 2 na MBA 5Tetea aise maana hapo sio wote wako hivyo bana
Wengi wameshabadilika na ukikutana nao kuanzia nyumbani hadi mtaani wamebadilika sana
Kuanzia kuzijali familia zao na kuwapenda wake zao sio mbele ya wakwe tuu hata katika mazingira ya kawaida
Well said Mr. Rocky, wanaume wa kizamani ndio walikuwa kama hiyo namba 5, 7, na 9...nyie wa siku hizi kwakweli mwajitahidi sana, sana. Ukikuta mwanaume haijali familia, (mke na watoto) jua ana matatizo ndani ya kichwa chake...na wala sio uanaume wake unamfanya awe hivyo!Tetea aise maana hapo sio wote wako hivyo bana
Wengi wameshabadilika na ukikutana nao kuanzia nyumbani hadi mtaani wamebadilika sana
Kuanzia kuzijali familia zao na kuwapenda wake zao sio mbele ya wakwe tuu hata katika mazingira ya kawaida
Hahah! Hivi kumbe hapa twachangia copy & paste??? Haki zote zimehifadhiwa au bado?Halafu mkuu angalau basi hata unge-acknowledge mwandishi aliyeandika hii kitu kuliko kukopi hadi comments za wachangiaji kwenye site ulipoitoa na kuonekana kama vile comments umezitoa wewe.
Hiyo namba 10 inakuhusu sana nasikia una Phd 2 na MBA 5
Hahaha!!! Nanukia marashi ya pwani...lolWe no 6 inakuhusu sana maana we umekazania soccer na politics tuu na no 9 maana hiyo harufu yako ukichanganya na sigara unazovuta ni kama harufu ya beberu la mbuzi lol
Hahaha!!! Umenikumbusha The BossHahah! Hivi kumbe hapa twachangia copy & paste??? Haki zote zimehifadhiwa au bado?
Well said Mr. Rocky, wanaume wa kizamani ndio walikuwa kama hiyo namba 5, 7, na 9...nyie wa siku hizi kwakweli mwajitahidi sana, sana. Ukikuta mwanaume haijali familia, (mke na watoto) jua ana matatizo ndani ya kichwa chake...na wala sio uanaume wake unamfanya awe hivyo!
Ok... Ningekusindikiza ila wacha mie nibaki hapa home niendelee kuandaa dina... Usichelewe coz naweka na maji ya kuoga kabisa..lol... wanaume wa siku hizi wanaoga ati!Hahaha!! Wewe ngoja nikanyoe kipara kabisa
Hahaha!!! Nanukia marashi ya pwani...lol
Mwambie kuwa na maji ya kuoga nakuwekeaga nazi na vitunguu swaumu....lol..Hahaha!!! Nanukia marashi ya pwani...lol
Halafu wewe naona unapiga madongo kimya kimya nimekustukia.....muone kichwa chake kwanzaOk... Ningekusindikiza ila wacha mie nibaki hapa home niendelee kuandaa dina... Usichelewe coz naweka na maji ya kuoga kabisa..lol... wanaume wa siku hizi wanaoga ati!
Umeonae?.. Hongereni sana kwa hayo mabadiliko!... Washamba ndio ambao hawajabadilika!..Asante sana
Wengi siku hizi kwa kweli wako mbele sana kwenye masuala ya kuzijali familia zao na wake zao
Ukimkuta mtu ambaaye yupo yupo tuu haijali familia au mke wake au ana yale mambo ya kizamani kuwa mke hana sauti au yeye ndio yeey ndani ya nyumba au akiingia ndani watoto wote wanajifanya wamelala au sijui hakuna mtoto kushika hata funguo za gari ya baba huyo ni limbukeni
Unachafua CV yangu wakati waifu wangu SL yuko niombe radhi kama sijaja kukunyanganya zile soksi nilizokuazimaUmeanza lini wewe wakati ulikuwa ukiingia ndani ya chumba hata kama usiku wa manane inabidi madirisha yafunguliwe
Hahaha! Jamani love yamekuwa hayo tena?.. Ila nashukuru mungu vile wewe waoga lakini hupakagi ile caro-light yangu...Halafu wewe naona unapiga madongo kimya kimya nimekustukia.....muone kichwa chake kwanza
Umeonae?.. Hongereni sana kwa hayo mabadiliko!... Washamba ndio ambao hawajabadilika!..