Kutoka Mirembe
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 294
- 86
I am a deamer. A big dreamer! Sijui hii kichwa kiwanda inafanza nini. Wakati mwingine naota ninachowaza. Wakati mwingine naota watu niliowasikia na ambao siwajui (wengine membwrs wa jf, hehehe). Sometimes naota kitu, then the exact happens a few days later! Staki hata kuwaza hapa manake nitaota hii thread later when i sleep!
:banghead::banghead:
Hahaha,du!