10 Facts about dreams

Ndoto huwa haishi that minz tukio halifiki mwisho mhusika lazima azinduke, wanadai ukiota na ukifika mwisho wa ndoto ujue umekufa haupo hai, je hili lina ukweli? binafsi sijawah ota ndoto ikaisha lazima itakatikia sehemu.

kiukweli binafsi sina uhakika na hilo...ila mara nyingi sweet dreams ndiyo zina katabia ka kutoisha, mie (kwa mawazo yangu) naona kama tunaona hazifiki mwisho maana tuna kuwa na hamu saaaana ya kuona mwisho wake (coz they r sweet, it's like we want to live in them). inapokuwa ni night mare, thubutuuuu...kwanza yale matukio ya kuogopesha kwenye nightmares zinafanya mpaka ur conscious mind ishtuke kiasi kwamba unaamka (tena mara zingine huku unatweta). that's my thinking with regards to the matter
 
ha ha haa mzee wa Psychoanalysis Sigmund namkubali na hasa kwa jinsi alivyojitahidi kuielezea subconscious mind. ila mtu anapohitaji uelewa mpana wa masuala haya ni vema kurejea theories za psychologists wengine pia...big up :poa

ni kweli mkuu ni vyema kusoma theories nyingi uwezavyo ili uweze kujua zaidi, kutofautisha na kulinganisha. na kutusaidia kuelewa kitu hicho kwa undani zaidi.
 
kiukweli binafsi sina uhakika na hilo...ila mara nyingi sweet dreams ndiyo zina katabia ka kutoisha, mie (kwa mawazo yangu) naona kama tunaona hazifiki mwisho maana tuna kuwa na hamu saaaana ya kuona mwisho wake (coz they r sweet, it's like we want to live in them). inapokuwa ni night mare, thubutuuuu...kwanza yale matukio yakuogopesha kwenye nightmares zinafanya mpaka ur conscious mind ishtuke kiasi kwamba unaamka (tena mara zingine huku unatweta). that's my thinking with regards to the matter

mkuu
jana nilipotoka hapa nikaenda kudig zaidi kuhusu haya maswala nikamsoma K.Muslin na itroduction to philosophy of mind 2nd ed 2005, topic ya relationship between mind and body which is still debatable to sholars .
Nataka kusema jambo kuhusu kuota ndoto na kuamka unahema unatweta, anything tnhat happens in mind has effects in body, sasa mtu anaota ndoto ya kutisha (happens in mind) lakini mind ndio inakontrol body so damu inaanza kwenda mbio mapigo yanabadilika na that affects other things on physical body obviously ukiwaunamtazama mtu huyu akiwa anapata shida hiyo unaona kabisa mwili unapata shida. na yeye mwenyewe akiamka anatota jasho anahema kwa sababu it was mind that was busy to extent raised the counsious of that particular person and feel the effects of what happened in the mind.

ni kama unapokuwa na mawazo (in mind) unaweza pata homa au mwili kuishiwa nguvu na kudhoofica( effects physical)
 
ha ha haa mzee wa Psychoanalysis Sigmund namkubali na hasa kwa jinsi alivyojitahidi kuielezea subconscious mind. ila mtu anapohitaji uelewa mpana wa masuala haya ni vema kurejea theories za psychologists wengine pia...big up :poa

sigmund ananifurahisha sana katika maelezo yake ya symbolism in dreams and his sexual analysis of dreams. sijui aliwaza nini. ukisoma kazi zake ni burudani sana.
balaa liko katika theories za mind body and soul ni somo gumu sana hata wanafalsafa wenyewe wanajikanyaga kila kukicha mambo hayaelezeki wanakosa lugha ya kueleza hata wakipata ni ngumu hata kwao wao wenyewe. i still believe that we humans have long way to go to understand what was, what is and what will happen in and out side our physical world and spirital world.
 
kumbe inawezekana hata shekhe yahya alikuwa
ana desa kina sigmund freud?
anyway nasubiri unipe hizo infos thanx?

unajua mkuu
siku moja nimekaa na kuwaza hii taaluma ya utabiri wa nyota na nyota zenyewe, i came to realize that hao wanaojiita watabiri wa nyota na kueleza behaviour za watu are nothing more that people who took alot of time to study people who were born in certain period of time and record their behaviours. na ukishasoma tabia ya kitu you can predict what may happen, kwa case ya watu hata their career. nisichoelewa ni ile day to day prediction of events.
 
kuna mtu mmoja anafanya kazi na polisi kwa sababu ya ndoto zake, huyo jamaa yuko huko majuu alikuwa anaota uhalifu unaotarajia kujitokeza akaenda kwa daktari wake na kumweleza yeye huota vitu vijavyo,na hutoke kweli sasa akamshauri awe anatoa taarifa polisi kunusuru huo uhalifu alipoanza kutoa taarifa walimwambia anadanganya yalipotokea walimfuata na kumuhoji walipohakikisha kuwa anaota mambo yajayo wakamuajiri na kuanza kuisaidia polisi kunusuru uhalifu na mambo mengine ndoto zake zimekuwa masaada kwa jamii yake.
haya ndio maajabu ya ndoto.
 
mkuu
huwezi kuamini ni scientist wanasema hivi tafauta kitabu ya introduction to psychology i will give you the auther and year, or kuna kingine kinasema introduction to philosophy of mind ed 1 nayo nitakupa full titles humo ndani wanajadili kwa kirefu topic ya dream and kila kihusicho wanataaluma wanatoa hoja zo kadha wakadha hata ukigooogle utapata haya ninayokwambia mkuu. sasa nipo ofisini sina details zote but i promise to give you one.
na tafuta pia sigmund freud and his intepretation of dreams utaona mambo mengi mazuri kuhusu ndoto na ya ajabu. na huyu ni famous scholar.

Ziweke hizo titles humu mkuu
 
Kuna ambao huwa wanaota tukio then kesho au baada ya muda flani linatokea.... Sijui imekaa vipi hiyo, namfahamu mtu mmoja ambae matukio mengi anayoota huwa yanatokea.
 
kuna mtu mmoja anafanya kazi na polisi kwa sababu ya ndoto zake, huyo jamaa yuko huko majuu alikuwa anaota uhalifu unaotarajia kujitokeza akaenda kwa daktari wake na kumweleza yeye huota vitu vijavyo,na hutoke kweli sasa akamshauri awe anatoa taarifa polisi kunusuru huo uhalifu alipoanza kutoa taarifa walimwambia anadanganya yalipotokea walimfuata na kumuhoji walipohakikisha kuwa anaota mambo yajayo wakamuajiri na kuanza kuisaidia polisi kunusuru uhalifu na mambo mengine ndoto zake zimekuwa masaada kwa jamii yake.
haya ndio maajabu ya ndoto.

Halafu hiyo movie kama nimeshawahi kuiona vile sema nimesahau tu inaitwaje
 
Hellow pals,in this forum of inteligents its my first time to drop my view about dreams and your views widen up my range of understanding;

1) EVERYBODY DREAMS
verybody dreams except under the case of extreme psychological disorders. Men&wnmen have different dreams and different reactions to their dreams,children typically have many nightmares than adult until from 3~8years.

2) BLIND PEOPLE ALSO DREAM; people who become blind after birth can see images on their dreams but those who were born blind their dreams do not involve images but other senses like touch,smell,sound and emotions.

3) YOU FORGET 90% OF YOUR DREAM: within 5min of your waking half of your dream is forgotten and up to 10min 90% is totally forgotten.

4) NOT EVERYBODY DREAM IN COLOR: its about 12% of sighted people dream in black&white and the rest tends to dream in colour though they tend to have common themes in dreams like being chased,flying,teeth falling out,a person alive bein dead,.....

5) YOU ARE PARALYZED WHILE SLEDP; trust me when you sleep your body is virtually paralyze-most likely to prevent your body from acting out aspects of your dreams.

6)....
7)....
8)....
9)....
10).....

I am talking from the Biblical point of view, DREAMS are REAL...wote walioota kwenye biblia yalitokea, kwa mfano Yusuph aliota Jua, Mwezi na Nyota vinamuinamia, akawaambia wazazi wake, wakamwambia unamaana mimi baba, mama yako na ndugu zako tutakuwa chini yako?

Years later alipokuwa waziri mkuu Misri baba yake na ndugu zake walikuja kumpigia magoti wakiomba chakula. Joseph baba wa kimwili wa Yesu aliota ndoto na katika ndoto akaambiwa aondoke aende Misri kwa kuwa Herode alikuwa anataka kumuua mtoto Yesu, na kweli baada ya kuondoka huku nyuma Herode aliua watoto akikusudia kumuua Yesu pia.

Kiufupi ni watu wengi sana wameota ndoto kwenye bible na hiyo ni mifano tu. Sasa ndoto ni nini, ni lugha ya mawasiliano katika ulimwengu wa roho. Mungu na Shetani wanafanya mawasiliano kupitia ndoto pia, na Mungu na Shetani ni roho. Mwanadamu pia ni roho.

Kusahau kwa ndoto kunakuja kwa sababu you have a physical mind ambayo huwa inashindwa kuperceive mambo ya rohoni. Unapolala ni mwili na mind yako ndio vinavyolala, roho hailali, inaendelea kuona, inaweza kuona mambo yatakayotokea baada ya siku mbili au vinginevyo. Na unapoona hivyo maana yake you have to do something about it.

FANYA IFUATAVYO ILI USISAHAU...Habakuki 2:2-3.
" BWANA akanijibu, akasema, IANDIKE njozi ukaifanye iwe wazi sana...maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, WALA HAITASEMA UONGO, ijapokawia ingojee, kwa kuwa HAINA BUDI kuja, haitawia.

Mara nyingi ndoto hukatika unapoamka usingizini, kwa wakati huo ndio unatakiwa kuandika ili usisahau, maana utakaporudi kwenye akili ya mwili itaruka maana ina mabawa, AYUBU 20:8. "Ataruka mfano wa NDOTO asionekane...
Ukisoma 2 Timothy 3:16 the Bible says, All scripture is inspired by God and is useful for teaching...therefore ukitaka kujua kuhusu ndoto sio swala la phylosophy...mtafute the Author of phylosophy ambaye ni Mungu.

Bado nipo, hili ni somo refu sana.
 
number 3 inahusu sana in the sense that...

- dreams that can be very much remembered are often results of a traumatizing event
- remembering a big % of your dreams isn't something healthy, it only means that ur brain wasn't asleep...

Thank you
 
During my 20's nilikuwa naota kuruka/kupaa angani sana (almost kila wiki ilikuwa lazima nitaota ndoto ambayo mimi nakuwa naruka angani!). Siku hizi imepungua sana ingawa inatokea mara mojamoja.

Katika mkoa mmoja hapa Tanzania, watu wa mkoa huo huamini kwamba, mtu unapo ota uki-fly, basi ujue kwamba siku chache zitakazo fuata baada ya kuota utasafiri. Sina uhakika sana na jambo hili labda kama ukithibitisha kwamba kila ulipokuwa unaota hivyo ulipata kusafiri baada ya hapo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Katika mkoa mmoja hapa Tanzania, watu wa mkoa huo huamini kwamba, mtu unapo ota uki-fly, basi ujue kwamba siku chache zitakazo fuata baada ya kuota utasafiri. Sina uhakika sana na jambo hili labda kama ukithibitisha kwamba kila ulipokuwa unaota hivyo ulipata kusafiri baada ya hapo.
Hapana ndoto hizo zilikuwa hazifuatiwi na kusafiri! Lakini kwa vyovyote vile hazikuwa bure tu, naamini kuna uwezekano mkubwa zilikuwa na uhusiano na maisha yangu.
 
Vipi kuhusu sign mbalimbali kama mikono kuwasha wa2 huamin watapat pesa, or miguu kuwasha wa2 pia huamin watasafir does this have any connection with psychology?
 
Siku niliyoota nakojoa kichakani pembeni ya uwanja wa mpira, loh! Si kojo hilo kitandani, nikakosa amani kwa wiki kadhaa hata kulala nikawa silali
Ha!ha!Ha! Nikiwa na age like 10 so ,kuna place huwa tunapiga soka halafu pembeni yake kuna mnazi ambao kwa kawaida tumeugeuza toilet,mwanangu siku moja si nikaota tunapiga soka na nikaenda kujisaidia kwenye mnazi wetu!mwanangu aibuilikuwa siku hiyo na mbaya zaidi nilikuwa overnight kwa uncle yaani baadhi ya cousin walidhani ku wet bed ndio manbo yangu!
 
Dreams are somethimes messages to help us and increase our faith. God speaks to us in our dreams. If we listen, He will guide us through our problems, deliver us in time of need and give when we ask. Not just that, but through Faith, God provides miracles.:israel:
 
Kuna mdau kasema mara nyingi ndoto hhuwa hazifiki mwisho... Lakini ndoto zangu mara nyingi huwa zinafika mwisho. Hasa ndoto za mapambano either nikipambana na watu au mizuka lazima nifike mwisho na mwisho wake huwa mzuri na ninakuwa mshindi....
 
I remember when I was in form 1, niliota ndoto nzuri sana.. the moment I woke up, sikuikumbuka hata chembe lakini ile furaha ya ndoto haikunitoka kamwe, ilipita kama miezi miwili hivi nikiwa room kwangu nimekaa tu, ghafla nikaikumbuka ile ndoto! sema sikuikumbuka yote, ni kama uiangalie movie halafu ukakumbuka pale staring anatekwa, anapotoroka na kumuua adui lakini ukasahau sehemu nyingine nzuri za kufurahisha.. dah the best dream ever aisee
 
Back
Top Bottom