Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
This is my first year since i have been in jf.Namshukuru Mungu kwa ushauri na challenges nyingi nilizizopata,ambazo zimenisaidia sana na ninashukuru kwa marafiki niliowapata hapa ambao wamekua kama familia na ndugu zangu. Japo Nimekuwa busy sana na mambo ya kujenga taifa letu lakini sijawasahau wote na ninawapenda sana.,tuendelee kushirikiana.
Ahsanteni
Ahsanteni