Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,138
- 16,203
Unapopiga tigo 'customer care service' number 100 wanaku - Direct kupiga hiyo number juu kwa tittle huku wakiongeza kuwa huduma hii itatozwa sh 50, ikitokea umepiga ni bora utumie headphone kabisa maana unaweza kumaliza saa zima na isipokelewe hata wiki nzima tena mara 3 kwa siku unaishia kusikiliza instrumental tu. huenda hii ni mbinu mpya ya kibiashara na inawaumiza wengi hasa walio nje ya mji