Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,474 39,987 Dec 20, 2007 #21 kilitime, angalia hiyo mada ya hapo juu ya Halisi kuhusu Balali...
Bowbow JF-Expert Member Oct 20, 2007 541 31 Dec 20, 2007 #22 Nadhani hii mada pia ingeunganishwa kama kweli inahusiana niyo hapo juu ili kuweze kuwa na mtiririko from speculation to reality
Nadhani hii mada pia ingeunganishwa kama kweli inahusiana niyo hapo juu ili kuweze kuwa na mtiririko from speculation to reality
Halisi JF-Expert Member Jan 16, 2007 2,802 613 Dec 20, 2007 #23 Hasara hebu sema ndio hii ya Ballali ama bado tusubiri?
Bowbow JF-Expert Member Oct 20, 2007 541 31 Dec 21, 2007 #24 Hasara Uko wapi ututegulie hiki kitendawili maana kama habari ni hiyo ya Balali tujue kama vinginevyo tujulishe tuendeleee kusubiri
Hasara Uko wapi ututegulie hiki kitendawili maana kama habari ni hiyo ya Balali tujue kama vinginevyo tujulishe tuendeleee kusubiri
Samweli Mathayo JF-Expert Member Aug 1, 2017 1,577 1,700 Aug 14, 2017 #25 Jamaa ulitabiri Na akaondoka. LOWASSA 2008