mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Sijui nchi hii itakuwa vipi endapo mgomo wa madaktari utakutana na ule wa walimu unaotarajiwa kuanza tarehe 05 Julai! Ee Mungu turehemu Watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
​liwalo na liwe =mizengo pinda
​liwalo na liwe =mizengo pinda
baada ya walimu nani watafuatia
walimu wanabip tu hawana umoja.....sijui nchi hii itakuwa vipi endapo mgomo wa madaktari utakutana na ule wa walimu unaotarajiwa kuanza tarehe 05 julai! Ee mungu turehemu watanzania.
UNA UNDUGU NA zomba? naona umekoroga juice ya omo, ni povu tu!Usitulazimishe wananchi wote tugome kwa lipi?? mimi sio mtumishi wa serikali ,mimi ni mkulima ,nimetumia elimu yangu ya juu kwa kilimo na inanipatia faida kubwa sana kuendeleza msisha yangu na ya familia zangu kwa ujumla...kama wewe umeshindwa kutumia akili yao uweze kuishi tafuta njia mbadala ba sio kuwashawishi wengine kwa malengo yako binafsi