Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Sajenti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 3,557
      Rep Power : 1345
      Likes Received
      303
      Likes Given
      95

      Default Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      Raia mmoja wa Tanzania amekatwa katika mji wa mombasa nchini kenya kwa tuhuma ya kukutwa na shehena ya silaha za kivita. Mtanzania huyo alikamatwa pamoja na raia sita wa somalia. Habari za kipolisi zinasema watu hao walikamatwa baada ya polisi kupata taarifa za watu kuwa na shehena ya silaha za kivita zilizokuwa zimefichwa katika kisiwa cha malindi. Bado jina la mtanzania huyo halijapatikana na polisi wanaendelea na uchunguzi... Source KBC1 News bulletin.. 16 Dec 2009.
      To get something you never had, you need to do something you never did

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,691
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      536
      Likes Given
      146

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      yaah labda tusaidiane kupata jina lake.

    4. #3
      Sajenti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 3,557
      Rep Power : 1345
      Likes Received
      303
      Likes Given
      95

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      Quote By nguvumali
      yaah labda tusaidiane kupata jina lake.
      ...Ok!!
      To get something you never had, you need to do something you never did

    5. #4
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      Hakuwa peke yake jumla ni 6 including 5 somalia z
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    6. #5
      Sipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : SIPAJUI
      Posts : 2,167
      Rep Power : 985
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      hii incident inanikubusha ile kesi ya wamasai na wasomali
      "Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible

    7. Miaka 50

    8. #6
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,161
      Rep Power : 11897
      Likes Received
      804
      Likes Given
      630

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      Quote By Laligeni
      Raia mmoja wa Tanzania amekatwa katika mji wa mombasa nchini kenya kwa tuhuma ya kukutwa na shehena ya silaha za kivita. Mtanzania huyo alikamatwa pamoja na raia sita wa somalia. Habari za kipolisi zinasema watu hao walikamatwa baada ya polisi kupata taarifa za watu kuwa na shehena ya silaha za kivita zilizokuwa zimefichwa katika kisiwa cha malindi. Bado jina la mtanzania huyo halijapatikana na polisi wanaendelea na uchunguzi... Source KBC1 News bulletin.. 16 Dec 2009.
      kidogo nihisi MWAKALINGA!:D
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    9. #7
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,818
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      977

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      Quote By Laligeni
      Raia mmoja wa Tanzania amekatwa katika mji wa mombasa .... Mtanzania huyo alikamatwa pamoja na raia sita wa somalia. Habari za kipolisi zinasema watu hao walikamatwa ...
      Kwa nini kichwa cha habari kimeongelea U-TANZANIA badala ya Watu SABA wakamatwa na Shehena ya Silaha? Au U-SOMALI hautambuliki?
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    10. #8
      Anita Baby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 436
      Rep Power : 1348
      Likes Received
      70
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Baba_Enock
      Kwa nini kichwa cha habari kimeongelea U-TANZANIA badala ya Watu SABA wakamatwa na Shehena ya Silaha? Au U-SOMALI hautambuliki?
      watz 2po so special.
      Baba_Enock likes this.

    11. #9
      agosti 8's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2013
      Posts : 188
      Rep Power : 353
      Likes Received
      52
      Likes Given
      10

      Default Re: Mtanzania akamatwa Kenya na shehena ya silaha!!!!

      ubaguzi..hata katika uwiano tu umeshindwa kufikiria?
      Ikiwa ni wasomali 6 na mtz 1, sasa huoni wapi unapaswa kuweke mkazo?
      Inaonekana Watanzania ni watu bora sana ndo maana mleta uzi ameona apige yowe?
      Nauliza tu.

    Similar Topics

    1. Mfanyabiashara jamaa ya Mbunge akamatwa na Shehena ya Madawa ya Kulevya
      By Jembe Ulaya in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 22
      Last Post: 13th November 2011, 10:32
    2. Replies: 2
      Last Post: 5th November 2011, 21:26
    3. Mchungaji akamatwa na mabomu Kenya!
      By Ab-Titchaz in forum Kenyan Politics
      Replies: 15
      Last Post: 27th July 2010, 05:02
    4. Mtanzania akamatwa uholanzi
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 7th November 2008, 09:13
    5. Kenya: Viongozi fisadi sasa walanguzi wa silaha?
      By Huduma in forum Kenyan Politics
      Replies: 2
      Last Post: 2nd October 2008, 23:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...