| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 116
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mfuatiliaji, kupanga kitabu kilichowekwa kwenye PDF format siyo rahisi. Nakusahuri usome kurasa moja tu kwa siku kuchoka kutapungua (yaani usifunge chote "staple" kitakuchosha) Pia unawza kuruka vielelezo (tables) mpaka raundi ya pili. Nakutakia siku njema!
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
ndivyo kilivyo tayarishwaila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio ndio nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
|
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
ndivyo kilivyo tayarishwa ila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio mzuri wa kusoma ndio mana nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
|
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
ishu ni kwanba kuna vyitu unatakiwa uvifanya katika kipindi fulani na jinsi kilivyo hakijaenda kwa series ndio mana nimeomba msaada kupangiwa kwa wataalam au kama kuna mtu alikuwa na hard copy nirahisi kukipanga .mfano unachukua page ya kwanza unacopy na kupest kwenye ms word mpaka page ya mwisho then unanitumia
|
| The Following User Says Thank You to Mfuatiliaji For This Useful Post: | ||
LazyDog (24th November 2009) | ||
|
#7
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Labda hizo ndizo changamoto za ujauzito, kuona baadhi ya vitu "ndivyo sivyo". Ushauri pekee wa uhakika ni kujitahidi kukisoma hivyo hivyo.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 12:18 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||