wandugu nilikuwa najaribu kusoma hiki kitabu ila nimeshindwa naomba mtu ambaye anaweza kikipanga kisomeke kwa mpangilio naamini nitapata msaada.
wandugu nilikuwa najaribu kusoma hiki kitabu ila nimeshindwa naomba mtu ambaye anaweza kikipanga kisomeke kwa mpangilio naamini nitapata msaada.
Mfuatiliaji, kupanga kitabu kilichowekwa kwenye PDF format siyo rahisi. Nakusahuri usome kurasa moja tu kwa siku kuchoka kutapungua (yaani usifunge chote "staple" kitakuchosha) Pia unawza kuruka vielelezo (tables) mpaka raundi ya pili. Nakutakia siku njema!
Mbona ndivyo kilivyotayarishwa?
SOURCE:
www.tarlings.com/images/pregnancy_booklet.pdf
ndivyo kilivyo tayarishwaila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio ndio nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
ndivyo kilivyo tayarishwa ila kwa jinsi kilivyo hakina mpangio mzuri wa kusoma ndio mana nimeomba kusaidiwa kukipanga ili niweze kukisoma hapo ukisoma kichwa kinauma na kizunguzgungu zaidi
ishu ni kwanba kuna vyitu unatakiwa uvifanya katika kipindi fulani na jinsi kilivyo hakijaenda kwa series ndio mana nimeomba msaada kupangiwa kwa wataalam au kama kuna mtu alikuwa na hard copy nirahisi kukipanga .mfano unachukua page ya kwanza unacopy na kupest kwenye ms word mpaka page ya mwisho then unanitumia
LazyDog (24th November 2009)
Labda hizo ndizo changamoto za ujauzito, kuona baadhi ya vitu "ndivyo sivyo". Ushauri pekee wa uhakika ni kujitahidi kukisoma hivyo hivyo.
There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)
Bookmarks