| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 507
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09. Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09. |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Also jaribu System restore.
Bonyeza F8 kabla Logo ya windows haijatokea, changua safe mode, run system restore.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.” |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Also u could try to repair the windows if u have a copy of a windows run it but don't install new windows gor repair and then type
chkdsk /r it should fix it... also try going for safe mode in command prompt if it goes there do the same check disk and hopefully it should solve it... goodluck
__________________
Security is Fun enjoy while still one can. "Default is not an option" |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ila pia unaweza kufuata option hii ingawaje itakutoa uchache kidogo How To: Fix 'Missing or corrupt <windows_root>\system32\hal.dll'
__________________
Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Asanteni sana Wakulu kwa ushauri wenu. Kwa bahati mbaya bado nimekwama maana bado sijapata ile cd inayotakiwa. Mkuu SteveD bado sijafanikiwa kuingia pale 'hapa' uliponiambia niingie maana natumia cm ya N95 kuingia mtandaoni na ikifika mahali inakwama ! Kwa tatizo la mwanzo, ninayo cd ya Window Vista niliyotumia kwenye laptop. Je naweza kuitumia cd hiyo ili kure-install ile computer iliyokwama?? Msaada Tafadhali!
|
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ndugu kama ni windows xp tumia cd ya windows xp kuna zile ambazo zinaweza kutumika popote zinazoitwa malaya kama unakumbuka uliwahi kuwa na tatizo na usajili wa windows yako zamani kidogo ukariport kama ndio ile ile basi cd zake ni zile malaya unaweza kutumia yoyote tu lakini hakikika product key yake ni original yako , au upate cd ambayo ni genuine nyingi utaziona zinangaa hivi ,cd ya windows vista inaweza kutumika kwenye laptop hiyo hiyo tu kama ulinunua na laptop hiyo ila wakati mwingine inategemea na aina ya licence iliyokuwa nayo kuna zingine ni kwa ajili ya kuinstall inakupa siku 30 za kutumia ili uweze kusajili kutumia product key ambazo ziko chini ya laptop husika au dekstop husika kama uko dar nafikiri naweza kuku offer genuine cd ya window xp service park 2 , na windows vista naweza kukusaidia kuinstall kama tu una product key yake chini ya laptop cd zangu ni kwa ajili ya kuintall ila lazima uwe na licence zako mwenyewe
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
mkuu Shy, kwanza nikushukuru kwa kuweza kukumbuka lile tatizo langu la mwanzo. Yah, ni computer ile ile. Nilijaribu kutafuta ile thread lakini ikawa vigumu kidogo kwa vile natumia cm ya mkononi ku-surf. Asante kwa maelezo lakini Window os yangu haina genuine product key kwa vile nilichezewa mchezo na walioniuzia. Hili la kuniuzia genuine window os halina tatizo. Dharura yangu sasa hv ni ku-sort out hili tatizo linalosababisha nikose mengi JF! How do i go about hususani hili la cd malaya na kuwa product key yake original na pia bei Thx.
|
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nitaweza kukupatia cd hiyo kwa bei nzuri ya alfu 45 itakuwa na keys lakini inabidi ukimaliza kuinstall uchomeke katika mtandao kwa ajili ya update ujaze taarifa zako kuanzia hapo itakuwa ya kwako utaitumia jinsi unavyotaka wewe mwenyewe hii cd pia unaweza kuitumia kurepair incase kitu chochote kikienda mramba kinachohusiana na operating system ni sp 2
|
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Kama unaweza kwa maana ya kuwa na resources na knowhow, boot na Ubuntu disc, copy mafile yako muhimu yote kwenye USB drive. Then format and install a brand new windows.
You will need. Ubuntu 8.40 or later disc Windows XP disc A USB drive with sufficient space.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 07:56 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||