Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Matumizi ya computer

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,842
      Rep Power : 19441
      Likes Received
      8643
      Likes Given
      28210

      Default Matumizi ya computer

      Wengi wanatumia computer zao kwa kazi zao za kiofisi na mambo mengine madogo madogo , lakini wengi hawajui matumizi sahihi ya computer zao , ili zisiweze kupata mazara au asiweze kuthuriwa na vitu vingine vinavyohusu mitandao na mawasiliano

      Hapo chini kuna maelezo kuhusu matumizi bora ya computer yako kama yalivyokubaliwa na wataalamu wengi wa katika fani hii , sio lazima uyafuate au kutekeleza huu ni ushauri tu kama ukifuata usipofuata ni juu yako wewe ni huyu anayesimamia utendaji wa hizo mitandao yako .

      1 – Screen Savers - Wakati ukiwa hutumii computer yako kwa kipindi Fulani cha muda mrefu ukiacha computer yako pweke , kuna screen saver inakuja , hizi screen saver zinaweza kuingiliana na programme zako zingine unazofanyia kazi au kujifunza zikiingiliana zinaweza kusababisha matatizo katika computer yako au na programme zingine . UNASHAURIWA KUZIMA MONITOR KAMA HUTUMII KWA KIPINDI KIREFU AU ZIMA COMP YOTE .

      2 – Power Management – Muda mwingi wakati computer yako ikiwa haitumiki inaweza kwenda katika sleep mode kama uliset hivyo , ikienda katika sleep mode maana yake haiwezi kufanya backup ya data zako au vitu vyako , hii itasababisha upoteze data zako ambazo hukuhifadhi ( save) na wakati mwingi kuharibu mfumo wa computer .

      3 – Email Attachments – Virus wengi katika mambo ya mtandao wanarushwa au kusambaa kwa njia ya attachments , siku zote wakati unatumia attachement kwa mtu kama ni picha au documents mwambie kabisa kwamba katika email yangu kuna kitu hichi na kile nime attach , usifungue attachement ambayo hukutegemea kupata au hujapanga kuipata au wakati mwengine asiyokuwa na maelezo ya kutosha.

      4 – Email Message – Email sio njia salama zaidi kwa mawasililiano , unaweza kumtumia mtu ujumbe kwa njia ya email akawatumia wenzake wengi kama forward katika mtandao au anaweza kubadilisha baadhi ya maneno kuelezea kusudio lake mwenyewe , usiseme kitu katika emails ambacho hungeweza kusema katika jumuiya ya watu wengi .

      5 – Wallpaper Au Webshots – hizi picha au sanaa za katika computer yako kwenye desktop zinatumia sana memory ya computer yako na wakati mwingine inafanya computer yako isinzie au kwenda taratibu , tamu na iliyopendeza ni nzuri lakini kawaida ni bora .

      6 – Bandwidth - Vitu vikubwa kama Muziki , Video , Picha na mambo mengine ambayo ni makubwa yanayopitishwa katika internet usipende sana haswa kama unatumia computer au mitandao ya makazini au mitandao ambayo watu wengi zaidi hutumia kwa kufanya hivyo spidi ya internet itakuwa ndogo na utasababisha hasara kwa watumiaji wengine na kwako pia .

      Mwisho wa yote usipende kuonyesha watu au mtu mambo ya imani , vikundi vyako , siasa zako na siri zako zingine kwa njia ya mtandao haswa kwa watu usio wajua ambao huna uhakika yuko wapi na ana malengo gani na wewe .

      1. Hakikicha computer yako na vifaa vyako ni vikavu wakati wote , havina vumbi , havina unyevu wala kitu chochote cha maji , tumia kitamba akikavu au pamba kavu kusafisha komputa yako na vifaa vyake .

      2. Beba au shika cds , floppy na vifaa vingine unavyohifadhi kazi zako kwa uangalifu , usitumia cd au floppy na flash toka nje ya office yako bila taarifa maalumu au bila kujua kinatoka wapi

      • Usitumie diskate chafu , au usizoziamini
      • Usiacha diskate au flash katika computer wakati unatoka

      3. Zima vifaa vya computer yako kabla hujaunganisha na computer yenyewe , usipende kutumia vifaa au sehemu legevu hakikisha kila sehemu unayo unganisha na computer imakazwa vizuri na unaiamini

      4. Fanyia kazi zako zote katika computer yako , usichore au kufanya drafts katika makaratasi , hii itakusaidia kupunguza muda na kwenda na wakati zaidi ukitumia makaratasi ni kupoteza muda na kuchelewesha kazi zako


      5. Siku zote hifadhi mambo yako au kazi zako katika flash au cds , kama chaguo namba mbili baada ya katika computer yako , kama hiyo pc ni ya kazini basi usipende kuweka vitu vya nyumbani katika mali ya kazini au serikali saa yoyote mwingine anaweza kuja kuitumia na kuon siri zako

      • Hifadhi zako kila dakika 5 au 10
      • Angalia na uhakikishe kazi zako zimehifadhiwa sehemu salama na ambayo haina shida wakati mwingi
      • Weka alama au majina katika file zako na folders , na cds
      • Linda data zako na document zingine
      • Angalia watu unaoshirikiana nao katika kupashana taarifa kwa njia ya mtandao
      • Jiandae kwa kazi zako kufanyika au kufanywa kwa njia rahisi zaidi siku zijazo kwasababu mambo ya technologia na mawasiliano

      6. Ilinde computer yako na password kama ina kazi na data muhimu , mtu anayetakiwa kuwa na password yako ni msimamizi wa kazi zako au mkuu wa kitengo chako au kama una Administrator katika computer au shirika lenu password nzuri ni ya maneno zaidi ya 6 na ukichanganya na namba .

      7. Angalia drive zako angalau mara 1 kila wiki kuhakikisha iko salama na inaweza kufanya kazi za kuhifadhi vitu na kufanya programme zingine unazohitaji heri kinga kuliko tiba

      8. Fanya matengenezo katika computer yako mara nyingi angalau mara 3 kwa mwaka kila miezi 4 , kwa kupulizwa vumbi , kuangalia vitu vingine ndani kama vinafanya kazi vizuri kama cooling fan , ram , hadd na vitu vingine ambayo ni muhimu katika utendaji wa kazi


      9. Usiburute au kuhamisha computer au vifaa vyake wakati imeshwa , siku zote zima halafu ndio uhamishe , kama wewe huwezi muite mtu anayejua mambo hayo akusaidie kuzihamisha au kuhamisha toka eneo moja kwenda eneo lingine .

      10. Jenga mazoea na vifaa vya computer yako , jua nguvu zake na udhaifu wake na mambo menginemuhimu katika computer yako kwa njia hiyo utaepuka mengi yanayoweza kukukuta siku za mbeleni


    2. GM7 is offline
      GM7
      #2
      GM7's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 494
      Rep Power : 606
      Likes Received
      5
      Likes Given
      3

      Default Re: Matumizi ya computer

      Quote By MziziMkavu View Post
      Wengi wanatumia computer zao kwa kazi zao za kiofisi na mambo mengine madogo madogo , lakini wengi hawajui matumizi sahihi ya computer zao , ili zisiweze kupata mazara au asiweze kuthuriwa na vitu vingine vinavyohusu mitandao na mawasiliano

      Hapo chini kuna maelezo kuhusu matumizi bora ya computer yako kama yalivyokubaliwa na wataalamu wengi wa katika fani hii , sio lazima uyafuate au kutekeleza huu ni ushauri tu kama ukifuata usipofuata ni juu yako wewe ni huyu anayesimamia utendaji wa hizo mitandao yako .

      1 – Screen Savers - Wakati ukiwa hutumii computer yako kwa kipindi Fulani cha muda mrefu ukiacha computer yako pweke , kuna screen saver inakuja , hizi screen saver zinaweza kuingiliana na programme zako zingine unazofanyia kazi au kujifunza zikiingiliana zinaweza kusababisha matatizo katika computer yako au na programme zingine . UNASHAURIWA KUZIMA MONITOR KAMA HUTUMII KWA KIPINDI KIREFU AU ZIMA COMP YOTE .

      2 – Power Management – Muda mwingi wakati computer yako ikiwa haitumiki inaweza kwenda katika sleep mode kama uliset hivyo , ikienda katika sleep mode maana yake haiwezi kufanya backup ya data zako au vitu vyako , hii itasababisha upoteze data zako ambazo hukuhifadhi ( save) na wakati mwingi kuharibu mfumo wa computer .

      3 – Email Attachments – Virus wengi katika mambo ya mtandao wanarushwa au kusambaa kwa njia ya attachments , siku zote wakati unatumia attachement kwa mtu kama ni picha au documents mwambie kabisa kwamba katika email yangu kuna kitu hichi na kile nime attach , usifungue attachement ambayo hukutegemea kupata au hujapanga kuipata au wakati mwengine asiyokuwa na maelezo ya kutosha.

      4 – Email Message – Email sio njia salama zaidi kwa mawasililiano , unaweza kumtumia mtu ujumbe kwa njia ya email akawatumia wenzake wengi kama forward katika mtandao au anaweza kubadilisha baadhi ya maneno kuelezea kusudio lake mwenyewe , usiseme kitu katika emails ambacho hungeweza kusema katika jumuiya ya watu wengi .

      5 – Wallpaper Au Webshots – hizi picha au sanaa za katika computer yako kwenye desktop zinatumia sana memory ya computer yako na wakati mwingine inafanya computer yako isinzie au kwenda taratibu , tamu na iliyopendeza ni nzuri lakini kawaida ni bora .

      6 – Bandwidth - Vitu vikubwa kama Muziki , Video , Picha na mambo mengine ambayo ni makubwa yanayopitishwa katika internet usipende sana haswa kama unatumia computer au mitandao ya makazini au mitandao ambayo watu wengi zaidi hutumia kwa kufanya hivyo spidi ya internet itakuwa ndogo na utasababisha hasara kwa watumiaji wengine na kwako pia .

      Mwisho wa yote usipende kuonyesha watu au mtu mambo ya imani , vikundi vyako , siasa zako na siri zako zingine kwa njia ya mtandao haswa kwa watu usio wajua ambao huna uhakika yuko wapi na ana malengo gani na wewe .

      1. Hakikicha computer yako na vifaa vyako ni vikavu wakati wote , havina vumbi , havina unyevu wala kitu chochote cha maji , tumia kitamba akikavu au pamba kavu kusafisha komputa yako na vifaa vyake .

      2. Beba au shika cds , floppy na vifaa vingine unavyohifadhi kazi zako kwa uangalifu , usitumia cd au floppy na flash toka nje ya office yako bila taarifa maalumu au bila kujua kinatoka wapi

      • Usitumie diskate chafu , au usizoziamini
      • Usiacha diskate au flash katika computer wakati unatoka

      3. Zima vifaa vya computer yako kabla hujaunganisha na computer yenyewe , usipende kutumia vifaa au sehemu legevu hakikisha kila sehemu unayo unganisha na computer imakazwa vizuri na unaiamini

      4. Fanyia kazi zako zote katika computer yako , usichore au kufanya drafts katika makaratasi , hii itakusaidia kupunguza muda na kwenda na wakati zaidi ukitumia makaratasi ni kupoteza muda na kuchelewesha kazi zako


      5. Siku zote hifadhi mambo yako au kazi zako katika flash au cds , kama chaguo namba mbili baada ya katika computer yako , kama hiyo pc ni ya kazini basi usipende kuweka vitu vya nyumbani katika mali ya kazini au serikali saa yoyote mwingine anaweza kuja kuitumia na kuon siri zako

      • Hifadhi zako kila dakika 5 au 10
      • Angalia na uhakikishe kazi zako zimehifadhiwa sehemu salama na ambayo haina shida wakati mwingi
      • Weka alama au majina katika file zako na folders , na cds
      • Linda data zako na document zingine
      • Angalia watu unaoshirikiana nao katika kupashana taarifa kwa njia ya mtandao
      • Jiandae kwa kazi zako kufanyika au kufanywa kwa njia rahisi zaidi siku zijazo kwasababu mambo ya technologia na mawasiliano

      6. Ilinde computer yako na password kama ina kazi na data muhimu , mtu anayetakiwa kuwa na password yako ni msimamizi wa kazi zako au mkuu wa kitengo chako au kama una Administrator katika computer au shirika lenu password nzuri ni ya maneno zaidi ya 6 na ukichanganya na namba .

      7. Angalia drive zako angalau mara 1 kila wiki kuhakikisha iko salama na inaweza kufanya kazi za kuhifadhi vitu na kufanya programme zingine unazohitaji heri kinga kuliko tiba

      8. Fanya matengenezo katika computer yako mara nyingi angalau mara 3 kwa mwaka kila miezi 4 , kwa kupulizwa vumbi , kuangalia vitu vingine ndani kama vinafanya kazi vizuri kama cooling fan , ram , hadd na vitu vingine ambayo ni muhimu katika utendaji wa kazi


      9. Usiburute au kuhamisha computer au vifaa vyake wakati imeshwa , siku zote zima halafu ndio uhamishe , kama wewe huwezi muite mtu anayejua mambo hayo akusaidie kuzihamisha au kuhamisha toka eneo moja kwenda eneo lingine .

      10. Jenga mazoea na vifaa vya computer yako , jua nguvu zake na udhaifu wake na mambo menginemuhimu katika computer yako kwa njia hiyo utaepuka mengi yanayoweza kukukuta siku za mbeleni
      11. Zima Computer yako kwa utaratibu unaotakiwa, yaani click START>Shut down>Turn Off your PC na sio kuzima moja kwa moja kwenye umeme. Subiri PC imalize taratibu zake na mwisho kabisa ndio uzime kwenye umeme
      Aliye juu mfuate hukohuko juu.

    3. #3
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Matumizi ya computer

      12. Usiweke vitu vyenye sumaku kali (kama subwoofer) karibu na computer yako, vinaweza kuathiri kumbukumbu zako, au kuharibu monitor.

    Similar Topics

    1. Je Kuformat Computer mara kwa mara kuna madhara yoyote kwenyw Computer?
      By Mrimi in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 12
      Last Post: 10th October 2011, 14:02
    2. KUboot Computer kwa Computer
      By blackdog in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 3
      Last Post: 14th March 2011, 16:35
    3. Eti chuo cha Computer Kozi zake Introduction to Computer 50,000,Ms 40,000,......?
      By Mathias Byabato in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 25th January 2011, 16:53
    4. Unapoanza Kazi - Bana Matumizi bana Matumizi
      By ELNIN0 in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 1
      Last Post: 28th July 2010, 21:14
    5. Matumizi ya computer
      By Barubaru in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 0
      Last Post: 30th June 2009, 11:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...