Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Waungwana natumaini wote mko shwari,
      Nina simu yangu Blackberry tourch 9800, nilikuwa somewhere kwenye vaccation na kwa bahati mbaya picha zote nilizochukuwa kama memory nilipiga kwa kutumia simu yangu.

      sasa basi juzi wakati nataka kutoa sim lock ili nipige password ikawa inakataa kuverify nilijaribu mara nyingi baadaye ikaja option kama ya kujirestart ndipo simu ikajirestart na ikaja na sura nyingine na karibu settings zangu zote zikawa zimebadilika ikiwemo ringer tone.

      sasa kinachoniacha mimi hoi picha zilizofutika ni zile tu ambazo nilizipiga nikiwa safarini, lakini zile picha za zamani zote zimebaki.
      kwahiyo hapa naomba mautundu kama kuna namna yoyote naweza kupata msaada kama kuna backup ya photo inawezekana? maana mimi sikuzidelete bali ni lisimu lenyewe limeamuwa kunionesha The world wonders.
      akukudanger likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mtalingolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 1,924
      Rep Power : 972
      Likes Received
      324
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Matola
      Waungwana natumaini wote mko shwari,
      Nina simu yangu Blackberry tourch 9800, nilikuwa somewhere kwenye vaccation na kwa bahati mbaya picha zote nilizochukuwa kama memory nilipiga kwa kutumia simu yangu.

      sasa basi juzi wakati nataka kutoa sim lock ili nipige password ikawa inakataa kuverify nilijaribu mara nyingi baadaye ikaja option kama ya kujirestart ndipo simu ikajirestart na ikaja na sura nyingine na karibu settings zangu zote zikawa zimebadilika ikiwemo ringer tone.

      sasa kinachoniacha mimi hoi picha zilizofutika ni zile tu ambazo nilizipiga nikiwa safarini, lakini zile picha za zamani zote zimebaki.
      kwahiyo hapa naomba mautundu kama kuna namna yoyote naweza kupata msaada kama kuna backup ya photo inawezekana? maana mimi sikuzidelete bali ni lisimu lenyewe limeamuwa kunionesha The world wonders.
      hapo bold pana mköno wamtu mkuu c bure(joke)..
      Ngoja wataalamu waje

    4. #3
      Access Denied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 294
      Rep Power : 399
      Likes Received
      53
      Likes Given
      52

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      uli wipe?

    5. #4
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Ukikosea password mara nyingi BlackBerry inajifuta hivo ndo ilivyotengenezwa, inafuta memory ya simu lakini sd card haifuti, so picha za zamani zitakuwa kwenye sd na mpya zilikuwa kwenye internal memory. Kwa kifupi hizo picha zimeenda maana bb inafanya secure erase hakuna uwezekano wa kuziokoa.
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    6. #5
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Quote By Kang
      Ukikosea password mara nyingi BlackBerry inajifuta hivo ndo ilivyotengenezwa, inafuta memory ya simu lakini sd card haifuti, so picha za zamani zitakuwa kwenye sd na mpya zilikuwa kwenye internal memory. Kwa kifupi hizo picha zimeenda maana bb inafanya secure erase hakuna uwezekano wa kuziokoa.
      Huu ni ukweli mchungu na unaniuma kweli kweli, kwahiyo hata upande wa blackberry protect kwenye option za backup hakuna namna yoyote ya kuweza kuzipata hizi picha?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Ulifanya backup wakati picha zipo kwenye simu? Kama ulifanya basi zinaweza kuwepo kwenye backup.
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    9. #7
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Quote By Kang
      Ulifanya backup wakati picha zipo kwenye simu? Kama ulifanya basi zinaweza kuwepo kwenye backup.
      Hapana kiongozi, tena nimejaribu kuitowa card na kuingia kwenye picture hamna kitu, ila nikirudisha card ndio zile za zamani zinaonekana kwahiyo ziko saved kwenye card, tatizo langu kubwa simu sikuiseti picha ziingie kwenye card maana space yake siyo kubwa.
      Kwahiyo kwa kifupi zilijistore zenyewe kwenye location device au blackberry kama sikosei, matumaini pekee nilidhani blackberry protect inawaweza kunisaidia hii kitu, lakini sijafanya backup wakati picha zipo kwenye simu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    10. #8
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      638
      Likes Given
      828

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Matola iwapo utapiga picha kwa BB ni lazima itakupa option za ku-save sasa km ulisave katika Media (Memory card) ujue zitakuwa katika hiyo chip, ila km ulisave katika Device Memory basi ujue zinaenda katika Phone na ndi maana umezikuta baadhi / za zamani
      Nachokushauri kuna kurasa nyingine za Preload Picture na unachotakiwa ni kurudi hadi Up na uiweke hiyo Memory kadi uzime na kuwasha tena.
      Solution ya mwisho nikwenda na simu yako kwenye Computer ya mwenye Divice za BlackBerry aka-Retrive /Restore /back-up huenda zikarudi km ulizidelete utazikuta humo usisahau kuiweka humo kwenye BB hiyo Memory card yake (Media Card)
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    11. #9
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Mkuu Ukwaju ingawa mimi ni mtumiaji wa kipindi kirefu wa hizi blackberry lakini mimi si mshabiki wa kupiga picha, kwahiyo hizo sehemu za picha mara nyingi kwangu ni kama huwa hazina kazi mimi picha mpaka niwe kwenye mazingira tofauti au kwenye event muhimu inayohitaji kumbukumbu, ndio maana sikuwa makini na settings na sikutegemea kama lingetokea hilo tatizo.

      Ila kwa kukujibu swali lako ni kwamba mimi sikudelete picha bali ni simu yenyewe ndio ilizimika na kujiwasha na settings zangu zote zikabadilika kuanzia Fonts, ringer tone, wallpaper, na picha zote mpya zikadesapear, safari angalau contact zangu hazikupata madhara zote za kwenye sim card na za kweye phone zimesalimika.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #10
      drphone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1194
      Likes Received
      99
      Likes Given
      10

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      mkuu matola pole sana mm ilinitokea na nilikuwa nimebackup kwa bb protecter lakini nilipokuja kurudisha picha ckupata kabisa mpk leo kubali yaishe mkuu
      THE BEST IS YET TO COME.

      THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.

    13. #11
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Quote By drphone
      mkuu matola pole sana mm ilinitokea na nilikuwa nimebackup kwa bb protecter lakini nilipokuja kurudisha picha ckupata kabisa mpk leo kubali yaishe mkuu
      Ni kweli life is not fair some time & no body who feel ur pain.


    14. #12
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      638
      Likes Given
      828

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Pole sana Matola, umenifanya hata mm niwe macho sijajua km kuna k2 km hicho hutokea labda kuna kirusi kilitaka kuingia.
      Na km DrPhone naye kakubali na yalishamtokea hata alipo-back up hakikurudi kitu basi cha mwisho usikate tamaa hebu ilinde BB
      Matola likes this.
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    15. #13
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      mwendo wa Nokia poa sana hayo mapulunjenje hatunaga sie pole sana mkuu

    16. #14
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Sio kirusi hiyo ni feature ya simu za Blackberry ukikosea password mara nyingi inajifuta, kwa madai yao hii ni kulinda data zako kama simu ikiibiwa.
      Kama haukufanya backup wakati ina hizo picha basi hakuna uwezekano wa kuzirudisha, ungeweza kuzirudisha hiyo feature ingekuwa haina maana.
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    17. #15
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4403
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Kama picha zilikuwa saved kwenye divice na hukufanya backup, imekula kwako mkuu, no way out

    18. #16
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Quote By paulss
      Kama picha zilikuwa saved kwenye divice na hukufanya backup, imekula kwako mkuu, no way out
      Yaani angalau niliziupload picha 6 facebook out of 40 pics. ila nimewadissapoint sana marafiki zangu inauma sana nilikuwa naiamini camera yangu ya BB maana ni 5.0 MP auto focus, kumbe bila settings is too risk!!
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    19. #17
      Good Guy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 3,484
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      669
      Likes Given
      318

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Pole mkuu afu sasa the bad thing and ridiculous in my view ni kwamba hiyo feature huwezi kuitoa i.e. Either uilock simu ukijua Kua code ikiingizwa incorrect code more than 10X its bye bye 2 contacts na vi2 vingine vilivyo kwenye sim or uiache wazi kila m2 aichezee BB yako. But hey hii ni cm made kwa ajili ya powerfull bussiness men(again in my view) so akipoteza sim yake his contacts, nd personal info zisijekuingia mikononi mwa wa2 wengine so ni very usefull feature 2 them. Its Ridiculous i say this on behalf of fellow Android users

    20. #18
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Good Guy uko sahihi maana sasa hivi ndio naichunguza vizuri imefuta na baadhi ya contact zangu, sikuwa najuwa kama hizi BB kumbe chafya kishenzi. yaani nina hasira basi tu JF kidogo huwa inasaidia kuondowa stress.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    21. #19
      akukudanger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 11
      Rep Power : 427
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      pole ndugu yangu bali nunua simu ya tochi haiko complicated

    22. #20
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Blackberry imenitenda, Naomba msaada Tafadhali.

      Quote By akukudanger
      pole ndugu yangu bali nunua simu ya tochi haiko complicated
      Nokia kitochi ninayo na Blackberry ninayo na inayo tochi vilevile, ila nimeipenda kwa sababu ni zaidi ya simu na hasa ni kwa ajili ya matumizi yangu ya mobile Internet, huwa sipendi kusafiri na Laptop kupunguza mizigo isiyokuwa na sababu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...