Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Wakuu wakati tunachangia, nimekutana na mchangiaji kakataa kuwa hajawahi kutumia hayo maneno ambayo yamo humuhumu JF kwenye jukwaa lingine na mwaka jana lakini Heading naiona na amechangia No. 121 nitamwekaje ili abonyeze HAPA na atokezee kwenye No. hiyohiyo 121 badala aperuzi ukurasa mzima ambapo uangonga link na ku-copy sasa mm nataka nitokeze kwenye No. 121 aliyoichangia,

      Pili kuliweka jina lake la uMember analolitumia mfano ukwaju akibofya aende moja kwa moja kwenye member huyo?
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum


    2. #2
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Kaa hapohapo usuniri wataalamu waje

    3. #3
      Shaffin Simbamwene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2008
      Posts : 663
      Rep Power : 889
      Likes Received
      167
      Likes Given
      53

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Mie napita tu nitarudi baadaye

    4. #4
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,639
      Rep Power : 4411
      Likes Received
      1106
      Likes Given
      986

      Default

      Quote By Ukwaju View Post
      Wakuu wakati tunachangia, nimekutana na mchangiaji kakataa kuwa hajawahi kutumia hayo maneno ambayo yamo humuhumu JF kwenye jukwaa lingine na mwaka jana lakini Heading naiona na amechangia No. 121 nitamwekaje ili abonyeze HAPA na atokezee kwenye No. hiyohiyo 121 badala aperuzi ukurasa mzima ambapo uangonga link na ku-copy sasa mm nataka nitokeze kwenye No. 121 aliyoichangia,

      Pili kuliweka jina lake la uMember analolitumia mfano ukwaju akibofya aende moja kwa moja kwenye member huyo?
      Njia rahisi ni kuquote post ya zamani direct kwenye topic mpya husika bila kumpeleka nyuma.
      Fanya hivi;
      Fungua JF kwenye
      post ya zamani unayotaka kumquote,
      Then chini ya post hiyo click reply with quote,
      Baada ya hapo kitafunguka chumba cha kuandikia kikiwa na quote yake, chakufanya ni kucopy quote hiyo.

      Kisha rudi kwenye topic mpya na paste kwenye chumba cha kuandikia na upost, au unaweza kuongeza na maneno yako kwa chini yake au juu ya yale ulio paste

      Kuhusu kumtaja jina unatakiwa kutanguliza alama @ ikifuatiwa na jina la memba bila kuacha nafasi

      Mfano Ukwaju
      Sijui kama maelezo yangu yamejitosheleza
      Last edited by paulss; 13th August 2012 at 17:04.
      Ukwaju likes this.

    5. #5
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Quote By paulss View Post
      Njia rahisi ni kuquote post ya zamani direct kwenye topic mpya husika bila kumpeleka nyuma.
      Fanya hivi;
      Fungua JF kwenye
      post ya zamani unayotaka kumquote,
      Then chini ya post hiyo click reply with quote,
      Baada ya hapo kitafunguka chumba cha kuandikia kikiwa na quote yake, chakufanya ni kucopy quote hiyo.
      Kisha rudi kwenye topic mpya na paste kwenye chumba cha kuandikia na upost, au unaweza kuongeza na maneno yako kwa chini yake au juu ya yale ulio paste
      Mkuu nashukuru sana saana
      nisaidie tena ikiwa nataka akatokee kwenye ile Topic (thread nzima) wakati No. yake ni 121 ili aone na za wenzake itatokea? maana kuna ile ya GRForever ktk Mobile user ya BONYEZA HAPA
      uaningia kwenye link nzima sasa nilifikiri ipo njia km hiyo ya kuingia hadi kwenye mchango husika (mfano No. 121) bila ya kuonyesha maelezo hayo ili yeye akajitafutie huko.
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum


    6. #6
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Quote By NingaR View Post
      Kaa hapohapo usuniri wataalamu waje
      NingaR hawa wataalm wameanza kuja, ila nafahamu ww ni Mtaalam zaidi yao kwani kwenye topic ya for THE MOBILE USER ulitufundisha mengi hapa usitutupe kwani ww si mchoyo wa elimu katika JF km Mh. GRForever
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    7. #7
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default

      Quote By Ukwaju View Post
      NingaR hawa wataalm wameanza kuja, ila nafahamu ww ni Mtaalam zaidi yao kwani kwenye topic ya for THE MOBILE USER ulitufundisha mengi hapa usitutupe kwani ww si mchoyo wa elimu katika JF km Mh. GRForever
      Okay Mkuu, kwa ku mpeleka moja kwa moja katika post yake itakua ngumu ila unaweza mpeleka katika thread nzima na kumwambia aangalie post yake Mfano hiyo ya 121, hapa unacho takiwa ni kutumia mtindo wa kumpa link ampapo utafanya hama ifuatavyo
      (url=HAPA WEKA LINK YA POST)HAPA WEKA NENO LITAKALO ONEKANA KAMA VILE NENO "HAPA"(/url)
      ila wewe usiweke mabano ya () weka ya [].
      Jinsi ya kupata link ya thread husika nadhani unafahamu.

    8. #8
      Donn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 2,121
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      810
      Likes Given
      159

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Hapo tumia bbcodes weka hivi [*url=http://jamiiforums.com]Hapa[/url*] ondoa nyota

      hapo kwenye jamiiforums weka link ya thread yako

    9. #9
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1662
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      0

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      bbcode ndo code rahisi yani ukisema tu nataka nioneshe post ya mtu jua tag hapo ni post

      Mfano andika
      [post=4420651]post ya ningar[/post]

      Basi utapelekwa kwenye post ya ningar cha muhimu ujue id ya post ambayp ni rahisi kuijua ukiclick link ya kuireply hio post inatokea kwenye quote na kwenye url pia

      Mfano click hapo chini utaona unapelekwa


      post ya ningar

      Enjoy guys

    10. #10
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1662
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      0

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      hapo ni katika post ya nokia fans ningar akimpa mtu dozi click link chini

      we acha uongo asha ipi haina watsapp

    11. #11
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Quote By NingaR View Post
      Okay Mkuu, kwa ku mpeleka moja kwa moja katika post yake itakua ngumu ila unaweza mpeleka katika thread nzima na kumwambia aangalie post yake Mfano hiyo ya 121, hapa unacho takiwa ni kutumia mtindo wa kumpa link ampapo utafanya hama ifuatavyo
      (url=HAPA WEKA LINK YA POST)HAPA WEKA NENO LITAKALO ONEKANA KAMA VILE NENO "HAPA"(/url)
      ila wewe usiweke mabano ya () weka ya [].
      Jinsi ya kupata link ya thread husika nadhani unafahamu.
      Nilikwambia NingaR bado unakubalika na hii na hakika ni elimu kwa watumiaji wote wa JF kwani tunasumbuka sana kufungua page ukirudi Thread imeruka au imefutwa Thanxxxxxxxxxxxxxxxxxx
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    12. #12
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Quote By Donn View Post
      Hapo tumia bbcodes weka hivi [*url=http://jamiiforums.com]Hapa[/url*] ondoa nyota

      hapo kwenye jamiiforums weka link ya thread yako
      Donn nashukuru sana nitajifunza hizo bbcodes, ila umeniambia hizo **** huwa hazipo au sijakuelewa
      hata hivyo nakushukuru kwa niaba ya wote watakaojifunza
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    13. #13
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Msaada nataka mchangiaji akaione thread yake aliyoichangia mwaka jana nitampelekaje

      Quote By chief-mkwawa View Post
      bbcode ndo code rahisi yani ukisema tu nataka nioneshe post ya mtu jua tag hapo ni post

      Mfano andika
      [post=4420651]post ya ningar[/post]

      Basi utapelekwa kwenye post ya ningar cha muhimu ujue id ya post ambayp ni rahisi kuijua ukiclick link ya kuireply hio post inatokea kwenye quote na kwenye url pia

      Mfano click hapo chini utaona unapelekwa


      post ya ningar

      Enjoy guys
      chief Mkwawa kamwene ww mkaliii maana watu humu ndani wanasumbua ukimwelekeza kuna siku kadanganya anauliza source wakati yy kachangia sasa tutawakomesha
      Axante sana na Thanxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx x
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    14. #14
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1662
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ukwaju View Post
      chief Mkwawa kamwene ww mkaliii maana watu humu ndani wanasumbua ukimwelekeza kuna siku kadanganya anauliza source wakati yy kachangia sasa tutawakomesha
      Axante sana na Thanxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx x
      Usihofu tupo pamoja

    15. #15
      Donn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 2,121
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      810
      Likes Given
      159

      Default

      Quote By Ukwaju View Post
      Donn nashukuru sana nitajifunza hizo bbcodes, ila umeniambia hizo **** huwa hazipo au sijakuelewa
      hata hivyo nakushukuru kwa niaba ya wote watakaojifunza
      ningeondoa star usingeona codes. We jaribu hapo chini bila stars

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...