Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      pisces's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 164
      Rep Power : 463
      Likes Received
      24
      Likes Given
      19

      Default ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      habari zenu wadau.
      mimi ni kijana mwenye kipato cha kawaida,nimekuta volkswagen polo inauzwa,hivyo nimeona nipate ushauri wenu wa kitaalam na kiuzoefu ili nisifanye makosa katika kununua gari hii.
      naombeni ushauri katika upatikanaji wa spea, bei za spea, gharama za service, na uimara wa hii gari...
      ntatumia ushauri wenu ili kufanya maamuzi sahihi.... natanguliza shukran... jamii forum forever.


    2. #2
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 580
      Rep Power : 488
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      I know nothing about this vehicle, but it's not a common car, that means people won't bring their spares in Tanzania because no demand, that can make spares expensive etc! Kama kipato chaki Ni cha kawaid, nunua Gari ya kawaida!

    3. #3
      Mkolawake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 354
      Rep Power : 416
      Likes Received
      116
      Likes Given
      7

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      Hizo gari chache sana hapa dar. spear utapata wapi

    4. #4
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,564
      Rep Power : 809
      Likes Received
      525
      Likes Given
      411

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      Wadau vip kuhusu NADIA hii gari nataka kununua, ilikuwa imetumiwa hapa bongo na ina engine ya RAV 4 vip ushauri wenu wakuu. Niipige chini au niibebe

    5. #5
      Tram Almasi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : Marsabit
      Posts : 753
      Rep Power : 675
      Likes Received
      217
      Likes Given
      93

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      Quote By Mupirocin View Post
      Wadau vip kuhusu NADIA hii gari nataka kununua, ilikuwa imetumiwa hapa bongo na ina engine ya RAV 4 vip ushauri wenu wakuu. Niipige chini au niibebe
      Kununua gari sio jina,model au rangi. Kikubwa ni engine perfomance na uwezo binafsi wa kuiweka barabarani(fuel servive). Binafsi gari ikishakuwa 'doctored' km kubadili engine na kuweka ya gari nyengine,nakuwa na mashaka nayo sana. So Mkuu kwa kuangalia vigezo hapo juu km vina-meet ur qualities, go for it!
      "YouR MoST UNhaPPy CuSToMers ArE YoUr GREateST SOurCE Of LEarNInG"- BiLL GaTEs


    6. #6
      Mkolawake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 354
      Rep Power : 416
      Likes Received
      116
      Likes Given
      7

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      Quote By Mupirocin View Post
      Wadau vip kuhusu NADIA hii gari nataka kununua, ilikuwa imetumiwa hapa bongo na ina engine ya RAV 4 vip ushauri wenu wakuu. Niipige chini au niibebe
      Aina gani ya injini ya Rav4? USIJE UKAINGIZWA CHOO CHA WALEMAVU

    7. #7
      ulavme's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 374
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Nimeshuhudia watu wawili walionunua hiyo gari wakipata shida nayo. Mmoja toka imefika inashinda gereji tuu hajawahi kuendesha zaidi ya siku moja bila kumletea tabu.Mara inachemsha, mara Cylinder Head inasumbua, mpaka sasa imehamishia makao yake Gereji jamaa anafikiria kuiuza kama scrapper.
      Kama unaweza jaribu kununua gari yoyote jamii ya Toyota maana hata mafundi wengi wanaweza kuzitengeneza kuliko hii VW POLO

    8. #8
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 789
      Rep Power : 521
      Likes Received
      94
      Likes Given
      46

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      Quote By pisces View Post
      habari zenu wadau.
      mimi ni kijana mwenye kipato cha kawaida,nimekuta volkswagen polo inauzwa,hivyo nimeona nipate ushauri wenu wa kitaalam na kiuzoefu ili nisifanye makosa katika kununua gari hii.
      naombeni ushauri katika upatikanaji wa spea, bei za spea, gharama za service, na uimara wa hii gari...
      ntatumia ushauri wenu ili kufanya maamuzi sahihi.... natanguliza shukran... jamii forum forever.
      mkuu naifaham sana hii gari, kama wewe ni wa kipato cha kawaida sikushauri ata kidogo maana hii gari inabugia mafuta sana.then spea kimeo jiandae kuipaki itakapopata majeruhi..kaka jaribu kununua gari yoyote ile lakini iwe toyota maana spea uingiliana

    9. #9
      pisces's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 164
      Rep Power : 463
      Likes Received
      24
      Likes Given
      19

      Default Re: ushauri wenu juu ya hii gari VOLKSWAGEN POLO

      nashukuru sana kwa ushauri wenu makini....

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...