Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 97
    1. #1
      Kijana Juzi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th August 2010
      Posts : 241
      Rep Power : 491
      Likes Received
      76
      Likes Given
      40

      Default Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Habari wana JF??

      Sie wengine magari ya manual tulijifunzia tu lakini tumekuwa tukitumia automatic kwa muda mwingi sana.

      Ok, issue iko hivi...nimekuwa nikitumia gari yenye automatic transmission, sasa kuna jamaa yangu yupo Ulaya nikaomba aniangalizie gari ingine kutoka huko na kanitafutia gari nzuri sana ya 2008 ila ni manual. Kiukweli nimeipenda ila nilihofu kuhusu hiyo transmission yake na kila ninayemgusia ananiambia gari za manual si nzuri ukilinganisha na automatic. Swali ni je kwa nini bado zinatoka na Ulaya wanapenda manual zaidi kuliko Africa na Asia???

      Tatizo ni kwamba sijapata mtaalam wa kunifafanulia hasa uzuri na ubaya wa gari za manual kushinda automatic.

      Wataalam tumwagieni maujuzi kuhusu hii kitu ili niondoe hii conflict niweze kuchukua kitu nikiwa na raha kumoyo!!!!

      Nawasilisha
      CHESEA INGINE likes this.
      One reason the dog has so many friends, he wags his tail instead of his tongue!

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Nguto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 599
      Rep Power : 530
      Likes Received
      80
      Likes Given
      3

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      He! Wanunulie manual wapate uzoefu.
      Quote By Jasusi
      Mimi watoto wangu wote nimewafundisha kuendesha manual. Hata wakinunua automatic lakini wanaweza kuendesha manual. Huwezi kuwa dreva mahiri kama huwezi kuendesha gari ya manual gear.

    4. #42
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Ivi Manual zinatengenezwa tena kweli...maana nikiingia kwenye mtandao most of them ni AT....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    5. #43
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,278
      Rep Power : 893
      Likes Received
      779
      Likes Given
      1480

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Quote By GP
      binafsi nafagilia sana MANUAL haswa huku mikoani kusiko kua na foleni utaipenda.
      1. wese inakula kidogo coz inakupa great control kwenye gia. mfano kwenye kilima kikubwa unapanda na namba 2 na manual lakini ikiwa AT lazma ijiset kwenye gea namba 1 ambayo ina nguvu zaidi na inakula wese.
      2. manual ni nzuri kwa sehemu zisizo na foleni kama dar, wakati AT ni nzuri kwenye foleni kali, haupati maumivu ya kucheza na clutch, accelerator na breki kwa wakati mmoja.
      3. vyuma vya mjapani vya manual ni cheap kuliko ATs!
      4. manual ukiendesha kweli unajiona unaendesha gari na sio AT (kwa kina mama, wadada na watoto!)


      hahahaaa, kweli wewe sio dereva!.
      kama mlima ni mkali kama ile ya kule kimara bonyokwa au kilungule lazma likushinde, kubalance clutch na accerator its too simple than using the handbrake, maana ukicheza kidogo ikakushinda wakati wa kuachia handbrake lazma gari litazima. sasa pata picha gari ndio limeshazima linaanza kurudi nyuma halafu linatumia hydraulic, means breki hazikamati, stering inakua ngumu vibaya mno!.



      uko sawa kabisa mkuu!, foleni za dar ni nuksi, ukifika home mguu wa kushoto unauma balaa kwa kucheza na clutch na breki always si unajua zile daladala linataka kukuchomekea na wewe unalibania kwa hiyo hapo lazma ufanye kazi ya ziada kucheza na clutch na breki!, lakini ukiwa na AT aaah wala haikupi shida.
      kuna siku bwana nilikua naendesha manual, sasa kumbe brake fluid ilikua imevuja na ikawa imepungua sana halafu mbele yangu ndio foleni imeanza kila nikikanyaga breki nakuta holaaaa, kilichonisaidia ni kupunguza mwendo kwa kutumia gea, assume ingekua AT hapo nini kingetokea kwa gari ilokua mbele yangu.


      karibu asilimia 99 ya magari ya serikali ya JMTz ni MANUAL especially kama limenunuliwa likiwa jipya kabisa!. si unajua lazma wafuate mchakato wa manunuzi, so lazma mzabuni anaeiuzia ataambiwa apeleke kitu cha manual wakijua kuna kukabiliana na barabara mbovu.
      mengine yanayotolewa kama misaada au yaliyotumika kwenye miradi ndio wakati mwingine huwa AT


      aaah wewe utaua gear box, yani kutoka gea namba tano uingize gea namba wani kweli!??.
      unapoingiza gea lazma uingize moja baada ya nyingine KIUSALAMA na UTUNZAJI wa gearbox, hata kushusha gea pia lazma ushushe moja baada ya nyingine (labda kama una dharura endapo breki zitafeli unaweza toa 5 ukashusha mpaka moja kupunguza kasi ya injini ingawa gea itakua NGUMU sana kuingia!).
      Hapo utafanyaje sasa mdau GP maana ku-balance clutch na accelerator wakati mwingine kama kigongo ni kikali unaweza clutch inanuka (au akapita nyuki hujafunga dirisha akakudhuru unashangaa unaachia clutch), unapoweka hand brake sio unalizima linakuwa silence kama kawa ila lipo kwenye gia namba moja unakuwa umekanyaga clutch na brake ku-support maana handbrake inaweza fail sometimes (ila unashitua kiana kama hivyo una balance lakini kiaina). Hii naona ni nzuri kuliko hiyo ku-balance kwa sie wa kichina yaani handbrake ukitaka kuondoka unaachia huwa inabadilisha mlio wa injini ndio na wewe unatoa handbrake. kuzima halizimi labda uwe mwanafunzi kabisa hapo kasheshe maana mwanafunzi hata tambarare kuondoka linazima hata mara tatu.

    6. #44
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,278
      Rep Power : 893
      Likes Received
      779
      Likes Given
      1480

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Quote By Nguto
      He! Wanunulie manual wapate uzoefu.
      AT zikifika kwenye maeneo ya mawe mawe kwa kweli mpaka unalionea huruma wakati manual unali-control mwenyewe kupita taratibu bila shida

    7. #45
      mzawahalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2010
      Posts : 419
      Rep Power : 559
      Likes Received
      50
      Likes Given
      15

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Ubadilishaji haraka wa Gia ambao unashangiliwa sana na wahuni vijiweni na vijana kwa ujumla yaani kabla mizunguko ya injini inayo hitajika kufika huua Gari. Hivyo kwa matumizi yetu injini ya AT itadumu zaidi ya ile ya Manual.
      Jambo tu la kuongezea lakini naona arguments zilizo tangalia toka kwa wadau mbalimbali ni nzuri sana zinaongeza uelewa mkubwa.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Nyaubwii's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 417
      Likes Received
      27
      Likes Given
      28

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Mkuu namimi nichangie kidogo. Mi naona kama kazi yako si udereva na upo bize sana na shughuli zako Automatic inakufaa kwasababu huitaji kutumia akili nyingi sana kuendesha, just weka D endesha, kuliko manual ambayo naona utahitaji akili ya ziada ya kubadilisha gia kila wakati. Lakini kama unahitaji kupata ladha ya kuendesha gari then manual ni safi. Otherwise mi naona zote ni sawa tu. MTAZAMO
      BabaDesi likes this.
      Kama huwezi kulipa 200/= PIGA MBIZI

    10. Iza
      #47
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,637
      Rep Power : 856
      Likes Received
      232
      Likes Given
      368

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Quote By Mr Suggestion
      automatic cars are for lazy people and girls.
      Acha fujo we jamaa...!
      Jasusi likes this.
      Fikiria kwa u-makini...!

    11. #48
      akohi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 245
      Rep Power : 394
      Likes Received
      38
      Likes Given
      46

      Default

      Jambo wana jf
      Mimi nina yote manual 4x4 na saloon auto.
      Nafaidi manual ninapokua safari za mbali hasa rough road ila kwa mjin auto ndo ideal coz of folen.

      Ukweli kwamba yote ni mazuri ila cha msingi ni matumizi ROI (return on investment) na unatumia ktk mazingira gani na kipato chako kikoje na pia hw competent ur r on the wheel?
      Manual ni nzuri kwa mtu bahiri ila auto haikopesheki maana kama ni hydrolic imechoka...maana yake gia hazitaingia na itakulazmu ubadilishe. General service ya auto ni ghari compare to manual. Km betri imekufa manual unaweza kushtua, auto huwezi.

    12. #49
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,128
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default

      Quote By akohi
      Jambo wana jf.

      Mimi nina zote na mara nyingi kwa safari fupi za hapa town na prefer auto ila kama ni long trip basi manual ndo best coz unakua bize muda. Fuel consumpt: manual is the best maana we ndo unaiendesha wakat auto inakuendesha. Kubwa zaidi auto service yake iko juu maana lazma ubadilishe hydrolic pia while manual ni engine oil tu na ofcoz filter.

      Nafikiri cku zote kabla ya kununua kitu chochote ni bora uka fanya a very simple analysis kwa ku compare pros and cons hence decision, mf: ukubwa wa familia? Matumizi yako ni rough road au rami tu? 4wheels au 2wheels maana unaweza kua unaishi sehemu ambayo gari fupi haliwezi kuvumilia shida esp wakt wa masika au barabara ni mbaya sana labda mchanga mwingi au matipo so u must hv a 4x4 au unashuguri za offload eg shamba u need kubeba mbolea, miti etc lkn kubwa pia ni space maana huwezi kufikiria short chasis wakt familia yako ni zaidi ya watu watano.

      Kingine ni kipato chako, maana unaweza kukuta gari linatumia zaidi yako wewe na hata ukashindwa kuliendesha labda wiki ya kwanza ya mwanzo au mwisho wa mwezi tu ( hapa nime wagusa wengi wetu) siku zingine mzee unawahi kituo cha basi. Kumbe ungeweza kuchukua stalet au vitz na Mambo yako yakawa shwari tena full mfindi aka kiyoyozi wenzetu wanasema air condotion maana wapo wenye fikra potofu kuwa a/c inakula mafuta hahaha, unakuta mtu anazima ac kisa mafuta wakat bar na guest house anatumia zaidi na mwenziwe au washikaji (hapa pia nimewa...wengi hahaha).

      Anyways to make it short manual is more durable maana inatengenezeka wakati auto mara nyingi unatakiwa kunua complete componet eg ingine kumbe tatizo lilikua piston au sleeve tu. Nakaribisha maswali maana hii ndo field yangu.
      Kwenye fuel consumption nakukatalia, kwani AT ina program maalumu kwa ajili ya kupunguza matimizi ya mafuta na pia wear and tears. Manual zinagharama ndogo ukilinganisha na AT

    13. #50
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,128
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default

      Quote By HP1
      Manual ni gari imara sana kuliko Automatc. Unabadili gia unapoona inahitajika kufanya hivyo. Matumizi mazuri ya mafuta. Ikikataa kuwaka hauna haja ya kutafuta gari nyingine ili kuboost betri. Change down inafanyika vizuri. In short i prefer manual to automatic
      We muongo. Enginw ya deseli ndiyo imara. Siyo Manual.

    14. #51
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,128
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Quote By Mazingira
      Hapa kuna contradictions kidogo mkuu. Unachosema nimewahi kumsikia dada mmoja wa Kijerumani akikisema pia. Lakini ni kinyume hake kwa Japani. Maana ukiingia hata kwenye mitandao ya wauza magari wote wa kijapani utakuta kuwa magari ya manual ni ghali kuliko automatic, hapa sasa sielewi.. Huenda Ulaya wamefanya hivyo ili kuwa-discourage watu kununua magari automatic ambayo wanajua matatizo yake (ni mawazo yangu tu haya).
      siyo kuwa discourage. Maana ya AT ni kuwa na vitu vingi mfano unakuwa na GPS ipo incorporated, n.k.
      Mimi siyo mwana siasa!

    15. #52
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,746
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      416

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Du hii discussion ya ujasusi wa manua na automatic hapa ni mkali!
      Bovidae likes this.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    16. #53
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 832
      Rep Power : 685
      Likes Received
      160
      Likes Given
      51

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Quote By Barubaru
      Naomba mjiulize. Je kuna gari lolote la Serikali ya JMTz au SMZ ambalo ni automatic? Je mnaweza tujuza ni kwa nini?
      Sababu madereva na abiria wao(soma mabosi) ni BBC (Born Before Bomputers), kwao shida ina raha fulani hivi. kwa hiyo vile wanavyokukuruka na clutch, brake na accelorator, wanaskia raha fulani hivi....ndiyo sababu wanapendelea manual ukilinganisha na Auto.

      Kwa sisi madereva wa hii digital age....tunapenda vitu soft touch...ni kwa mantiki hiyo Auto inanoga kuliko Manual.

      By the way nadhani waliogundua Auto walikusudia kufanya driving iwe simple than it was before wakati wa akina volkswagen combi/beetle, peugeot 504, landrover 109, bedford, fiat mbaula, scania 111, leyland CD, Benzi mapua etc.
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    17. #54
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 420
      Likes Received
      92
      Likes Given
      336

      Default

      Quote By Ng`wanakidiku
      siyo kuwa discourage. Maana ya AT ni kuwa na vitu vingi mfano unakuwa na GPS ipo incorporated, n.k.
      Hata manual inayo Gps.

    18. #55
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 420
      Likes Received
      92
      Likes Given
      336

      Default

      Quote By Mkirua
      Ivi Manual zinatengenezwa tena kweli...maana nikiingia kwenye mtandao most of them ni AT....
      Zinatengenezwa ila bei yake ni ghari

    19. #56
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4403
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      Asilimia karibu 80 ya magari yote madogo yanayotengenezwa sasa ni AT.

      Kuna viwanda vya magari vimeacha kabisa kutengeneza manual, wao ni AT tu

      Baada ya miaka kadhaa mbeleni magari yote madogo yatakuwa AT na manual itabaki hadithi tu

      Dunia inasonga mbele na teknolojia inakuwa, manual inapitwa na wakati sasa.
      Watu wanasumbua vichwa kurahisisha maisha na si kupigana kubadilisha gia,
      Unaweka kitu kwenye D unaondoka na si mara klachi,mafuta na kuingiza gia kila mara
      BabaDesi, Kaizer and Bovidae like this.

    20. #57
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default

      Quote By chief72
      raha ya manual washikaji hawa ombi ombi gari maana wanao jua kuendesha manual ni kumi kwa wawili
      Ha ha ha...nimeipenda hii

    21. #58
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default

      Quote By paulss
      Asilimia karibu 80 ya magari yote madogo yanayotengenezwa sasa ni AT.

      Kuna viwanda vya magari vimeacha kabisa kutengeneza manual, wao ni AT tu

      Baada ya miaka kadhaa mbeleni magari yote madogo yatakuwa AT na manual itabaki hadithi tu

      Dunia inasonga mbele na teknolojia inakuwa, manual inapitwa na wakati sasa.
      Watu wanasumbua vichwa kurahisisha maisha na si kupigana kubadilisha gia,
      Unaweka kitu kwenye D unaondoka na si mara klachi,mafuta na kuingiza gia kila mara
      Source??...hapana mkuu,autos zimeanza kutengenezwa toka 80s huko,wangekuwa wana plan ya kuacha wangeacha long t..mimi nimejifunzia auto lakini saivi niko addicted na manual,huwezi kujiita dereva unless umeendesha manual..autos hata mwanangu wa miaka mitano Marcus naweza kumuelekeza akaendesha,you can't take any pride out of it..
      rmashauri likes this.

    22. #59
      Mfikilwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2008
      Posts : 254
      Rep Power : 622
      Likes Received
      49
      Likes Given
      25

      Default Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

      kama sehemu unayoishi hakuna foleni na ni nje ya mji mkubwa hauitaji kusimama simama, nunua manual, lakini kama ni town, auto ndiyo mpango mzima.

    23. #60
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,237
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      728
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Ng`wanakidiku
      siyo kuwa discourage. Maana ya AT ni kuwa na vitu vingi mfano unakuwa na GPS ipo incorporated, n.k.
      hapa tunazungumzia automatic transmission bana, haihusiani na vikorombwezo vingine ambavyo hata kwenye gari ya manual vyaweza kuwepo.

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...