Re: Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

By
Barubaru
Naomba mjiulize. Je kuna gari lolote la Serikali ya JMTz au SMZ ambalo ni automatic? Je mnaweza tujuza ni kwa nini?
Sababu madereva na abiria wao(soma mabosi) ni BBC (Born Before Bomputers), kwao shida ina raha fulani hivi. kwa hiyo vile wanavyokukuruka na clutch, brake na accelorator, wanaskia raha fulani hivi....ndiyo sababu wanapendelea manual ukilinganisha na Auto.
Kwa sisi madereva wa hii digital age....tunapenda vitu soft touch...ni kwa mantiki hiyo Auto inanoga kuliko Manual.
By the way nadhani waliogundua Auto walikusudia kufanya driving iwe simple than it was before wakati wa akina volkswagen combi/beetle, peugeot 504, landrover 109, bedford, fiat mbaula, scania 111, leyland CD, Benzi mapua etc.
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
Follow Us Here