Jamani naomba msaada wa kuunga nisha computer yangu na simu aina ya nokia 6300, yaani niingize bando katika sim yangu alafu nitumie katika computer kwa ajili ya internate nitafanyaje jamani
Jamani naomba msaada wa kuunga nisha computer yangu na simu aina ya nokia 6300, yaani niingize bando katika sim yangu alafu nitumie katika computer kwa ajili ya internate nitafanyaje jamani
kwa kuanzia lazima hiyo computer yako iwe na internate conectivity ili kuweza ku download drives. Kama ni laptop nenda nayo kwenye net cafe yoyote yenye wireless then unganisha simu yako kwa USB cable chochote itakachokuuliza wewe bonyeza ok itasearch na ku install drives.
Ukisha instal kwa Nokio ni Ovi Suite, uki connect tuu simu yako, ovi inafunguka unaconnect direct, iko faster na low rates!.
Follow Us Here