Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vodafone Mobile WiFi

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default Vodafone Mobile WiFi

      wakuu habari zenu.. nimenunua moderm kutoka vodacom ambayo unaweza kuitumia kama wireless. moderm hii ni aina ya Huawei ssid: Vodafone Mobile WiFi na speed yake ni 7.2Mbps. nataka niichakachue ili niweze kutumia line yoyote nawauliza wanajamvi kama hii kitu inawezekana au nisijisumbue..nilipo speed ya voda ni ndogo sana.
      Last edited by Adolph; 20th July 2012 at 11:39.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      NAFIKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 393
      Likes Received
      19
      Likes Given
      25

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.

    4. leh
      #3
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 682
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

      regards leh

    5. #4
      DEVUQUARTER-DEVUKOTA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 207
      Rep Power : 530
      Likes Received
      54
      Likes Given
      8

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Kaingia mitini.....!!! hawa ndio wale mawakala wa Voda kazi yao kuja kupima upepo humu Ngoja nikununue 4 za familia maana wakija ku customize modem zao tumekwisha wadau!!!

    6. #5
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default

      Quote By leh
      kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

      regards leh
      Inawezekana hujanielewa au ni ujeuri tu mkuu..kampuni gani tena linatoa moderm kama hizi ambazo ni wireless? Hapa siongelei moderm za kawaida. Hizi zinauzwa 150,000 kama huwezi kunisaidia ni bora ukae kimya ndugu yangu.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default

      Quote By NAFIKA
      Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.
      Wizi ni kutumia kitu bila kulipa..moderm yenyewe niliinunua 150,000 wizi uko wapi hapo? Au nisaidie ndugu yangu kama Tigo wanazo niende nikazinunue maana hapa nilipo tigo ndo ipo kasi ila najua tigo hawana hizi wireless moderm

    9. #7
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,432
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      992
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Adolph
      wakuu habari zenu.. nimenunua moderm kutoka vodacom ambayo unaweza kuitumia kama wireless. moderm hii ni aina ya Huawei ssid: Vodafone Mobile WiFi na speed yake ni 7.2Mbps. nataka niichakachue ili niweze kutumia line yoyote nawauliza wanajamvi kama hii kitu inawezekana au vip..nilipo speed ya voda ni ndogo sana.
      Kaka hujataja namba ya modem thats why watu hawaelewi lazma kuwe na namba kwa mbele ie, u8800
      Last edited by chief-mkwawa; 17th July 2012 at 15:19.

    10. C6
      #8
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,078
      Rep Power : 19360
      Likes Received
      1773
      Likes Given
      1512

      Default

      Quote By NAFIKA
      Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.
      mitandao ya simu inatuibia sana. We deserve more than that. Hapa tunajaribu kurudisha kidogo wanachotuibia. Kama wewe una uwezo wa kununua bundle ya laki na nusu poa. Lakini tutaendelea kupeana ujuzi kila wakati inapotokea tundu na kutuwezesha kupata vya bure. Nashukuru mwaka unakatika cjanunua kifurushi wala intanet cafe. Mambo yote room kwangu
      BabaDesi and george817 like this.

    11. #9
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,432
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      992
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MtotoSix
      mitandao ya simu inatuibia sana. We deserve more than that. Hapa tunajaribu kurudisha kidogo wanachotuibia. Kama wewe una uwezo wa kununua bundle ya laki na nusu poa. Lakini tutaendelea kupeana ujuzi kila wakati inapotokea tundu na kutuwezesha kupata vya bure. Nashukuru mwaka unakatika cjanunua kifurushi wala intanet cafe. Mambo yote room kwangu
      Unaposema wanatuibia unakosea mkuu manake kununua au kutumia bidhaa ya mitandao ya simu ni mkataba unaingia wewe na kampun husika wameeka price we umenunua sasa wamekuibia nini?

    12. C6
      #10
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,078
      Rep Power : 19360
      Likes Received
      1773
      Likes Given
      1512

      Default

      Quote By chief-mkwawa
      Unaposema wanatuibia unakosea mkuu manake kununua au kutumia bidhaa ya mitandao ya simu ni mkataba unaingia wewe na kampun husika wameeka price we umenunua sasa wamekuibia nini?
      what i really meant is, gharama wanazotoza ni kubwa kuliko huduma inayopatikana, na wanajua hakuna njia mbadala ya kupata huduma ya intanet isipokuwa kwa wao tu, inabidi tu kuingia huo mkataba, mfano: umenunua bundle na unapata 4kb/s sasa inakunufaisha vipi? hapo hata page ya kawaida itachukua zaidi ya dakika kufungua!

      nb: sikatazi watu kununua ila, its not win-win situation

    13. #11
      Fatma Bawazir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : msasani, Dar -es-salaam
      Posts : 473
      Rep Power : 637
      Likes Received
      156
      Likes Given
      59

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Quote By DEVUQUARTER-DEVUKOTA
      Kaingia mitini.....!!! hawa ndio wale mawakala wa Voda kazi yao kuja kupima upepo humu Ngoja nikununue 4 za familia maana wakija ku customize modem zao tumekwisha wadau!!!
      hawa voda sio kwamba hawaelewi mambo ya customize wana jua sana mbona mordem zao za zamani kama k3565-rev 2 zilikuwa customize wakatoa K3570-z zikachakachuliwa kwa join air imekuaje kwa hizi za toleo jipya E173 zichakachuliwe kwa unlock code tu ? ni kwamba wamegundua wali ingiza pesa nyingi kwa kwa biashara za mordem za K-3570 ndio wakaona
      watuletee za E173 ili tusisumbuke zaid na watu wote watakimbilia mordem zao wanacho jali ni maslahi yao tu na huko mbeleni usishangae zikawa unlocked kabisa
      every one Question I realy you have to learn

    14. #12
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,122
      Rep Power : 7421
      Likes Received
      2087
      Likes Given
      1484

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Quote By Adolph
      Wizi ni kutumia kitu bila kulipa..moderm yenyewe niliinunua 150,000 wizi uko wapi hapo? Au nisaidie ndugu yangu kama Tigo wanazo niende nikazinunue maana hapa nilipo tigo ndo ipo kasi ila najua tigo hawana hizi wireless moderm
      Mkuu Adolph wala huna haja ya kutoa jasho kuhangaika ku unlockn modem yako. Tembelea hapa ili uweze uweze kujipatia kifaa cha kisasa kiitwacho MiFi chenye uwezo wa kuunganisha hadi devices 5 kwa wireless kwa wakati mmoja. Kifaa hiki. kinasupport line zote za GSM.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    15. #13
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,432
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      992
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Fatma Bawazir
      hawa voda sio kwamba hawaelewi mambo ya customize wana jua sana mbona mordem zao za zamani kama k3565-rev 2 zilikuwa customize wakatoa K3570-z zikachakachuliwa kwa join air imekuaje kwa hizi za toleo jipya E173 zichakachuliwe kwa unlock code tu ? ni kwamba wamegundua wali ingiza pesa nyingi kwa kwa biashara za mordem za K-3570 ndio wakaona
      watuletee za E173 ili tusisumbuke zaid na watu wote watakimbilia mordem zao wanacho jali ni maslahi yao tu na huko mbeleni usishangae zikawa unlocked kabisa
      Yap upo sahihi fatma na ndo mana e173 yao wanauza 35,000 wakati e173 ya airtel ni 30,000 kwa competition ya mitandao ya nchini voda wangeeka customized na bei yao ya 35,000 wasingepata mtu. Wanauza 35,000 uchakachue ziuzike nyingi ili wapate profit wanajua kabisa

    16. #14
      Mr Kicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : MANZESE
      Posts : 592
      Rep Power : 713
      Likes Received
      135
      Likes Given
      47

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Quote By chief-mkwawa
      Yap upo sahihi fatma na ndo mana e173 yao wanauza 35,000 wakati e173 ya airtel ni 30,000 kwa competition ya mitandao ya nchini voda wangeeka customized na bei yao ya 35,000 wasingepata mtu. Wanauza 35,000 uchakachue ziuzike nyingi ili wapate profit wanajua kabisa
      Mbona voda shop wameshusha bei sasa wanauza 30,000/= sema zile voda shop za wajuaji ndio wanauza 35,000 mpaka 44,500/=

    17. #15
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,432
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      992
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By abulzahra
      Mbona voda shop wameshusha bei sasa wanauza 30,000/= sema zile voda shop za wajuaji ndio wanauza 35,000 mpaka 44,500/=
      Ndo unanipa taarifa now skua aware kama zimeshuka

    18. #16
      josephjul40's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 374
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Hapo ni safi. Mimi ninatumia sim card yeyote katika modem yangu ya vodafone. Zilizo nyingi hazihitaji hata kuzi unlock, wewe ni kuweka tu laini tofauti ikisoma mtandao una create connection manually katika Isp number weka *99# hapo kwisha habari yao.

    19. #17
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      250
      Likes Given
      1390

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Quote By leh
      kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

      regards leh

      Samahani mkuu kwa kuvamia treni kwa mbele! Yangu mimi ni Modem ya Voda ya Huawei E220. Ningependa kuichakachua ile vichwa vya Tigo na Airtel maana eneo nililopo mtandao wa Voda ni magumashi kiasi. Naomba msaada Tafadhali.
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    20. #18
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      ndugu yangu usifikiri kila mtu anaishi kwa ubabaishaji..mi niliomba msaada na hii moderm nimekaa nayo zaidi ya mwaka ila speed ya voda imezingua ndo maana nataka nibadilishe..kama unaona huwezi kunisaidia unakaa kimya.. nafikiri utakua umenielewa@DEVUQUARTER-DEVUKOTA


    21. #19
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Thanks mkuu Young_Master

    22. #20
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,122
      Rep Power : 7421
      Likes Received
      2087
      Likes Given
      1484

      Default Re: Vodafone Mobile WiFi

      Quote By Adolph
      Thanks mkuu Young_Master
      you are welcome mkuu Adolph
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...