wadau msaada jinsi ya ku unlock modem ya zantel ili uweze kutumia line yoyote
wadau msaada jinsi ya ku unlock modem ya zantel ili uweze kutumia line yoyote
Pole sana!
jamani mjibuni tu kuwa kwa mordem hiyo haiwezekani mordem hiyo hai ingiliani na sim card za tigo,airtel, na voda ,hata ukichakachua utatumia line gani hiyo ni kwa zantel na TTcl tu mana ukisema ni CDMA hata kuelewa msichoke kuwaelimisha wasio jua mana hata sisi tumetokea huko huko hakuna aliozaliwa akawa anajua bila ya kujifunza
every one Question I realy you have to learn
MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
(I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)
Follow Us Here