Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Computer ina boot mpaka mwisho lakini baada ya sekunde kadhaa screen inabadilika na kuwa ya blue ikiwa na message ifuatayo
      ***Hardware Malfunction
      Call your hardware vendor for support
      NMI: Parity check/ Memory parity error
      ***The system has halted***

      Mwenye kujua tatizo ni nini naomba msaada tafadhali nimekwama mwenzenu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Baba Mtu likes this.
      The signature you are looking at now does not exist.....

    4. #3
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      sasa kaka umechangia nini kama hujui si ukae tu kimya uwapishe wanaojua ustaarabu kitu cha bure

    5. #4
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By basat
      sasa kaka umechangia nini kama hujui si ukae tu kimya uwapishe wanaojua ustaarabu kitu cha bure
      asante!..ila nimekuwekea link yenye maelezo ya kutosha juu ya hiyo B.S.O.D..na wengi imewasaidia..kama haikufai poa! Kila la kheri..
      The signature you are looking at now does not exist.....

    6. #5
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      The signature you are looking at now does not exist.....


    7. leh
      #6
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By basat
      sasa kaka umechangia nini kama hujui si ukae tu kimya uwapishe wanaojua ustaarabu kitu cha bure
      unapewa msaada alafu unamtusi anayekusaidia? unajua kwamba humlipi na halipwi na mtu yeyote kukusaidia?? we ndo huna busara. sijui kwanini hata sijui nini anaendelea kukuelekeza, mi nimekosa tamaa ya kukusaidia, wasubiri wengine
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    8. #7
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      hayo maneno yalikaa kimzahamzaha me sikujua kama ni link anyway ngoja nifanyie kazi then nitarudisha majibu

    9. #8
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By leh
      unapewa msaada alafu unamtusi anayekusaidia? unajua kwamba humlipi na halipwi na mtu yeyote kukusaidia?? we ndo huna busara. sijui kwanini hata sijui nini anaendelea kukuelekeza, mi nimekosa tamaa ya kukusaidia, wasubiri wengine
      utoto tu akikua ataacha..
      The signature you are looking at now does not exist.....

    10. leh
      #9
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By sijui nini
      utoto tu akikua ataacha..
      hata watoto wana akili ya kutosha kujua anapopewa msaada. miaka yangu yote sijaona ukosaji wa nidhamu kiasi hicho.
      much respect kwako kwa ustaarabu uliotumia
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    11. #10
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 373
      Rep Power : 576
      Likes Received
      141
      Likes Given
      346

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By basat
      Computer ina boot mpaka mwisho lakini baada ya sekunde kadhaa screen inabadilika na kuwa ya blue ikiwa na message ifuatayo
      ***Hardware Malfunction
      Call your hardware vendor for support
      NMI: Parity check/ Memory parity error
      ***The system has halted***

      Mwenye kujua tatizo ni nini naomba msaada tafadhali nimekwama mwenzenu.
      Zima, disconnect power cable. Fungua cover ya CPU, jaribu kutoa memory card, kama iko moja then irudishe vizuri, kama ziko mbili toa zote then rudisha zote vizuri na jaribu kuwasha. Kama bado tatizo lipo then toa moja ukiacha moja na jaribu. Kama bado tatizo lipo then inabidi uwaone wataalam.akini most probably tatizo ni kwenye memory chips, inawezekana ilipata mtikisiko au basi tu imeharibika.
      Natumaini hii itasaidia.

    12. #11
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      NIlishakubali makosa yangu kwa kutoelewa kama ile ilikuwa link, sasa sijui nini naomba msaada tena kabla ya ile blue screen
      kuna maneno haya "Error allocating Mem BAR for pci device" je inawezekana kuna hitilafu kwenye HDD au RAM?
      Baba Mtu and sijui nini like this.

    13. #12
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,957
      Rep Power : 923
      Likes Received
      718
      Likes Given
      1475

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Mkuu nafikili u-check MEMORY (RAMS) kama zimekaa vizuri kwenye slot yake, au wenda ikawa parity check chip kwenye memory yenyewe imekuwa-punctured. Jaribu kuweka RAM nyingine uone utapata message gani.Goodluck.

    14. #13
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Nashukuru kwa mchango wako hata mimi nlikuwa nawaza ku-replace RAM kwani iliyopo nimejaribu kuiweka vizuri kwenye slot zake zote 4 lakini bado blue screen haitoki.

    15. #14
      Dhuks's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Posts : 669
      Rep Power : 496
      Likes Received
      140
      Likes Given
      60

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By leh
      unapewa msaada alafu unamtusi anayekusaidia? unajua kwamba humlipi na halipwi na mtu yeyote kukusaidia?? we ndo huna busara. sijui kwanini hata sijui nini anaendelea kukuelekeza, mi nimekosa tamaa ya kukusaidia, wasubiri wengine
      Ukiangalia vizuri link aliyopewa haikai kama link na usipojua ni link hayo maneno hayana masaada wowote kwa swali alilouliza ingawa hata yeye alikimbilia matusi sana.

    16. leh
      #15
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By basat
      Nashukuru kwa mchango wako hata mimi nlikuwa nawaza ku-replace RAM kwani iliyopo nimejaribu kuiweka vizuri kwenye slot zake zote 4 lakini bado blue screen haitoki.
      ingekuwa ni ram mashine haiwezi waka na kuna mlio fulani ungeskia wakati unajaribu kuboot (two short beeps, one long beep) . kwa maelezo uliyotoa, naona shida itakuwa in one of two places: kwenye pci card zilizopo kwa pc yako au bios. unavyofunga pci cards zingine kama video card vile (sio zote) unahitaji kuziset pia ndani ya bios. so, umefunga pci card yeyote of late? ( network card, sound card, modem, extra port kama ya USB or serial, TV tuner cards, disk controllers au video card). jaribu kureset bios yako (usireset kama we sio mtaalamu wa kompyuta by the way) kama hamna pci card uliyofunga
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    17. #16
      Mr Kicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : MANZESE
      Posts : 593
      Rep Power : 713
      Likes Received
      135
      Likes Given
      47

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By leh
      hata watoto wana akili ya kutosha kujua anapopewa msaada. miaka yangu yote sijaona ukosaji wa nidhamu kiasi hicho.
      much respect kwako kwa ustaarabu uliotumia
      Huyu anaonekana ni Mgeni mitaa ya huku...Yawezekana hakujua kama kapewa link akidhani jamaa anamfanyiadhiaka.
      watu kama hawa ni wakuwasamehe tu Mkuu.
      Baba Mtu likes this.

    18. #17
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By basat
      NIlishakubali makosa yangu kwa kutoelewa kama ile ilikuwa link, sasa sijui nini naomba msaada tena kabla ya ile blue screen
      kuna maneno haya "Error allocating Mem BAR for pci device" je inawezekana kuna hitilafu kwenye HDD au RAM?
      kwanza kwa kuanza embu elezea vizuri ni vipi hilo tatizo limeanza..yaan kuna kitu ulibadili, kuinstall au unahisi nini kimesababisha..?? au ulizima tu then baadae kuwasha ndo ikaanza hivyo..au tangu umeichukua/nunua ipo hivyo? kwa kutupa historia yake labda inaweza kusaidia maana for surely kila blue screen unayopata ina sababu yake na huwa hazifanani kwa kila pc!! kitu kidogo tu hata mtikisiko wa kijinga tu sometimes unaweza cause blue screen sababu ya kucheza kwa baadhi ya onboard devices..
      The signature you are looking at now does not exist.....

    19. leh
      #18
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      nishamsamehe abulzahra. nimeona nitakuwa sawa na yeye nikiweka 'beef'. ave even given my advice, nasubiri tu niskie kama amefaidika
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    20. #19
      Mr Kicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : MANZESE
      Posts : 593
      Rep Power : 713
      Likes Received
      135
      Likes Given
      47

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Quote By leh
      nishamsamehe abulzahra. nimeona nitakuwa sawa na yeye nikiweka 'beef'. ave even given my advice, nasubiri tu niskie kama amefaidika
      Hayo ndiyo maneno mkuu

    21. #20
      basat's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      16

      Default Re: Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

      Hakuna nilichobadili mkuu hiyo PC inazaidi ya miaka 5 inatumika, nakumbuka siku za nyuma wakati nacheza game ilizima yenyewe nilivyoiwasha haikuwaka ikatoa beep sound nilivyobadilisha RAM nikaweka katika slot nyingine iliwaka ikaendelea kupiga mzigo lakini hali hiyo ilikuwa ikijirudia na mara ya mwisho wakati nacheza game ikatokea blue screen hiyo ni juzi tu na ni mara ya kwanza kutokea hivyo.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...