Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada kwenye tuta.

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default Msaada kwenye tuta.

      Habari wana jamvi.

      Hapa nilipo ninahitaji msaada wa haraka wa mambo 2

      1. Namna ya ku-unistall completely IDM from my computer kwa sababu mda wake wa kutumika umeisha. Nimejaribu kufanya un-installation ya kawaida kwa kuanza kwenye control panel mpaka kwenye ku-unistall nimeshidwa kuiondoa completely. Hivyo hapa nahitaji msaada wa maelekezo ya jinsi ya kuiondoa kabisa toka kwenye computer yangu.

      2. Na la mwisho nahitaji IDM ambayo haitanisumbua baadae kama hii niliyo nayo sasa hivi.

      Naamini kwamba hapa nitapata suluhisho.


    2. Miaka 50

    3. #2
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,641
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      723
      Likes Given
      586

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      Tafuta old post ishawekwa mara nyingi na alternative zake za ku unlock

    4. #3
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      sawa
      Ila kama yeyote atakaye kuwa na link naomba aniwekee hapa.

    5. #4
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      sawa
      Ila kama yeyote atakaye kuwa na link naomba aniwekee hapa.

    6. leh
      #5
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      hujaeleza inakataa ku uninstall kvp.
      check hii link IDM CRACKED
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)


    7. #6
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By leh
      hujaeleza inakataa ku uninstall kvp.
      check hii link IDM CRACKED
      Sawaaa.
      Kama nilivyoeleza hapo awali nili-unistall kawaida baada ya hapo nikadownload upya. Tatizo linakuja nikitaka kuinstall hii program(IDM) mpya inaleta some errors.

      Kwahiyo hapo ndo tatizo lilipo, msaada tafadhali.

    8. leh
      #7
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 683
      Rep Power : 774
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      most of the times uki uninstall program, huwa haitoki yote. ina acha settings na plug-ins ili next time ukitaka kuirudisha usipate shida. pia kuna programs zingine kama anti-virus ambazo zina acha registry files (registry files ni database ya windows ambayo ina store configuration settings and options za software na hardware). hiizi registry files sometimes huzuia kurudishia an uninstalled program coz windows hufikiri ile program bado ipo. kukimbiana na hii tatizo, inabidi udelete registry file za concerned program.
      registry files ni complictated na nyingi, na kama we sio advanced programmer wa windows (advanced hata zaidi ya mafundi wengi hapa bongo) sio vizuri kujifutia .reg files coz unaweza corrupt windows yako. luckily kuna programs ambazo zinakufanyia hii kazi, best example ni ccleaner. ushauri wangu ni uinstall hiyo ccleaner uiache ikusafishie windows. baada ya hapo jaribu kureinstall idm tena
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    9. #8
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By leh
      most of the times uki uninstall program, huwa haitoki yote. ina acha settings na plug-ins ili next time ukitaka kuirudisha usipate shida. pia kuna programs zingine kama anti-virus ambazo zina acha registry files (registry files ni database ya windows ambayo ina store configuration settings and options za software na hardware). hiizi registry files sometimes huzuia kurudishia an uninstalled program coz windows hufikiri ile program bado ipo. kukimbiana na hii tatizo, inabidi udelete registry file za concerned program.
      registry files ni complictated na nyingi, na kama we sio advanced programmer wa windows (advanced hata zaidi ya mafundi wengi hapa bongo) sio vizuri kujifutia .reg files coz unaweza corrupt windows yako. luckily kuna programs ambazo zinakufanyia hii kazi, best example ni ccleaner. ushauri wangu ni uinstall hiyo ccleaner uiache ikusafishie windows. baada ya hapo jaribu kureinstall idm tena
      Sawa mkuu nitarudi baadae baada ya hili zoezi

    10. #9
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 507
      Likes Received
      38
      Likes Given
      34

      Default Re: Msaada kwenye tuta.

      Quote By g.n.n
      Sawa mkuu nitarudi baadae baada ya hili zoezi
      Mkuu niliahidi nitarudi.
      Nimeweza kufanya registry cleanup pamoja na kufanya Ccleaner. zote zimekubali na nimeinstall upya registered IDM toka kwa jamaa mmoja anaitwa KHU..... sikumbuki vizuri jina kuna mwana alitupia link hapa ikawa ndo mpango mzima

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...