Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,051
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      259

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Rupert murdoch yule tajiri wa magazeti ya the sun, independent etc pamoaja na utajiri wake wote yupo kizimbani kwa sababu hiyo hiyo-kuingilia mazungumzo ya waatu-hacking . kosa la jinai hilo mwanangu. Ogopa.

    4. #3
      Ntilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd May 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 408
      Likes Received
      2
      Likes Given
      7

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Nenda hackers forum, huko utawakuta wajuzi wa mambo hayo..watakufundisha zaidi ya hayo..!

    5. Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.
      Unataka kuingilia maongezi ya watu ili iweje?
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Defaultdata-cfstyle="display:none" id="progress_4209019" style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/misc/progress.gif" alt="" /> Reply With Quote


    6. #5
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,476
      Rep Power : 19743
      Likes Received
      5426
      Likes Given
      3614

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Wivu mwingine huu ni wa kipuuzi sana, achana kumfuatilia Mwanamke, kama ni mpenzi/mke wako muache ajichunge mwenyewe, haya ni magonjwa ya moyo unayatafuta.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Msenyele's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 227
      Rep Power : 412
      Likes Received
      31
      Likes Given
      77

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Quote By Barnabas Shadrack
      Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.


      Km una wasiwasi naye si uachane naye kuliko kukaa na pressure kiasi cha kuumiza roho yako. Hiyo inawezekana lakini ni kosa la jinai na ukikamatwa ni jela. Kuwa mpole na wazo unalolitoa ni sawa na watu wanaoenda kwenye madirisha ya watu usiku na kusikiliza unachoongea. Kama na hivyo huwa unafanya basi ujue si tabia nzuri ila kama haufanyi na haupendi kumbuka unachotaka kufanya kinafanana na hicho. Think big!

    9. #7
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 425
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Kwel vilazwa wengi mnakosa cha kufikiria kabisa.achana na upuuzi huo Mkuu.

    10. #8
      Mufiyakicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 855
      Rep Power : 654
      Likes Received
      82
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Barnabas Shadrack
      Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.

      Unataka nini? UsaidIwe

      Unamuke mpezi kicheche

    11. #9
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By Barnabas Shadrack
      Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.
      Acha kutumia masabuli wewe!!! unataka kuingilia maongezi ya watu????

    12. #10
      Mufiyakicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 855
      Rep Power : 654
      Likes Received
      82
      Likes Given
      1

      Default

      [QUOTE=Barnabas Shadrack;4200626]Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.[/QUOTE.


      Pm nikupe data

    13. #11
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,001
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Ina maana ww usiongee chochote ktk Conference hy?

    14. #12
      Clarity's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2010
      Posts : 247
      Rep Power : 499
      Likes Received
      40
      Likes Given
      41

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      tumia landline ya TTCL Kama zamani moja chumbani nyingine sitting room akipokea chumbani we unanyanyua taratibu sitting kwisha kazi
      Duh kazi ipo

    15. #13
      Mr Kicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : MANZESE
      Posts : 589
      Rep Power : 712
      Likes Received
      135
      Likes Given
      47

      Default Re: Masaada juu ya kukonekti watu zaidi ya wawili katika maongezi.

      Kama umuamini shem mtafute yule Mbunge wa Korogwe akufanyie Teknik kama yule jamaa wa Kenya.NingaR akiingia anga zako itakuwa mia mia coz kutega sm ni kutafta mpesha ya bure

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...