Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hp pavilion entertainment

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Muntu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd December 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 380
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Hp pavilion entertainment

      Habari wadau! Naombeni msaada wa laptop yangu,kwani haiwaki kwa sasa.ni baada ya kuchomoka ghafla charger(adaptor),then nikichomeka adaptor kwenye laptop inawaka taa tu kwenye tundu la laptop unapochomeka adaptor,then ukiwasha haiwaki.msaada tafadhali.kwani nina documents za muhimu.thanks

    2. Miaka 50

    3. #2
      Third Eye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 174
      Rep Power : 462
      Likes Received
      29
      Likes Given
      14

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      Pole,sina jibu la tatizo lako, but nataka kukushauri, document za muhimu usiziweke mahali pamoja bila back up, nakushauri ufungue akaunti google docs, utapata GB nzima unapoweza kuhifadh data zako, again pole bt humu kuna matechnician hope watakusaidia

    4. #3
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      Ikiwa laptop haiwaki bila ya kuingiza adaptor, maana yake battery yako imekwisha kabisa, kwani kwa kawaida huna ulazima wa kuunganisha na adaptor ili iwake.

      Niliwahi kuwa na tatizo kama hilo kwa laptop ambayo battery ilishakufa. Kwa kujaribu tu, niliitoa battery na kuiingiza tena baadaye nikaunganisha na adaptor na kuiwasha tena. Ilifanya kazi. Lakini haya si maelezo ya kitaalamu, nilijaribu na kufanikiwa.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    5. #4
      mnyikungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2009
      Location : IRINGA
      Posts : 478
      Rep Power : 595
      Likes Received
      63
      Likes Given
      41

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      kama hofu yako ni document basi shusha presha, document unaweza kuzitoa wewe mwenyewe au mtumie mtaalam yoyote aliye karibu nawe anaweza pia. kama unataka kutoa wewe mwenyewe basi fanya yafuatayo:-
      (tatizo cjui una uelewa kiasi gani juu ya matumizi ya teknolojia hii)
      pia hii ni njia kama una computer nyingine unayoweza kutumia
      1. ifungue laptop yako sehemu ya hard disk
      2. itoe hard disk
      3.itambue hard disk yako kama ni SATA au IDE
      4. kanunue adopter au external case inayoendana na HDD yako
      5.iunganishe hiyo adopter au external case kwenye HDD YAKO
      6.ichomeke hiyo adopter au external case uliyoiunganisha kwenye HDD kwenye computer nyingine inayowaka
      7.ukishachomeka basi itasoma kama external HDD, ifungue kisha toa hizo data afu anza kutafuta suluhisho la tatizo lako

    6. #5
      Khalifab's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Location : TABORA SIKONGE
      Posts : 39
      Rep Power : 354
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      TO
      THIRD EYE


      brother vip kuhusu msaada wangu bado hujanisaidia,,,najua ni weng unawasaidia na uko tight na pepa naomba msaad wako ndugu


    7. #6
      Endangered's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Location : Orbit
      Posts : 901
      Rep Power : 398
      Likes Received
      190
      Likes Given
      962

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      Muntu,
      Jaribu kuchomeka adaptor, lakini bila betri, let see what happens.
      adaptor ina taa? what happens ukichomeka hiyo adaptor kwenye pc, taa ya adaptor ina-reaction yoyote?
      betri yako bila ac power iliuwa inakaa muda gani?

    8. #7
      Muntu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd December 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 380
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Hp pavilion entertainment

      Quote By Endangered
      Muntu,
      Jaribu kuchomeka adaptor, lakini bila betri, let see what happens.
      adaptor ina taa? what happens ukichomeka hiyo adaptor kwenye pc, taa ya adaptor ina-reaction yoyote?
      betri yako bila ac power iliuwa inakaa muda gani?
      habari wadau,
      thank you kwa ushauri. betri ya lap top ilishakufa muda mrefu,natumiaga adaptor(kama Pc). kwa sasa haiwaki hata ukichomeka adaptor. na adaptor haina taa, taa ipo kwenye pc ambapo unapochomekea adaptor, then taa inawaka ila uki start pc ndo inagoma kuwaka.thanks wadau

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...