Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. C6 is offline
      C6
      #1
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,211
      Rep Power : 19391
      Likes Received
      1856
      Likes Given
      1603

      Default msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

      Nimejaribu kujua kuhusu hivyo vitu sijapata jibu sahihi google. Kwa ajuaye anielekeze coz nataka ku upgrade manually my android phone to icecream sandwich...
      Wabeja


    2. #2
      Jamiix's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 386
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default

      NIAJE MDAU!
      ROM(READ ONLY MEMORY) ni chip ambayo ipo kwenye simu yako kwa ajili ya kuifadhi software/firmware kwa android na apps etc ambavyo havibadilishiki, i.e game kwa mazingira ya kawaida,
      Custom ROMs ni ile ambayo mtumiaji ataiandaa ama kubadilisha iliyopo kutokana na matwaka yake,yaani ametoa iliyokuwepo akaimodify kwa process ambayo ndio ROOTING(same as Jailbraking kwa iOS for Apple ie iPad ... ama hacking kwa Windows) na kuiweka tena kwenye simu,

      Sasa basi ROOT ni mchakato(process) ya kuweza kupata uwezo wa vile ambavyo havipatikani wala kuonekana kwa mtumiaji wakawaida hasa hasa upande wa OPERATING SYSTEM na HARDWARE!,(mostly on booting(boot-loader)) ama CMOS kwa pc)

      Ku upgrdade manual fanya yafuatayo
      1.Download SuperoneClick na i save
      2.Unganisha cm yako kwenye pc husika na hakikisha ipo kwenye USB debugging mode off pia unmount Storage na hakikisha pia simu ina 25MB ama zaidi
      3.install the software above
      4.click on rooting buttom scroll on activity log and check all log ok and ignore all warnings,
      5.itachukua muda kidogo ikimaliz zima cm yako wash tena,now you device is free,u can do anything you want.


      To install the said firmware

      Step 1: Download the official ice cream sandwitch
      firmware and download ODIN,Extract the LPQ firmware zip file
      inside a new folder on your desktop.
      Step 2: Switch off your Galaxy S2 and re-
      insert its battery. Now boot your Galaxy S2
      in Download mode by pressing the Volume
      Down + Home + Power button
      simultaneously. Your phone will then show
      you a warning. Simply skip the warning by
      pressing the Volume Up button.
      Step 3: Start ODIN, and then connect
      your Galaxy S II to your PC. ODIN will
      then detect your phone, and display a
      random COM:ID number inside a glowing
      rectangle box. Click on the ‘PDA’ button,
      and select the ‘I9100XXLPQ_I9100OXALPQ_
      I9100XXLPQ_HOME.tar.md5’ file. It is the
      only file inside the zip file that you
      downloaded in Step 1 above.
      Step 4: Do not touch any other option.
      Simply press the Start button and wait for
      ODIN to flash the firmware.
      The firmware is pretty big (500+MB
      extracted), and so ODIN will take some
      time to flash it. The first boot after the
      flash will also take considerable time. It
      took nearly 10minutes for my Galaxy S II
      to start after I flashed the firmware.
      Update: Added some mirrors for the
      firmware download link. For root access,
      download and flash Siyah Kernel LPQ and
      flash via ODIN.
      Update 2: If your phone is stuck at the S
      boot logo for more than 15 mins, re-insert
      the battery and re-do the steps mentioned
      above.

    3. #3
      Jamiix's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 386
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

      For samsung user!,kama ni tofauti nipe aina ya cm yako na firmware iliyopo nikueleweshe vizuri

    4. #4
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default Re: msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

      Kwanza kuhusu ku Root Download app inayo itwa Z4 Root hii ita root simu yako kwa click chache tu.
      BAADA YA KUDOWNLOAD Z4 ROOT, IFUNGUE NA BOFYA SEHEMU YA ROOT KISHA REBOOT SIMU YAKO. ikiwaka angalia app list kama ukiona kuna app imeongezeka inayoitwa SUPER USER hapo tayari utakua ume root simu yako.

      Sasa tukija kuhusu kubadilisha ROM kuna njia mbili
      1. Kwa kutumia computer
      2. kwa kutumia simu pekee.
      Binafsi nafahamu njia ya simu pekee.
      Root simu yako then leta feedback tuendelee na darasa.

    5. C6 is offline
      C6
      #5
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,211
      Rep Power : 19391
      Likes Received
      1856
      Likes Given
      1603

      Default

      Quote By Jamiix View Post
      For samsung user!,kama ni tofauti nipe aina ya cm yako na firmware iliyopo nikueleweshe vizuri
      htc user


    6. #6
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,190
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      997
      Likes Given
      173

      Default Re: msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

      Quote By NingaR View Post
      Kwanza kuhusu ku Root Download app inayo itwa Z4 Root hii ita root simu yako kwa click chache tu.
      BAADA YA KUDOWNLOAD Z4 ROOT, IFUNGUE NA BOFYA SEHEMU YA ROOT KISHA REBOOT SIMU YAKO. ikiwaka angalia app list kama ukiona kuna app imeongezeka inayoitwa SUPER USER hapo tayari utakua ume root simu yako.

      Sasa tukija kuhusu kubadilisha ROM kuna njia mbili
      1. Kwa kutumia computer
      2. kwa kutumia simu pekee.
      Binafsi nafahamu njia ya simu pekee.
      Root simu yako then leta feedback tuendelee na darasa.
      Z4 ROOT haifanyi kazi katika honeycomb ... mimi nina tablet yangu ni android ina run honeycomb 3.2.1 nimejaribu Z4ROOT inakataa!..

      kuna baadhi ya android devices lazima utumie computer
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    7. #7
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,190
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      997
      Likes Given
      173

      Default Re: msaada kuhusu Root na ROM kwenye android

      Quote By MtotoSix View Post
      Nimejaribu kujua kuhusu hivyo vitu sijapata jibu sahihi google. Kwa ajuaye anielekeze coz nataka ku upgrade manually my android phone to icecream sandwich...
      Wabeja
      ingia kwa hawa jamaa wa XDA kuna watu hawashindwi na kitu mule ... utapata kila kitu! utauliza swali utajibiwa step by step

      Android Forums & Windows Phone Discussion @ xda-developers
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...