wakuu blackberry yangu inawaka lakini haidetect network yoyote hata ukibadilisha LAINI tatizo nini na nifanyeje?
wakuu blackberry yangu inawaka lakini haidetect network yoyote hata ukibadilisha LAINI tatizo nini na nifanyeje?
Umejaribu kuangalia kwenye manage connections..isijekua umeswitch off mobile network..
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Siyo ya kichina hiyo?
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Angalia kama network ipo on ua la! Piga 112 je inaita? Kama inaita then hiyo Blackberry itakuwa Blacklisted by all Tanzania networks why? Ni stolen phone. Kama ukipiga 112 aipokelewi au aipatikani itakuna na tatizo la RF kama ndio ni PM ntakusaidia but please don't give me masharti ya kukutafuta wewe kama wengine wanaoomba msaada alafu mwishowe. Wanataka wewe ndo utafute nipo Dar
Usije ukawa ume-select Manually na sio automatic ebu check
Follow Us Here