zamani tulitumia 0.facebook.com kufungua proxy kunako vodacom ambayo waliifunga.
naomba mwenye kujua mpya anisaidie kupitia PM.naona wamepinguza gharama eti 5mb sh 250 nk lakini tunatafunwa sana
nitashukuru
zamani tulitumia 0.facebook.com kufungua proxy kunako vodacom ambayo waliifunga.
naomba mwenye kujua mpya anisaidie kupitia PM.naona wamepinguza gharama eti 5mb sh 250 nk lakini tunatafunwa sana
nitashukuru
@FFID9M N=DEND9
wabongo bwana
ebu cheki gharama za vodacom mkwa sasa
5mb-250 daily
25mb-450 daily
50mb-700 daily
Non stop-10,000 weekly
lakini bado unataka vya bure? AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
Kwa Tanzania Masuala ya Uongo yanaaminiwa sana kuliko Masuala ya Ukweli !
Follow Us Here