Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: startimes hapo sawa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      Wizzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 432
      Rep Power : 516
      Likes Received
      79
      Likes Given
      34

      Default startimes hapo sawa

      nimeenda jana ofisi za startimes arusha nkawaulizia kuhusu kupata local channels kama itv jamaa wamenambia kuanzia tar 20 mwezi huu chanel zote zitaonekana ktk king'amuzi.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Chipukizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Location : Manzese
      Posts : 1,054
      Rep Power : 730
      Likes Received
      263
      Likes Given
      30

      Default Re: startimes hapo sawa

      Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital

    4. #3
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default Re: startimes hapo sawa

      Hapo Mwake

    5. #4
      deojames's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 183
      Rep Power : 599
      Likes Received
      35
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Chipukizi
      Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
      kwani satellite dish sio digital?

    6. #5
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: startimes hapo sawa

      Safi sana kina Hu jintao nhua nhaaaaaa masterrrrrrrrrrrrrrrr!!!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,616
      Rep Power : 6856
      Likes Received
      1040
      Likes Given
      131

      Default Re: startimes hapo sawa

      Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni no signal
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    9. #7
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 454
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By deojames
      kwani satellite dish sio digital?
      satellite ni digital

    10. #8
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 596
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default

      Quote By deojames
      kwani satellite dish sio digital?
      achana nae huyo hajui alinenalo zaidi ya kumezeshwa maneno ya digital yamekuwa kama wimbo midomoni mwao.

    11. #9
      twatwatwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2011
      Posts : 840
      Rep Power : 556
      Likes Received
      96
      Likes Given
      3

      Default Re: startimes hapo sawa

      Nyimbo tu hizo tumewachoka

    12. #10
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,341
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: startimes hapo sawa

      si rahisi kuzima TV zote labda sema TV za hapa bongo maana nyingine zinatumia satellite kurusha matangazo yake na huu mradi wa ving'amuzi siyo world wide
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    13. #11
      Arselona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : mzumbe-morogoro
      Posts : 313
      Rep Power : 486
      Likes Received
      79
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Duble Chris
      si rahisi kuzima TV zote labda sema TV za hapa bongo maana nyingine zinatumia satellite kurusha matangazo yake na huu mradi wa ving'amuzi siyo world wide
      hujui ulinenalo.

    14. #12
      Likasu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 511
      Rep Power : 525
      Likes Received
      76
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Wizzo
      nimeenda jana ofisi za startimes arusha nkawaulizia kuhusu kupata local channels kama itv jamaa wamenambia kuanzia tar 20 mwezi huu chanel zote zitaonekana ktk king'amuzi.
      Hawa startimes wameshatudanganya mara nyingi sana. Labda tusubiri hiyo tar 20.

    15. #13
      Zeddicus Zu'l Zorander's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 98
      Rep Power : 411
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default

      Hiyo imekaa vizuri

    16. #14
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 864
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: startimes hapo sawa

      Quote By TIQO
      Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni no signal
      Yaani kwakweli wanakera wametoa UBC wakaweka ATN ili watu tuone mpira but matokeo yake ATN1 hawaonyeshi muda wote mpira ya mwanzo ndio huwa wanaonyesha tena channel yenyewe chenga tupu ikiisha ile ya saa4 usiku tunawekewa vipindi vya dini sasa sijui maana yake ni nn
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    17. #15
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,082
      Rep Power : 24555
      Likes Received
      3164
      Likes Given
      358

      Default

      Quote By Chipukizi
      Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
      Lazima kuwe na wayforwar mkuu. Wasipoonyesha kuanzia hiyo tarehe 20 nini tunakifanya sisi kama wateja? Na kwa nini taarifa zitofautiane? Mimi juzi walinipigia (tena makao makuu kwa jinsi huyo dada alivyojitambulisha) na kuniuliza nazionaje huduma zao na napendelea chaneli gani. Nikawauliza lini wanaweka Itv na Startv akanijibu mpaka mwezi wa nane. Hapa tunasimamia wapi sasa na tuwaamini kina nani?

    18. #16
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: startimes hapo sawa

      Ivi hawa DSTV hawashushi rates zao tuu hawaoni huu upinzani?
      Maana nasikia EA mnapigwa rate kama za madon wa SA!
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    19. #17
      MR. DRY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 548
      Rep Power : 495
      Likes Received
      81
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By TIQO
      Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni NO SIGNAL
      hilo tatizo limenikuta hapa moshi, nimewapelekea wakatengeneza na kunitoa 5;000/=,nimerudi nacho nyumbani kimeniambia no signal wanasema antenna yao haipokei mawimbi.

    20. #18
      Mantisa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 145
      Rep Power : 456
      Likes Received
      12
      Likes Given
      11

      Default Re: startimes hapo sawa

      That's good news

    21. #19
      twatwatwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2011
      Posts : 840
      Rep Power : 556
      Likes Received
      96
      Likes Given
      3

      Default Re: startimes hapo sawa

      Kumbe mazuzu bado mpo wengi !

    22. #20
      Sigma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,282
      Rep Power : 1337
      Likes Received
      918
      Likes Given
      620

      Default Re: startimes hapo sawa

      hawana jipya hawarushi Euro 2012
      ...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...