nimeenda jana ofisi za startimes arusha nkawaulizia kuhusu kupata local channels kama itv jamaa wamenambia kuanzia tar 20 mwezi huu chanel zote zitaonekana ktk king'amuzi.
nimeenda jana ofisi za startimes arusha nkawaulizia kuhusu kupata local channels kama itv jamaa wamenambia kuanzia tar 20 mwezi huu chanel zote zitaonekana ktk king'amuzi.
Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
Hapo Mwake
Safi sana kina Hu jintao nhua nhaaaaaa masterrrrrrrrrrrrrrrr!!!
Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni no signal
Mwisho wa Ubaya Aibu.
Nyimbo tu hizo tumewachoka
si rahisi kuzima TV zote labda sema TV za hapa bongo maana nyingine zinatumia satellite kurusha matangazo yake na huu mradi wa ving'amuzi siyo world wide
frustration is given by expectationdivide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
Hiyo imekaa vizuri
"DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"
Lazima kuwe na wayforwar mkuu. Wasipoonyesha kuanzia hiyo tarehe 20 nini tunakifanya sisi kama wateja? Na kwa nini taarifa zitofautiane? Mimi juzi walinipigia (tena makao makuu kwa jinsi huyo dada alivyojitambulisha) na kuniuliza nazionaje huduma zao na napendelea chaneli gani. Nikawauliza lini wanaweka Itv na Startv akanijibu mpaka mwezi wa nane. Hapa tunasimamia wapi sasa na tuwaamini kina nani?
Ivi hawa DSTV hawashushi rates zao tuu hawaoni huu upinzani?
Maana nasikia EA mnapigwa rate kama za madon wa SA!
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
That's good news
Kumbe mazuzu bado mpo wengi !
hawana jipya hawarushi Euro 2012
...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY
Follow Us Here