Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naombeni msaada wataalam wa kudowload vitabu kwenye internet

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      KWELIMT's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 89
      Rep Power : 451
      Likes Received
      24
      Likes Given
      32

      Default Naombeni msaada wataalam wa kudowload vitabu kwenye internet

      Wakubwa Habari zenu!

      Samahani sana naomba kufahamishwa kama kuna namna yeyote ya kuweza kuaccess vitabu online maana napata sana shida vitabu vingi vinafunguka but wamevizuia kudownload.

      Nawasilisha ombi langu kwenu.


    2. #2
      masssaiboi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2009
      Posts : 475
      Rep Power : 623
      Likes Received
      48
      Likes Given
      17

      Default

      Inabidi ulipie, otherwise umpate mtu mwenye kusoma college nje yenye online library akuazime details zake

    3. #3
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Naombeni msaada wataalam wa kudowload vitabu kwenye internet

      kuna site kama 4shared.com huwa zinatoa vitabu jaribu

    4. #4
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,114
      Rep Power : 1224
      Likes Received
      400
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By masssaiboi View Post
      Inabidi ulipie, otherwise umpate mtu mwenye kusoma college nje yenye online library akuazime details zake
      Huo ndo ugonjwa wa wabongo wengi na imi nikiwemo

    5. #5
      Ziege liebe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 369
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default Re: Naombeni msaada wataalam wa kudowload vitabu kwenye internet

      iv bin sufferng on th same ishu...


    6. #6
      Fredrick Ishengoma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Location : 127.0.0.1
      Posts : 81
      Rep Power : 375
      Likes Received
      78
      Likes Given
      16

    7. leh is offline
      leh
      #7
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 687
      Rep Power : 779
      Likes Received
      264
      Likes Given
      12

      Default Re: Naombeni msaada wataalam wa kudowload vitabu kwenye internet

      unatumia nini kusomea vitabu?? na kama unaongelea educational books, uatapata shida kupata ebooks. ila kama ni novels na so forth, tumia hizi programs:
      kama ni pc unatumia, naonelea kuwa calibre (link hii Calibre) ambayo inasoma kila aina ya vitabu (pdf, epub, pbc etc..)
      kama unatumia iphone, tumia ibooks kama unatumia iphone 4 au 4s (ukihizitaji ni PM nitakutumia kama attachment) na kama ni 3gs na kushuka, tumia stanza (stanza ni nzuri kuliko ibooks, lakini haifanyi kazi na ios5), hii pia ni PM nitakutumia kama attachment ukihitaji
      na kama unatumia android device, tumia kindle (download kutoka app market)
      kama una windows mobile phone mi sijui utakachotumia coz mi sipendi wm na siji nikaitumia..
      after that, nenda pirates bay (link-->TPB) tafuta kitabu kwa jina au author na kwenye description ya kitabu, hakikisha ameweka mfumo wa .epub au .mobi
      mfano-- ninasoma kitabu cha hunger games (link--> Hunger Games) utaona kuna mifumo mingi. chagua .epub coz ndo mfumo popular na inafunguliwa ni apps zote nilizotaja hapo juu




      Last edited by leh; 10th June 2012 at 01:15. Reason: added screenshots for calibre
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    8. #8
      Kijamba Koti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 357
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ziege liebe View Post
      iv binsufferng on th same ishu...
      hapo kwenye bold inaonyesha ni jinsi gani ulivyo "facebook addicted"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...