Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 61
    1. #1
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computers

      Wakuu, hebu tudadavue kidogo hili swala!

      IPAD 3 na ASUS TABLET COMPUTERS zina tofauti gani? bora ni ipi? Zinaweza kulinganishwa au kutofautishwa vipi katika katika ubora, utendaji, nk

      Ikiwa mtu ana uwezo wa kununua yoyote kati ya hizo ungemshauri anunue ipi na kwa sababu zipi?

      Najua hapa JF nitapata elimu ya kutosha kuhusu swala hili

      Natanguliza shukrani!
      Last edited by Soki; 6th June 2012 at 11:53.


    2. #2
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1240
      Likes Received
      612
      Likes Given
      1266

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Nenda ASUS au tablet yoyote inayotumia android ,I pad inafaa kwa walio majuu,kwani apps zake nyingi ni za kununua ilihali android ni buuure,hata simu zitumiazo android ndio naona zinachukua chat kwa hapa bongo kwani zina vikorombwezo vingi ambavyo hupata bure tofauti na hizo Iphone,haya ni maoni yangu
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    3. #3
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Ndiyo mkuu nimekupata.

    4. #4
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Hapa naona umeelezea juu ya apps - kwamba kwa Ipad ni ghali ilihali ASUS kuna urahisi!

    5. leh is offline
      leh
      #5
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 687
      Rep Power : 779
      Likes Received
      264
      Likes Given
      12

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      maoni yanguni kwamba ipad ni nzuri kuliko tablets nyingi. ila tena itadepend na unaongelea ipad ipi: ipad, ipad 2 au the new ipad. the new ipad au ipad3 ina mambo mengi mazuri yanayoifanya nione bora kama retina screen ambayo insemekana haiumizi macho kwa kuchezea games au kusomea na nimeipenda zaidi ios kuliko android coz iOS ina mngao na mtazamo "slick". kuhusu apps, sio swala la kuogopesha kwamba zinauzwa, nimetumia ipad almost miaka miwili, sina credit card lakini nimecheza almost every game made for the apple. unahitaji kaujuzi kidogo tu, net na kujiamini

      lakini baada ya kusema hayo, siwezi mshawishi mtu ambaye sio 'technology savvy' au mtaalamu wa kiteknolojia zaidi ainunue coz kama huna hela ya kununulia apps na huwezi kujailbreak itakuwa kitu ovyo, so swali langu kwako ni.. unaweza kununua apps au kuziweka ki'pirate'?? lol
      Soki likes this.
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)


    6. #6
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      I pad 3
      Soki likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. #7
      Brakelyn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Location : iCloud (Area 51-Atwn)
      Posts : 761
      Rep Power : 646
      Likes Received
      200
      Likes Given
      84

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      iPad 3 ni nzuri mkubwa, ndio maana iPad zinatumiwa sehemu nyingi ikiwemo maofisini, kwenye mikutano, vyombo vya habari na hata bungeni hiyo yote kwasababu ya uwezo wake na stability & reliability ya operating system (IOS). IOS ni nzuri kwa performance na ndio inayoongoza kuwa stable, applications haziCrash ovyo kama kwenye Android. Na pia swala la applications zake kuuzwa hiyo sio ishu kwasababu kuna kitu kinaitwa (JAILBREAK), ni njia inayotumika kupata Applications zinazouzwa kwenye store (BURE). Mimi natumia iPad mda mrefu na nilishasahau kama applications zake zinauzwa kwani nikihitaji tu, nazidownload freely anytym, na kuJailbreak imerahisishwa zaidi, just a few clicks and your done! Kama alivyokwishasema mkuu "Leh" hapo, iPad ndio kila kitu kwa ubora, utendaji etc...!
      Soki likes this.

    8. #8
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default

      Quote By leh View Post
      maoni yanguni kwamba ipad ni nzuri kuliko tablets nyingi. ila tena itadepend na unaongelea ipad ipi: ipad, ipad 2 au the new ipad. the new ipad au ipad3 ina mambo mengi mazuri yanayoifanya nione bora kama retina screen ambayo insemekana haiumizi macho kwa kuchezea games au kusomea na nimeipenda zaidi ios kuliko android coz iOS ina mngao na mtazamo "slick". kuhusu apps, sio swala la kuogopesha kwamba zinauzwa, nimetumia ipad almost miaka miwili, sina credit card lakini nimecheza almost every game made for the apple. unahitaji kaujuzi kidogo tu, net na kujiamini

      lakini baada ya kusema hayo, siwezi mshawishi mtu ambaye sio 'technology savvy' au mtaalamu wa kiteknolojia zaidi ainunue coz kama huna hela ya kununulia apps na huwezi kujailbreak itakuwa kitu ovyo, so swali langu kwako ni.. unaweza kununua apps au kuziweka ki'pirate'?? lol
      kwa kweli budget ya kununulia apps sina! Ipad ninayozungumzia ni 'the new Ipad'

    9. #9
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default

      Quote By Brakelyn View Post
      iPad 3 ni nzuri mkubwa, ndio maana iPad zinatumiwa sehemu nyingi ikiwemo maofisini, kwenye mikutano, vyombo vya habari na hata bungeni hiyo yote kwasababu ya uwezo wake na stability & reliability ya operating system (IOS). IOS ni nzuri kwa performance na ndio inayoongoza kuwa stable, applications haziCrash ovyo kama kwenye Android. Na pia swala la applications zake kuuzwa hiyo sio ishu kwasababu kuna kitu kinaitwa (JAILBREAK), ni njia inayotumika kupata Applications zinazouzwa kwenye store (BURE). Mimi natumia iPad mda mrefu na nilishasahau kama applications zake zinauzwa kwani nikihitaji tu, nazidownload freely anytym, na kuJailbreak imerahisishwa zaidi, just a few clicks and your done! Kama alivyokwishasema mkuu "Leh" hapo, iPad ndio kila kitu kwa ubora, utendaji etc...!
      hivi jaman hizo apps za kudownload (kwa kubuy) ni kama zipi wakati wamekuwekea pale tayari? Au ni games? Au vitabu? ZINA ULAZIMA AU UMUHIMU GANI?

    10. #10
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default

      Quote By leh View Post
      maoni yanguni kwamba ipad ni nzuri kuliko tablets nyingi. ila tena itadepend na unaongelea ipad ipi: ipad, ipad 2 au the new ipad. the new ipad au ipad3 ina mambo mengi mazuri yanayoifanya nione bora kama retina screen ambayo insemekana haiumizi macho kwa kuchezea games au kusomea na nimeipenda zaidi ios kuliko android coz iOS ina mngao na mtazamo "slick". kuhusu apps, sio swala la kuogopesha kwamba zinauzwa, nimetumia ipad almost miaka miwili, sina credit card lakini nimecheza almost every game made for the apple. unahitaji kaujuzi kidogo tu, net na kujiamini

      lakini baada ya kusema hayo, siwezi mshawishi mtu ambaye sio 'technology savvy' au mtaalamu wa kiteknolojia zaidi ainunue coz kama huna hela ya kununulia apps na huwezi kujailbreak itakuwa kitu ovyo, so swali langu kwako ni.. unaweza kununua apps au kuziweka ki'pirate'?? lol
      ila umenipa kazi ya kwenda kucheck hizo apps zinauzwaje pengine ni cheap, you never know! Na je nazihitaji zipi na zipi. Na ikiwa ni cheap na nikishazinunua kama ni za lazima natumia for years - these are things I should concider!

    11. #11
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Dah Wakuu wa Asus walishanivuta ila tena hawa WA Ipad wameni neutralize! Kwa hiyo niko njia panda! ASUS na IPAD 3 WHICH SHOULD I GO TO?

    12. #12
      Brakelyn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Location : iCloud (Area 51-Atwn)
      Posts : 761
      Rep Power : 646
      Likes Received
      200
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Soki View Post
      hivi jaman hizo apps za kudownload (kwa kubuy) ni kama zipi wakati wamekuwekea pale tayari? Au ni games? Au vitabu? ZINA ULAZIMA AU UMUHIMU GANI?
      Soki sio kwamba application zote zinauzwa, NO, zipo Top Free Top Paid hata kwenye Android Market applications zinauzwa vilevile, ni kwamba unaezakuta application flani zinauzwa kwenye Apple Store ila kwenye Android Market ni free, na vilevile kwenye Android Market zinauzwa wakati Apple Store ni free. Na Applications nyingi nzuri zinazouzwa kwenye Apple Store ni Games ila iPad yenyewe kama ilivyo inajitosheleza sana tu,,sio lazima kulipia Applications kama matumizi yako ni ya ofisini inajitosheleza sana, na kama utahitaji Games na Applications zingine zinazouzwa basi unachofanya ni kuJailbreak iPad yako na utapata hizo Applications Bure!
      Last edited by Brakelyn; 6th June 2012 at 09:11.
      Fighter and Soki like this.

    13. #13
      Brakelyn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Location : iCloud (Area 51-Atwn)
      Posts : 761
      Rep Power : 646
      Likes Received
      200
      Likes Given
      84

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Applications nyingi bei ipo chini ya $10 (0.99$, 1$, 1.99$ etc) sio bei ghali, ila Application kubwa kama Oxford Advanced Learners Dictionary bei yake kwenye App Store ni 28.99$ na pia Android Market ni 28.99$, Application kama whatsapp messenger inauzwa 0.99$ App Store wakati kwenye Android Market unapewa trial time ya mwaka mmoja na baada ya hapo utatakiwa kuinunua. Games kubwa kama Fifa 12 (1.06 GB) bei yake ni 5.99$ App Store wakati kwenye Android Market ni 4.99$ tofauti ni hiyo 1$ na tofauti hiyo pia katika Graphics ya Games (iPhone,iPad games zina quality kubwa saaaana!) kwahiyo kisingizio cha kununua Applications ni kwamba kotekote zinauzwa sema Android free apps ziko nyingi zaidi,,,
      Last edited by Brakelyn; 6th June 2012 at 10:33.
      Soki likes this.

    14. #14
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Dah! Hivi ktk ipad 3 hamna dictationary yoyote?

    15. #15
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Nimetumia iPad2, na New iPad, pia nimetumia Galaxt Tab. iPad ni kitu nyingine kaka, iko responsive saaana, na katika kutumia koote haijawahi kukwama kwa namna moja au nyingine, in short ni kama walivyosema wadau; iko reliable, na vert strong pia. Hata ukishika mkononi ukafumba macho ni kama umeshika kitofali cha aluminium tofauti na tablets zingine kama Galaxy ambayo ukiishika unaiogopa, unakaza mkono kwa kuhofia kuidondosha muda wowote..yaani unahisi kama umeeba yai!
      Brakelyn likes this.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    16. #16
      Brakelyn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Location : iCloud (Area 51-Atwn)
      Posts : 761
      Rep Power : 646
      Likes Received
      200
      Likes Given
      84

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      zipo nyingi tu kuna hizi Dictionary.com, Advanced English Dictionary, Dictionary etc...zote free!



      Soki likes this.
      'That's one small step for [a] man, one giant leap for mankind' - Neil Alden Armstrong.

    17. #17
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,466
      Rep Power : 24252
      Likes Received
      5100
      Likes Given
      2738

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      The new iPad has been announced by Apple! As expected, it has an amazing retina display, a big performance boost, and a new model with high-speed 4G LTE capabilities alongside the standard Wi-Fi fare. Here are some more details of the latest iPad:


      iPad 3 Features & Specs


      Here is what we know about the next iPad:



      1. Retina display, with a resolution of 2048×1536, 3.1 million pixels at 264ppi
      2. A5X Processor, quad-core graphics
      3. 1GB of RAM
      4. 5 megapixel iSight camera
      5. 1080p video recording
      6. Voice dictation, similar to Siri without the questions
      7. 3G & 4G LTE connectivity
      8. 10 hour battery life, 9 hour battery on 4G
      9. 9.4mm thick, weighs 1.4lbs
      10. Pre-orders start TODAY, available on March 16
      11. iOS 5.1
      12. 4G support comes to both Verizon and AT&T. Outside of the USA, 4G LTE will also be offered on Rogers, Bell, and Telus initially, presumably with more carriers to come down the road. The iPad can also be used as a personal hotspot with it’s 4G speeds, although the price of that varies per carrier.



      New iPad 3 Prices.


      Both black & white models will be available, as usual:


      New iPad with Wi-Fi Prices


      16GB Wi-Fi – $499
      32GB Wi-Fi – $599
      64GB Wi-Fi – $699
      New iPad with 4G LTE Prices


      16GB 4G LTE – $629
      32GB 4G LTE – $729
      64GB 4G LTE – $829


      (Officially, the new iPad is called “iPad” and referred to as the “3rd generation” model, but many people will call it iPad 3 anyway.)
      Soki likes this.

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    18. #18
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      [QUOTE=Safari_ni_Safari;4002727]The new iPad has been announced by Apple! As expected, it has an amazing retina display, a big performance boost, and a new model with high-speed 4G LTE capabilities alongside the standard Wi-Fi fare. Here are some more details of the latest iPad:


      iPad 3 Features & Specs


      Here is what we know about the next iPad:



      1. Retina display, with a resolution of 2048×1536, 3.1 million pixels at 264ppi
      2. A5X Processor, quad-core graphics
      3. 1GB of RAM
      4. 5 megapixel iSight camera
      5. 1080p video recording
      6. Voice dictation, similar to Siri without the questions
      7. 3G & 4G LTE connectivity
      8. 10 hour battery life, 9 hour battery on 4G
      9. 9.4mm thick, weighs 1.4lbs
      10. Pre-orders start TODAY, available on March 16
      11. iOS 5.1
      12. 4G support comes to both Verizon and AT&T. Outside of the USA, 4G LTE will also be offered on Rogers, Bell, and Telus initially, presumably with more carriers to come down the road. The iPad can also be used as a personal hotspot with it’s 4G speeds, although the price of that varies per carrier.



      New iPad 3 Prices.


      Both black & white models will be available, as usual:


      New iPad with Wi-Fi Prices


      16GB Wi-Fi – $499
      32GB Wi-Fi – $599
      64GB Wi-Fi – $699
      New iPad with 4G LTE Prices


      16GB 4G LTE – $629
      32GB 4G LTE – $729
      64GB 4G LTE – $829


      (Officially, the new iPad is called “iPad” and referred to as the “3rd generation” model, but many people will call it iPad 3 anyway.)[/QU

      Hebu tuwekee na ya ASUS hapa mkuu

    19. #19
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Quote By Safari_ni_Safari View Post
      The new iPad has been announced by Apple! As expected, it has an amazing retina display, a big performance boost, and a new model with high-speed 4G LTE capabilities alongside the standard Wi-Fi fare. Here are some more details of the latest iPad:


      iPad 3 Features & Specs


      Here is what we know about the next iPad:



      1. Retina display, with a resolution of 2048×1536, 3.1 million pixels at 264ppi
      2. A5X Processor, quad-core graphics
      3. 1GB of RAM
      4. 5 megapixel iSight camera
      5. 1080p video recording
      6. Voice dictation, similar to Siri without the questions
      7. 3G & 4G LTE connectivity
      8. 10 hour battery life, 9 hour battery on 4G
      9. 9.4mm thick, weighs 1.4lbs
      10. Pre-orders start TODAY, available on March 16
      11. iOS 5.1
      12. 4G support comes to both Verizon and AT&T. Outside of the USA, 4G LTE will also be offered on Rogers, Bell, and Telus initially, presumably with more carriers to come down the road. The iPad can also be used as a personal hotspot with it’s 4G speeds, although the price of that varies per carrier.



      New iPad 3 Prices.


      Both black & white models will be available, as usual:


      New iPad with Wi-Fi Prices


      16GB Wi-Fi – $499
      32GB Wi-Fi – $599
      64GB Wi-Fi – $699
      New iPad with 4G LTE Prices


      16GB 4G LTE – $629
      32GB 4G LTE – $729
      64GB 4G LTE – $829


      (Officially, the new iPad is called “iPad” and referred to as the “3rd generation” model, but many people will call it iPad 3 anyway.)
      hebu tuwekee hapa some specs za ASUS

    20. #20
      Soki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 766
      Rep Power : 581
      Likes Received
      145
      Likes Given
      124

      Default Re: MSAADA Please! Comparison kati ya IPAD na ASUS tablet computer

      Ila resolution ya Ipad 3 naona ni kiboko!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...