Wakuu naomba ushauri kutokana na uzoefu wenu. Ipi ni the best katika categories zote mbili ya kununua na ya bure (free)?
Wakuu naomba ushauri kutokana na uzoefu wenu. Ipi ni the best katika categories zote mbili ya kununua na ya bure (free)?
Hakuna haja ya AV kwenye tablet, ili mradi uinstall software kutoka official stores.
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”
Last edited by Baba Mtu; 30th May 2012 at 09:24.
MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
(I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)
Follow Us Here