Tafadhali naomba kujuzwa je kuna uwezekano wa kupata FTA channels za KENYA kwenye EUROSTAR DISH futi 6 C/KU BAND? Je inawezekana kufunga Lnb za C band single 2 na KU band Universal? Na kama ndiyo je upo uwezekano wa kupata satellite zipi dish likiwa usawa wa Mashariki? Nisaidieni tafadhali mimi ni mgeni.

Reply With Quote
" 
Follow Us Here