Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tovuti ya polisi tanzania

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Tovuti ya polisi tanzania

      Wakuu
      Leo nimetembelea tovuti ya Tanzania Poice Force .

      kwanza nilifurahia ule muonekano wake. Hatua ya pili nikasema ngoja nijaribu functionalities kahaa Nikaenda kwenye feedback. Hapo kwenye feedback nikataka kuandika ujumbe .Nikashindwa kutuma sababu lazima uweke attachemnt. Sijui ni attachment gani. na vile naambiwa "Please specify your position in the company". Nikachoka Kabisa. Sasa sijui dhumuni la dhumuni la hii tovuti ni nini . Ni kutoa tu habari au ni kutoa na upokea.......??????

      Kama kuna watu wako karibu na wahusika wa ICT wa polisi basi nawashauri wajaribu kutazama Tovti hii i ya Polisi ya UK na wajaribu kuchukua yale mazuri wayapachike kwenye tovuti yao. Tovuti ya Polisi isiwe ya kutoa tu habari bali iwe ya kupokea habari kirahisi na ziwe habari za wanachi wanazotaka kusoma au kuona.

      Mambo kama ya URASACCOS sio muhimu kwa watembelaji wa tovuti kama ilivyo matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa au yanayofanyiwa kazi.........

      Na scanning niliyofanya kwa nyenzo za ku- Audt mtandao kwenye webserver zinaonyesha wametumia CMS ya joomla na template ya comaxium wich is good , lakini tatizo sanning inaonyesha kuna risky loophole kadhaa inabidi waifanyie kazi moja wapo ni
      ........
      The POP3 server is using a weak password. Acunetix WVS was able to guess the credentials required to access this resource.
      A weak password is short, common, a system default, or something that could be rapidly guessed by executing a brute force attack using a subset of all possible passwords, such as words in the dictionary, proper names, words based on the user name or common variations on these themes
      Otherwise taratibu tutafika...............
      Nawasilisha
      Richard likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    2. Miaka 50

    3. #2
      fungamesa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th February 2009
      Posts : 112
      Rep Power : 544
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Nenda ukawashauri wajaribu kuwa Updates

    4. #3
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Quote By fungamesa
      Nenda ukawashauri wajaribu kuwa Updates
      Mkuu kwenda kuwashauri ndio hivi nimeshafanya electronically . Faida ya internet moja ni kuwa imefanya Dunia kuwa kama kijiji. Au kama niko kigoma mwisho wa reli unatak nifunge safari mpaka kwenye ofisi ya Mwema na vijana wake.
      Richard and Kaa la Moto like this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    5. #4
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,827
      Rep Power : 1944
      Likes Received
      431
      Likes Given
      4198

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Quote By Mtazamaji
      Mkuu kwenda kuwashauri ndio hivi nimeshafanya electronically . Faida ya internet moja ni kuwa imefanya Dunia kuwa kama kijiji. Au kama niko kigoma mwisho wa reli unatak nifunge safari mpaka kwenye ofisi ya Mwema na vijana wake.
      Mtazamaji unasema kweli. Kama wana nafasi ya kuja kufuatilia watu wanaisema nini serikali yao sasa kwa nini wasisome haya na kufanyia kazi?
      Kama, hawana nafasi ya kutembelea maeneo ya huku hiyo ni shauri yao. Ushamba ni mzigo.
      Mrimi likes this.
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    6. #5
      geprony's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Planet Earth
      Posts : 21
      Rep Power : 526
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      No suprise nimeicheki yaani inaelekea wataalamu wao ni mambo ya undugu tu sio competent kabisa shame on them.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Richard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2006
      Location : LANGLEY
      Posts : 2,266
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      486
      Likes Given
      1659

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Mkuu mtazamaji,

      Ni wazo zuri sana hilo lakini Metropolitan Police ni taasisi kubwa sana na ndio maana unaona kuna mambo mengi mno.

      Kuna thread moja nilizungumzia kuhusu uundwaji upya kwa jeshi letu la polisi na nilitoa baadhi ya mapendekezo nafikiri ni mbali mno (si unafahamu tena sisi watu wa siku nyingi hapa JF?)

      Met police ni kama wizara nzima na wana kamishna na ambae ndio kama IGP wetu, halafu ana assistant wake na pia anatawala jeshi la police la London au City of London Police, kwahio tovuti yake inabeba mambo mengi sana.

      Baada ya hapo kuna vikosi vya polisi nchi nzima vikiongozwa na chief constables ambao ni kama RPC wetu. Ukitoka hapo unakuja kwenye taasisi zingine kama vile chama cha maofisa wa polisi ambao wana asili ya Afrika na Asia.

      Halafu kuna idara shiriki au partners kama vile fire brigade, ambulance service na national health service. Baada ya hapo unakuta kuna taasisi za kimataifa ambazo zinashirikiana na met police kama vile CIA, Interpol, FBI na internationall police association.

      Sasa mwenye jukumu la kuandaa website ya jeshi la polisi la anatakiwa awe amepewa blue print yenye maana yaani iliyojaa mambo mengi ambayo yamesheheni elimu msaada kwa wasomaji na mambo mengi tu, ili siku ikiwa tested online watu tuseme alaa kumbe!

      Lakini mtu hawezi kukurupuka na kuja na tovuti kama hii ambayo ni ya mtoto wa sekondary anaejifunza kutengeneza tovuti. Tumefika miaka 50 ya uhuru halafu ndio mtu anakuja na hii tovuti yaani ni mambo ya ajabu kabisa.
      Last edited by Richard; 29th November 2011 at 00:49.
      Mtazamaji likes this.
      When thinking about my risk assessment, I always remember:
      HAZARD and the RISK .

    9. #7
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,115
      Rep Power : 19195
      Likes Received
      8061
      Likes Given
      26515

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Wa Tanzania kwa Mambo ya Computer bado tupo nyuma sana sijuwi tutakuwa mbele lini?
      Mtazamaji likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    10. #8
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Quote By Richard
      Mkuu mtazamaji,

      Ni wazo zuri sana hilo lakini Metropolitan Police ni taasisi kubwa sana na ndio maana unaona kuna mambo mengi mno.

      Kuna thread moja nilizungumzia kuhusu uundwaji upya kwa jeshi letu la polisi na nilitoa baadhi ya mapendekezo nafikiri ni mbali mno (si unafahamu tena sisi watu wa siku nyingi hapa JF?)

      Met police ni kama wizara nzima na wana kamishna na ambae ndio kama IGP wetu, halafu ana assistant wake na pia anatawala jeshi la police la London au City of London Police, kwahio tovuti yake inabeba mambo mengi sana.

      Baada ya hapo kuna vikosi vya polisi nchi nzima vikiongozwa na chief constables ambao ni kama RPC wetu. Ukitoka hapo unakuja kwenye taasisi zingine kama vile chama cha maofisa wa polisi ambao wana asili ya Afrika na Asia.

      Halafu kuna idara shiriki au partners kama vile fire brigade, ambulance service na fire brigade. Baada ya hapo unakuta kuna taasisi za kimataifa ambazo zinashirikiana na met police kama vile CIA, Interpol, FBI na internationall police association.

      Sasa mwenye jukumu la kuandaa website ya jeshi la polisi la anatakiwa awe amepewa blue print yenye maana yaani iliyojaa mambo mengi ambayo yamesheheni elimu msaada kwa wasomaji na mambo mengi tu, ili siku ikiwa tested online watu tuseme alaa kumbe!

      Lakini mtu hawezi kukurupuka na kuja na tovuti kama hii ambayo ni ya mtoto wa sekondary anaejifunza kutengeneza tovuti. Tumefika miaka 50 ya uhuru halafu ndio mtu anakuja na hii tovuti yaani ni mambo ya ajabu kabisa.
      Rchard Naukbalina na wewe lakini naomba nifafanue kwa nini nimetolea mfano wa Tovuti ya Polis ya UK. Sijafanaisha structure na muundo ya polisi wa Tanzania na UK bali nimefanisha mhitaji na presentatin tovuti. Hata kama strucrure , ukubwa na department ni tofauti bado infomration zinazotakiwa kutolewa au kupokelewa ni zile zile

      Mfano utaona MET ya UK wanapokea na kutoa habari kwa njia mbali za ICT
      • twiitter ya Polisi ya uk . Saijawai kusikia official page ya polisi ya fb na twtter. Na hii ilitaiwa kila mkoa ziwepo.
      • Yutube channel ya MEt UK Kwa hii siwezi kuwalaumu sana sababu hata chombo cha habri kama Tbc hawana channell
      • Feedback hii nimetlea mfano nimejaribu kutoma maoni nimeshindwa. tovuti ya Polisi inataiwa iwe inatoa naupoea habari. Matoeo yake wanatuwekea mambo ya Saccos. Sasa saccos ya Polisi ina maslahi kwa mtu anayetembea tovuti.

      Watu wanataka kujua kufahamishwa
      • watu gani ni wanted
      • wahalifu gani wamekamatwa
      • vitu gani vinafanyiwa kazi
      • matukio gani ya kihalifu yanashamiri na yanatkoea wapi na wanashauri nini


      Ni mambo kama hyo ndiyo mtazamao wangu waangalie Presentation ya tovuti ya Polisi ya UK wachukue mazuri. katika karne hii hatuhiaji idaraya habri maelezo ya Posta . twiiter/ facebbook ndio idara ya habari maelezo za kisasa ambayo iitumiwa vizuri itatoa taarif kwa wakati sahihi. Polisi jamii ya kweli na ya kisasa inatakiwa kuwa na official account facebook na twiter
      Richard likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    11. #9
      Richard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2006
      Location : LANGLEY
      Posts : 2,266
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      486
      Likes Given
      1659

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Mkuu Mtazamaji,

      Tupo pamoja kabisa na hizi "social network" ndizo mtu unapata habari nyeti.

      Nikuchekeshe kidogo siku hizi watu wote wa intelligence Ulaya na Marekani wanapita humo kuchagua "recruits"
      When thinking about my risk assessment, I always remember:
      HAZARD and the RISK .

    12. #10
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,803
      Rep Power : 11185
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      5170

      Default

      Quote By fungamesa
      Nenda ukawashauri wajaribu kuwa Updates
      unataka mwenzio atiwe kizuizini kwa uhaini? Unachezea polisi waliopewa leseni za kuua raia wasio na hatia?
      Richard and Mtazamaji like this.

    13. #11
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Quote By Richard
      Mkuu Mtazamaji,

      Tupo pamoja kabisa na hizi "social network" ndizo mtu unapata habari nyeti.

      Nikuchekeshe kidogo siku hizi watu wote wa intelligence Ulaya na Marekani wanapita humo kuchagua "recruits"
      Hahahaha na wa hapa kwetu bongo wanapita wapi tuwaombe kazi au bado sheria zao ni mpaka uende CCP moshi ndio uwe web admin au ICT officer wao?
      Richard likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    14. #12
      Mrimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 1,225
      Rep Power : 735
      Likes Received
      327
      Likes Given
      314

      Default Re: Tovuti ya polisi tanzania

      Mkuu mbona umeenda mbali sana, umesahau kuwa hata emergence call number yao kuna wakati haifanyi kazi, ndio itakuwa tovuti?
      Kimsingi kuna udhaifu mkubwa katika kitengo hiki, hawaamini kama raia mwema anaweza kusaidia kutoa/kupata taarifa za kiusalama ktk tovuti yao, wao wanaamini kila kitu kitapatikana kwa kutegemea intelijensia yao na press confrence za Kova.
      Mtazamaji and Kaa la Moto like this.

    Similar Topics

    1. Tovuti ya linki tanzania
      By Shy in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 4
      Last Post: 8th January 2010, 19:20
    2. Tovuti ya linki tanzania
      By Shy in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 0
      Last Post: 5th January 2010, 13:40
    3. Tovuti ya jeshi la polisi tanzania
      By Balantanda in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 8th October 2008, 20:10
    4. Polisi Wazindua Tovuti Kukomesha Uhalifu - Mwanchi.
      By Domo Kaya in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 7th June 2007, 19:51
    5. Polisi yafungua tovuti, yakaribisha habari za uhalifu
      By HabariLeo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 6th April 2007, 11:16

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...