Wana JF. hapa ninapofanyia kazi kuna ISA server na siwezi kudownload files ninazotaka na some sites hazifunguki. Kuna mtu anajua how to bypass the ISA server ?
Tatizo la pili kuna mdogo wangu sijui alifanya nini kwenye computer na sasa maneno kwenye screen yapo upside down. nifanyeje ?
Wana JF. hapa ninapofanyia kazi kuna ISA server na siwezi kudownload files ninazotaka na some sites hazifunguki. Kuna mtu anajua how to bypass the ISA server ?
Tatizo la pili kuna mdogo wangu sijui alifanya nini kwenye computer na sasa maneno kwenye screen yapo upside down. nifanyeje ?
Shy na Invisible nisaidieni kwa haya.
Natanguliza shukrani.
Mkuu,
Tatizo hilo la kwanza bila shaka hapo ofisini pako au penye hio "gateway" kuna administrator, kwa hio ni vizuri kumtaarifu au kuwaataarifu juu ya tatizo lako.
Pili huwezi kufanya vinginevyo katika ISA Server kama wewe huna madaraka hayo kwa hio hii inamaanisha kwamba kuna baadhi ya website ambazo huruhusiwi kuzibarizi.
Hilo tatizo la pili naona ni dogo na umelitatua.
Basi uwe na weekend njema.
When thinking about my risk assessment, I always remember: HAZARD and the RISK .
Nashukuru sana amanigk,richard na shy. la screen nimelitatua kwa kfuata maelekezo yako amanigk. Lile la ISA server ni kwamba kuna system admin na anatubania na ndio nikawa natafuta njia ya kuaccess sites bila kumwomba yeye maana hata nikimwambia haitasaidia. Nashukuru kwa michango yenu mizuri. Siku njema.
Wana JF. hapa ninapofanyia kazi kuna ISA server na siwezi kudownload files ninazotaka na some sites hazifunguki. Kuna mtu anajua how to bypass the ISA server ?
Follow Us Here