kwakweli natamani sana kufanya shoping kwa hawa Jamaa " eBay" lakin sina uhakika kuhusu usalama wa account yangu pale nitakapoweka details zangu kwenye website yao, na vile vile sina uhakika kuhusu kama ntapata kitu nachokitaka pindi ntakaponunua.
Naombeni msaada kwa mtu yeyote ambaye alishanunua kitu kutoka eBay au amazon.
naomba kuwasilisha.

Reply With Quote


Follow Us Here