Nitaka kutumia visual basic application(vba) kwenye excel naomba muongozo
Nitaka kutumia visual basic application(vba) kwenye excel naomba muongozo
The subject is very wide. Unataka kufanya nini hasa? Do you want to create a specific application or you just want to learn VBA in general?
Kaka umegusa ninapopataka hata mimi ninashida ya kutumia VBA...Nahitaji kutafuta area under curves kwa kutumia SIMPSON rule..tafadhali mwenye idea anitoe
Kaka hebu kimbilia NEW HORIZONS /TECHNOBRAIN pale Mnazi mmoja utaelimishwa zaidi
Muongozo wa VB kwenye kufanya nini na xcel. But kama ni mungozo tuuuuu unacha wajumbe watumie utabiri kujua nini hasa unahitaji mmi naanza
writing GUI in excel
Writing excel macros
kama utabiri wangu wa uanchotaka haupo basi nenda youtube then search kwa maneno yanayoenda na unachotaka Utapata video za wataalam wakikupa muongozo
Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/
Asante kwa Muongozo, umenisaidia hata mimi
Mimi ni najua Excel lakini VBA ni bora uchukue training ya VBA kwasababu ni codes. Lakini kama unataka kutengeneza Macro unaweza kufanya bila VBA. Kuna tools za training za wahindi bure kwenye websites search "Free VBA Training Tools" kwenye google!. Kama unamashali ya jinsi ya kutumia V-LOOKS, IF FUNCTIONS, SUMIF, etc naweza kukusaidia
Follow Us Here