Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      e2themiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Unknown Destination
      Posts : 953
      Rep Power : 5731
      Likes Received
      487
      Likes Given
      404

      Default Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and

      K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...

      wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa

      suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma

      line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na

      kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya

      jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD

      sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao

      wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA

      ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa

      wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu

      line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa

      nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi

      kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:

      Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka

      na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda

      na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke

      automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii

      Click image for larger version. 

Name:	one.JPG 
Views:	555 
Size:	27.0 KB 
ID:	33430
      Apo itatokea iyo msg click close
      Click image for larger version. 

Name:	two.JPG 
Views:	513 
Size:	23.4 KB 
ID:	33431Click image for larger version. 

Name:	three.JPG 
Views:	520 
Size:	15.5 KB 
ID:	33432
      Then utaona hivi ikikueambia kwamba haiwezi soma hyo line ok chakufanya ni kwenda chini kulia na kutafuta icon ya vodafone halafu

      right click na chagua "Exit Vodafone Mobile Broadband"
      Click image for larger version. 

Name:	four.JPG 
Views:	511 
Size:	25.4 KB 
ID:	33433
      Apo click Ok
      Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download kisha install Then

      ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect

      sasa imefunguka na kusoma iyo line;


      Click image for larger version. 

Name:	five.JPG 
Views:	500 
Size:	17.6 KB 
ID:	33434

      Then click settings
      Click image for larger version. 

Name:	six.JPG 
Views:	527 
Size:	61.4 KB 
ID:	33435
      Then futisha na uclick sehemu kama kwenye picha kuanzia sehemu ya kwanza mpaka ya nne... kwenye sehemu ya PILI

      unaweza weka jina lolote sehemu ya tatu andika kama ilivyo then click save
      Click image for larger version. 

Name:	seven.JPG 
Views:	503 
Size:	37.7 KB 
ID:	33436
      Kisha apply then click OK
      Click image for larger version. 

Name:	eight.JPG 
Views:	493 
Size:	32.6 KB 
ID:	33437
      Then Click Preferences.. sasa hapa ni muhimu sana kuwa makini nako utakuta iko selected Automatic lakini mie sikurecommend uchague Automatic kwann.. ni kwamba apa kuna selection ya 3G na GPRS/EDGE sasa ikiwa selcted automatic itachagua kuunga mtandoa ambao kwa eneo yako iko juu kati ya 3G na GPRS sasa kama 3G inashika mnara moja ni marakumi bora kuliko GPRS kujaa full so apo chagua iconnect manual na kuiforce ikamata 3G mpaka uone kabisa imegoma kata kata kuunga 3G ndo uselect GPRS/EDGE au pia kama kuna siku nyigine mtandao wa 3G haushiki so hii isikulazim usitumia net kabisa kwa siku iyo bali uchague GPRS/EDGE ili upate net vile vile sema speed kuwa ya kawaida na sio FAST kama 3G... then ksha click Apply and OK
      Click image for larger version. 

Name:	nine.JPG 
Views:	496 
Size:	39.4 KB 
ID:	33438

      Then kisha click System na unchek iyo option ya ku automatically kufungua JOIN AIR pale utakapo chomeka modem yako na hii tuna uncheck kwa sasa tutaiselect tena badaye then click Apply ok then close kwasabau mpaka apo tumemaliza kuconfigure
      Click image for larger version. 

Name:	ten.JPG 
Views:	484 
Size:	16.8 KB 
ID:	33439 Click image for larger version. 

Name:	eleven.JPG 
Views:	507 
Size:	17.9 KB 
ID:	33440

      Kama unavyo ona apo juu imeconnect bila shida kabisa
      SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA

      THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR;

      sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye

      DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya

      kudownload hii apa http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe

      Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE

      MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta

      ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;

      Click image for larger version. 

Name:	twelve.JPG 
Views:	567 
Size:	85.2 KB 
ID:	33441
      apoi utaona ona iyo modem then double click it then chagua modem THEN sasa apo pamuhimu ni kukariri iyo PORT kama

      kwangu ni COM10 sasa ikariri hio then close apo funga iyo device manager close control panel kisha fungua iyo software niliyo kupa link apo

      uidownload PUTTY
      Click image for larger version. 

Name:	fourteen.JPG 
Views:	551 
Size:	38.8 KB 
ID:	33444
      Then iyo software itafunguka kwanza click session then click serial alafu apo kwenye serial line andika ile port uliokariri kutoka kule then click open
      Click image for larger version. 

Name:	fifteen.JPG 
Views:	556 
Size:	23.6 KB 
ID:	33446
      Apo sasa unaitaji uangalifu na umakini wa kutosha kwanza uki open itakuwa blank kabisa first type kwny keyboard yako.... ANGALIZO inawezekana ucikione unachokiandika lakini bali jua inajiandika so ucishtuke nakuandika ivyo ivyo ata kama hauoni unachokiandika ... ok first andika ATX then click enter ikileta jibu kama apo mwanzo OK basi umachagua au umeandika PORT yenyewe then andika ATI then hit enter apo italeta maelezo juu ya modem yako kama apo juu kwenye picha sasa ukiona ime leta results fresh ok... sasa apa inakuja the MOST IMPORTANT PART andika hii kitu AT+ZCDRUN=8 angalia usikosee kama UMEKOSEA ukisha click enter ita leta ERROR but kama umepatia ita leta Close autorun state result (0:FAIL 1:SUCCESS) :1... hii ina ashiria imekubal na umefanikiwa sasa BAADA ya hapa usiclose iyo window
      Click image for larger version. 

Name:	sixteen.JPG 
Views:	519 
Size:	34.6 KB 
ID:	33447
      Then right click iyo icon and select EJECT na itakuonyesha kuwa ur safe to remove iyo drive then CHOMOA modem yako
      Click image for larger version. 

Name:	seventeen.JPG 
Views:	594 
Size:	31.0 KB 
ID:	33449
      Then rudi katika ile software na utaona error iyo UCIJALI just click OK then close iyo SOFTWARE.... apo utakuwa UMEFANIKIWA kudhibiti autorun ya modem yako bila hofu yoyote.... sasa basi kwa mfano UNGEPENDA RUDISHA i autorun fuata njia za mwanzo vile sema kwenye kuweka code i disable andika hii AT+ZCDRUN=9 then click ENTER utaona ime andika Open autorun state result (0:FAIL 1:SUCCESS) :1 then EJECT alafu CHOMOA kama mwanzo then close iyo software na sasa ukichomeka tena utaona imerudi kama MWANZO na kufunguka AUTOMATICALLy

      Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin

      Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa

      Click image for larger version. 

Name:	Last.JPG 
Views:	502 
Size:	49.3 KB 
ID:	33451

      Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR

      Click image for larger version. 

Name:	eighteen.JPG 
Views:	511 
Size:	41.2 KB 
ID:	33450
      Sasa rudi tena kweney system na i check iyo option tulio uncheck mwanzo hii sio lazima lakini kwa wale wangeopenda ukichomeka modem tu ifunguke automatically JOIN AIR THEN select iyo OPTION apply then ok and now sasa utaweza kuconnect na line yoyote fast na bila usumbufu wowote

      YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII

      THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA

      FEEDBACKS!
      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	thirteen.JPG 
Views:	10 
Size:	85.2 KB 
ID:	33443   Click image for larger version. 

Name:	fifteen.JPG 
Views:	7 
Size:	23.7 KB 
ID:	33445   Click image for larger version. 

Name:	seventeen.JPG 
Views:	9 
Size:	31.1 KB 
ID:	33448  


    2. #2
      Dazyd2f's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 44
      Rep Power : 425
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: FUNGA KAZI KWA AJLI YA VODAFONE K3565-Z and K3570-Z zte modems "THE BEST SOLUTION"

      mkuu big up upo mbele
      e2themiza, simba29 and Don David like this.

    3. #3
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,639
      Rep Power : 4411
      Likes Received
      1106
      Likes Given
      986

      Default Re: FUNGA KAZI KWA AJLI YA VODAFONE K3565-Z and K3570-Z zte modems "THE BEST SOLUTION"

      Mkuu unatisha, big up
      e2themiza likes this.
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    4. #4
      g.n.n's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Dar es salaam-kitunda.
      Posts : 349
      Rep Power : 510
      Likes Received
      38
      Likes Given
      35

      Default Re: FUNGA KAZI KWA AJLI YA VODAFONE K3565-Z and K3570-Z zte modems "THE BEST SOLUTION"

      Though kuna alot of procedures kazi nzuri kaka hope tutafanikiwa.
      e2themiza likes this.

    5. #5
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,337
      Rep Power : 2643
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      845

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Duh! Yote hii kisa uchakachuaji? Na voda nao si wanasoma hapa?


    6. #6
      e2themiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Unknown Destination
      Posts : 953
      Rep Power : 5731
      Likes Received
      487
      Likes Given
      404

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Quote By Raia Fulani View Post
      Duh! Yote hii kisa uchakachuaji? Na voda nao si wanasoma hapa?
      Hehehe kuna uchakachuaji wa kupm watu

      lakini sio hii kwan wakishaona watafanyaje kwan coz sasa mzigo walionao au modem wanazouzwa ndo models hzo na sio apa 2 hzo models

      zinauzwa sehemu bali mbali hawawezi zibiti kitu apa tena TANZANIA hiii hehehehehehe! we faidika 2 na modem yako ya vodafone ndo maana pia

      nikafikiria na kuficha imei yangu kuto kudisplay full apo labda ndo kidogo wangeweza kuniblock mimi lakini hamna njia nyigine so ndo maana

      nimewaga vyote furuu bila kuhofia kitu...

    7. #7
      africa6666's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Kwa babu
      Posts : 275
      Rep Power : 608
      Likes Received
      41
      Likes Given
      34

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Du kaaaazi kweli kweli, nimechoka kabisa na bongo ila big up mkuu kazi nzuri. Ngoja nianze nisipofanikiwa nitakuja tena
      e2themiza likes this.
      If computers have no doors or fences, why need Windows and Gates?

    8. #8
      mbasajohn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2009
      Location : Mwanza
      Posts : 245
      Rep Power : 572
      Likes Received
      30
      Likes Given
      9

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      du hii kali
      e2themiza likes this.

    9. #9
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,783
      Rep Power : 22096
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      859

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Khaa mkuu hii ni chuma cha pua
      e2themiza likes this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    10. #10
      mbasajohn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2009
      Location : Mwanza
      Posts : 245
      Rep Power : 572
      Likes Received
      30
      Likes Given
      9

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      mi nimejaribu lakin imedownload file ambayo siyo program bali ni docment
      don't cast a honest person for a villain accusation

    11. #11
      Kaka''s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 437
      Rep Power : 508
      Likes Received
      67
      Likes Given
      14

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Itakuwa tayar imechakachulika? Ukienda weka ktk pc nyngne inabd urudie hzo procedure?

    12. #12
      e2themiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Unknown Destination
      Posts : 953
      Rep Power : 5731
      Likes Received
      487
      Likes Given
      404

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Quote By mbasajohn View Post
      mi nimejaribu lakin imedownload file ambayo siyo program bali ni docment
      OK labda ugeniambia software ipi kati ya izo mbili umedownload lakini ni DOCUMENT.... link nyigine

      ya JOIN AIR hii apa ZTE Join Air-1.0_NEW.zip - 4shared.com - online file sharing and storage - download... na vile vile iyo software ya pili ni

      http://the.earth.li/~sgtatham/putty/.../x86/putty.exe .... au kisa ni RAR file lazima uwe na WINRAR ili uweze kuextract iyo faili ya JOIN AIR 1.0

    13. #13
      e2themiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Unknown Destination
      Posts : 953
      Rep Power : 5731
      Likes Received
      487
      Likes Given
      404

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Quote By Kaka' View Post
      Itakuwa tayar imechakachulika? Ukienda weka ktk pc nyngne inabd urudie hzo procedure?
      Hiyo apo juu ni

      SOFT method vile vile kuna HARD method ambapo unatoa iyo ISO IMAGE ya VODAFONE MOBILE CONNECT na kuweka ya JOIN AIR na vile vile hii

      kitu ilishaelezewa apa laknini mimi sirecommend utumie iyo HARD method mara inaweza ikakupelekea kwa kuharibu modem yako coz lazima uwe na

      umakini sana kufanya hio process na huwa inachukua muda sana.. vile vile sioni ulazimu wa kufuta iyo vodafone mobile connect kwanza ina WIFI

      connection ina kamata na unaweza ukaconnectia WIFI n.k.... na kuhusu kuwa imechakachuliwa kabisa sorry lakini hii ni TEMPORARY method sio

      PERMANENT but kama unajiamini na unataka kuiflash na kuiset iwe ina JOIN AIR PERMANENTLY tembelea link hii ndo nilipopata kuelewa zaidi na

      kupata kuweza kufanikiwa na iyo njia niliyoelezea link hii apa ZTE K3565-Z (Vodafone) - 3G modem wiki apo utaona

      kuna HARD WAY pia.

    14. #14
      mfarisayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : tanganyika
      Posts : 3,205
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      485
      Likes Given
      1123

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Thank u Mkuu
      e2themiza likes this.
      “Mwaka jana tulikutana na ‘single’ yaani waliandika mashairi kwa uchache, lakini mwaka huu tumepata albamu nzima…” :- Dk Ndalichako

    15. #15
      marty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Posts : 664
      Rep Power : 530
      Likes Received
      24
      Likes Given
      29

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      The simplest way is just upgrade the dashboard by putting join air as the default dashboard or u can combine both of them and the user will select which dashboard to use..i can do that with zte modems.

    16. #16
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,725
      Rep Power : 1242
      Likes Received
      749
      Likes Given
      617

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      kwanza asante kwa taarifa nzuri zitakasaidia kumiliki modem zisizo na idadi, msaada: hivi kuna software ambayo utaweka kwa cdma modem na ikaweza soma line nyingine kama ttcl au sasatel? Maana nipo na zantel modem ec122 ina mahali pa kuweka laini lakini inakuwa shida kusoma line nyingine ambazo zipo ktk mfumo mmoja

    17. #17
      Paje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2010
      Location : BONGO DARESALAM
      Posts : 905
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      302
      Likes Given
      81

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      njia rahisi ninayotumia mie ni hii hapa mkuu. kama umeshainstall ile vodafone mobile connect basi itowe na kama kuna dashboard zote basi zi uninstall. pamoja na drivers. kama bado basi usi zinstall kabisa kabisa.
      cha kufanya ni kutumia alternative drivers, wala usitumie drivers za vodafone zinokuwepo kwenye modem by default.
      tumia drivers hizi hapa Download Win ZTEDrv zip
      na kisha unaweza kutumia dashboard uipendayo isiwe ile ya vodafone tu , mie natumia Telstra Turbo Connection Manager na pia nikitaka natumia internet key hii hapa Download ZTE K3765 WinXP Vista zip
      kazi ni kwako
      au hama tigo hamia airtel weye ndugu jamaa na marafiki zako
      Kaa la Moto likes this.
      Praise the LORD, O my soul; and all that is within me, bless His holy name!

    18. #18
      Paje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2010
      Location : BONGO DARESALAM
      Posts : 905
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      302
      Likes Given
      81

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Praise the LORD, O my soul; and all that is within me, bless His holy name!

    19. #19
      nxon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Posts : 569
      Rep Power : 514
      Likes Received
      38
      Likes Given
      11

      Default Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Umetisha br....

    20. #20
      MHEMA J's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Location : KILOMBERO
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Thumbs up Re: Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

      Kaka asante nimekupata!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. If this is a true solution to "ajira kwa vijana".........
      By ARKADI MAKONA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 30th October 2011, 07:46
    2. Replies: 3
      Last Post: 17th March 2011, 09:20
    3. funga mwaka ya JF;"SIIFAHAMU SMART HOLDING LTD"KINGUNGE"
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 19th December 2009, 14:23
    4. Replies: 8
      Last Post: 14th December 2009, 15:39
    5. "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"
      By Mbunge wa CCM in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 13
      Last Post: 6th December 2009, 19:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...