Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      Kamanda Mwema Polisi na viongozi husika kwa karne hii ya sayasni na teknolojia Polisi jamii sio kuhishia kutoa number za ma RPC tu.

      • Tunataka tupate umber za wakuu wa vituo tulivyo karibu navyo. Siwezi kumpigia RPC kwa kero za bar inayochelewa kufungwa na muziki mkubw huku uswazi.
      • Tunataka tujue polisi na vituo viinafanya nini inapokea kero ngapi?


      Mfano .Kwa kutumia ICT wenzetu wanafanya hivi Man charged with hacking offences - Metropolitan Police Service.

      Nimekutana na hiyo habari wakati nafutilia habari za huy kijana a aliyekuw anasumbua tovuti za FBI. lakini unaona Jeshi la polisi la huko Uk sio tu wana tovuti bali pia wana wako kwenye Youtube, twiitter , flickr. Je hamuwezi kuiga hivi. Au hakuna watu wa mawasiliano wa kutosha

      Ingawa kazi yenu ni nzito na bajeti ni finyu Polisi jamii iwe kwa vitendo. Tumieni fursa za ICT kufikia na kuwa karibu na jamiii.



      Nawasilisha
      SHAROBALO likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      SHAROBALO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Location : DRIVE (C:)
      Posts : 585
      Rep Power : 535
      Likes Received
      211
      Likes Given
      125

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      WAZO ZURI SANA mkuu!!! safi sana nadhani wamo humu watasikia hili polisi wanatakiwa waende na wakati.
      A hackerwith a new toy,the first thing he'll do is take it apart to figure out how it works.

    4. #3
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      Quote By SHAROBALO
      WAZO ZURI SANA mkuu!!! safi sana nadhani wamo humu watasikia hili polisi wanatakiwa waende na wakati.

      Sharobaro unadhani wanajali basi

      Yaaani hata vituo vya televison TBC ITV na star TV havina official channel zao yutube sasa kwa polisi si ndo itakuwa kama hesabu trigonmetry kwa mtoto wa darasa la tatu. teh teh teh

      Yaaaani sisi mpaka leo tumekariri kuta taarifa mpaka mtu aende idara ya habari maelezo.. Bado tuko mwaka 1990. Twitter ndo idara ya habari ya maelezo ya ki electroniki


      Cheki jamaa wanavyotoa mawasiliano yao kwa jamiii http://twitter.com/#!/metpoliceuk Wenzetu wako serious


      Twitter haiitaji programmer wala web desinger . Tunashindwa nini jamani. Youtube ni bure
      SHAROBALO likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    5. #4
      GIVENALITY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 804
      Rep Power : 595
      Likes Received
      164
      Likes Given
      200

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      What you TBC and other Tanzania TVs don't know ni kwamba mtafanyiwa kitu kinaitwa 'domain parking' halafu mje kulipia domains kwa milions. Vile vile, watu wanaweza kutumia twitter and facebook zenye trademarks zenu kufanya utapeli na manipulation. Be quick.
      Kuna wadau wengi tu humu ndani ambao I'm sure you can work together kwenye suala zima la social interaction, including kufanya livestreaming, starting #trending topics on twitter kupata maoni ya watu, creating facebook pages using FBML and IFRAME + static HTML, among other things. Just find it in your hearts the need to ask for help (if necessary).
      Mtazamaji likes this.

    6. #5
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      wazo la msingi sana kamanda...utekelezaji ndio kizungumkuti.
      Simulated Automated Breakthroughs....

    7. Miaka 50

    8. Dio
      #6
      Dio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 1,215
      Rep Power : 663
      Likes Received
      121
      Likes Given
      11

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      True kabisa

    9. #7
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Kamanda mwema , waziri wa mambo ya ndani oneni mfano huu.

      Quote By Givenality
      What you TBC and other Tanzania TVs don't know ni kwamba mtafanyiwa kitu kinaitwa 'domain parking' halafu mje kulipia domains kwa milions. Vile vile, watu wanaweza kutumia twitter and facebook zenye trademarks zenu kufanya utapeli na manipulation. Be quick.
      Kuna wadau wengi tu humu ndani ambao I'm sure you can work together kwenye suala zima la social interaction, including kufanya livestreaming, starting #trending topics on twitter kupata maoni ya watu, creating facebook pages using FBML and IFRAME + static HTML, among other things. Just find it in your hearts the need to ask for help (if necessary).
      U know what

      Ebu wewe jaribu kupiga simu kuwapa ushauri na maoni usiany governemnt institution. Uone

      Nimewai kupiga simu ofisi kadhaa za serikali kuomba wahusika wa vitengo vya habari na ICT kuwapa maoni majibu niliyopata...... ....poliitical

      IN one case nilivyomaliza kutoa maoni katika simu muhisika akaniambia siku tatu zilizopita wameongelea hilo jambo kwenye kikao cha kazi na watalifanyia kazi. Ni zaidi ya mwaka sasa toka nitoe maoni yale na hakuna ilichobadilika. teh teh teh Na kitu chenyewe wala hakiitaji pesa wala muda.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    Similar Topics

    1. Replies: 6
      Last Post: 22nd November 2011, 16:58
    2. Jaji Werema ageuka waziri wa mambo ya ndani
      By Khakha in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 29
      Last Post: 29th July 2011, 15:16
    3. Mchango kwa Mh Lema - Waziri Kivuli Mambo ya Ndani
      By FJM in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 10
      Last Post: 28th July 2011, 00:19
    4. Waziri Mambo ya Ndani adanganywa Magereza
      By Rutashubanyuma in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 9th January 2011, 07:16
    5. Tetesi: waziri wa mambo ya ndani ni....
      By upele in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 1
      Last Post: 16th November 2010, 13:00

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...